Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
University(universe knowledge) ya kwanza duniani ni Timbuktu ila sina uhakika kama ilianzishwa na mwanamke, maana kabla ya hapo Haku kuwa na university kulikuwa na gnotics temples for spiritual knowledge japo ndo huko Sayansi ilipoanziaKisaikolojia sisi wanaume ni watu wa Material world, tunapenda Vitu, ndio maana mambo ya Field kama Engineer wapo wengi.
Wanawake ni Emotional wanapenda zaidi watu kuliko Vitu, btw University ya kwanza Duniani ilianzishwa na Mwanamke.
Marie Curie kamkuta Pierre utafiti wake umejikita kwenye Crystals ndiyo akambadilisha na kuhamia kwenye radioactivity. Siyo sahihi kusema kwamba eti ni Pierre ndiye alimpush Marrie katika utafiti wake. The woman was workaholic and totally committed to her research. Naam! Ndiye mwanamke wa kwanza kupata Ph.D ya Fizikia Sorbonne....na kufundisha pia!Unamfahamu mume wake Pierre Curie aliye mpush mpaka kufanikiwa kupata hiyo nobel?
Wewe hiyo orodha umeitoa wapi? Wewe ni 'scientist'?Ulishawahi kumsikia Madam Curie? Huo ni mfano mmoja tu, wapo na wengine.
Fuatilia mnipe majibu !! Mie sijaelewa?
sio mfumo dume ni majukumuWewe hiyo orodha umeitoa wapi? Wewe ni 'scientist'?Ulishawahi kumsikia Madam Curie? Huo ni mfano mmoja tu, wapo na wengine.
Lakini pia usisahau 'mfumo' dume. Huu haukuanzia huku kwetu tu, ilikuwa ni dunia nzima. Ni mwanamke gani angeacha kulea watoto nyumbani, kufua nguo na kupika, halafu aende kukesha ndani ya maabara.
Hapana mkuu 'Mzalendo Halisi', hili la "mwanamke ni mwanamke na mwanamke ameumbwa hivyo kiasili", ni dhana potofu sana kutoka kwa mtu mwenye uelewa kama wewe.Mbona hata majenerali wa majeshi duniani hakuna wanawake hata China wala Urusi hata US hakuna raisi mwanamke hadi leo? Acheni kulazimisha mambo mwanamme ni mwaname na mwanamke ameumbwa hivyo kiaslii
TNT na vingine vingi ikiwemo tiba mzee,dunia haijaanza miaka 500 iloyopitaWamegundua nini?
Wewe yachukulie hivyo unavyotaka, lakini hali ndivyo ilivyokuwa toka huko zamani, na kama huoni uhusiano wa mambo hayo na hili swala unalotaka lijadiliwe kwenye mada yako hii, basi utakuwa una 'a presumptive notion' juu ya swala lenyewe.sio mfumo dume ni majukumu
Ku-inspire hakujengi uwezo wa kiakili wa kugundua kitu,angegundua huyo mumewe basi!!Anapewa credit ila tusimsahau kumpa credit na mtu aliyemu inspire mpaka yeye kufikia hayo mafanikio
Huyu hajui historia ya sayansi. Marie Curie alikuwa mwanamme? Au Ada Lovelace naye alikuwa mwanamme? Inawezekana hata hajui Noether's Theorem ni kitu gani kwani pia angejua kuwa Emmy Noether alikuwa ni mwanamke.
Fuatilia mnipe majibu !! Mie sijaelewa?
Mkuu 'Zalemba', siku nyingine lete mada hii hii ukihoji mtu mweusi (mwanaume au mwanamke) kutokuwemo kwenye orodha hiyohiyo uliyoiweka hapo (kwenye mada yako ondoa tu 'mwanamke', na badala yake weka mtu mweusi.
Fuatilia mnipe majibu !! Mie sijaelewa?
Pierre yeye alivumbua kifaa cha kupima Charge, Marie akatumia kifaa hicho kufanya ugunduzi wa radiacative materials. Walipublish paper yao pamoja lakini mgunduzi mkuu alikuwa Marie.Unamfahamu mume wake Pierre Curie aliye mpush mpaka kufanikiwa kupata hiyo nobel?
Bila kutumia hicho kifaa angewezaje?Pierre yeye alivumbua kifaa cha kupima Charge, Marie akatumia kifaa hicho kufanya ugunduzi wa radiacative materials. Walipublish paper yao pamoja lakini mgunduzi mkuu alikuwa Marie.
Wanatajwa wote wawili kwa vile Marie alikuwa main author na Pierre alikuwa coauthor wa paper iliyowapa umaarufu.Bila kutumia hicho kifaa angewezaje?
Ndio maana kwenye hiyo rekodi wanatajwa wote wawili
Kwenye crystal anatajwa Perrie na kaka yake mkubwa.
Yani kiufupi alikuwa jamaa ambaye alikuwa ni cooperative sana
Yupo Mary Curie
Fuatilia mnipe majibu !! Mie sijaelewa?
We mwanaume umebuni vingapi?Wanawake wavivu sana wa kufikiria ili kubuni kitu
Lakini kwenye radioactive credit zinaenda kwa wote mume na mke na huku Pierre akitajwa mara nyingiWanatajwa wote wawili kwa vile Marie alikuwa main author na Pierre alikuwa coauthor wa paper iliyowapa umaarufu.
Kutengeza kifaa ni tofauti kabisa na kukitumia kugua jambo jingine lisilokuwapo. Kwa mfano, aliyegundua kifaa cha kupima charge kwenye waya ni Coulomb lakini Ohm alikitumia kifaa hicho kugundua Ohm's Law na wala Coulomb hawjawahi kupewea credit yoyote kwenye Ohms Law.
Amekopi na kupaste Kwa Henry Bequerel. Zaidi ya kugundua radium, hakuna chochote alichochangia.Unamfaham Marie Curie...