Kwanini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wake wa Rais?

Kwanini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wake wa Rais?

Juzi hapa ilitangazwa kwamba Prof. Mwandosya ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa EWURA. Wengi walishangaa kwa nini Prof. Mwandosya kaletwa kutoka hali ambayo wengi wetu tulidhani ni ustaafu na kurudi kuwa Mwenyekiti wa EWURA.

Lakini hatupaswi kushangaa. Uteuzi wa Prof. umetukumbusha pia kwamba wakati Mkapa akikabiliwa na sakata la ununuzi wa rada toka Uingereza, ni Prof. Mwandosya alipewa jukumu la kuliweka sawa jambo hilo, hadi kukawa na joke kwamba Prof. Mwandosya alim-charm yule mwanamke wa Uingereza aliyekuwa akitutuhumu vikali hadi akabadilika na kusema "it wa a very wise decision by Tanzania to buy the radar!"

Na pia kwa mlio na ufahamu, wakati uhusiano kati ya Kiwete na Kagame umeharibika sana hadi Kagame kutishia kumpiga Kikwete ni Prof. Mwandosya alitumwa Rwanda kwenda kuweka mambo sawa.

Na labda niwaambie siri nyingine, wakati Kikwete anaona anashambuliwa kila kona kwa kuwa raisi dhaifu, ni Prof. Mwandosya aliitwa ofisi ya Raisi kama waziri asie na wizara maalum na kuwa mshauri wa karibu wa Kikwete. Matokeo tukayaona, ghafla Kikwete akaanza kuonekana kuwa na busara sana nchini na nje ya nchi. Ilifikia hatua watu wakasema unajua Kikwete aliwahi kugombea uraisi angegombea awamu ijayo maana busara zimekuja mwishini mwa awamu yake, bila kutambua kuwa kulikuwa na busara za Prof. Mwandosya nyuma ya utendaji wa Kikwete katika sehemu kubwa ya awamu ya mwisho ya uraisi wake.

Na hivi, ni Watanzania wangapi wanatambua kuwa dira ya maendeleo aliyotumia Raisi Mkapa kutukwamua kiuchumi (TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025) ni matokeo ya kazi ya Prof. Mwandosya baada ya kuambiwa na Raisi Mkapa asimamie utayarishaji wake? Najua wengi hawakujua hili kwa sababu ilipokamilika iliandikwa imeandaliwa chini ya Planning Commission, bila kueleza iliandaliwa chini ya usimamizi wa Prof. Mwandosya

Na tunaomfahamu Prof. Mwandosya, tunajua kwamba katika nyanja za kimataifa, alikuwa kinara wa majadiliano ya mkataba wa mabadiliko ya tabia nchi ulioitwa Kyoto Protocol, kiasi kwamba alisifiwa sana juu ya uwezo wake wa kuchambua mambo na Raisi Clinton wa Marekani, pamoja na Al Gore. Wakati huo Prof. Mwandosya alikuwa msemaji wa kundi la G77 & China, lakini hakuwa na madaraka yoyote serikalini Tanzania, jambo ambalo lilimfanya Raisi Clinton wa Marekani amshangae sana Mkapa kutomtumia ipasayo Prof. Mwandosya katika serikali yake - na ndipo Prof Mwandosya "alipoamriwa" na Mkapa akagombee ubunge.

Ndio maana imesemwa kwamba katika mambo ambayo hutakaa umdanganye Prof. Mwandosya ni mambo ya mikataba. Hapo kina Prof. Kabudi na degree za sheria zao weka kando kabisa!

Na wakati fulani Prof. Mwandosya akiwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, kulikuwa na mbinu za nchi ya Misri kubadilisha makubaliano ya matumizi ya mto Nile ili kuinufaisha zaidi Misri. Ilibaki kidogo sana nchi za Mto Nile kutia sahihi mkataba huo mpya pale ambapo Prof. Mwandosya aliibuka tena na kuziamsha nchi nyingine juu ya vipengele kwenye makubaliano hayo mapya ambavyo vingezikandamiza. Kwa sababu ya uchambuzi wake huo, nchi zote za Mto Nile ziliwagomea Misri kuweka sahihi makubaliano hayo mapya. Hadi leo Misri hawataki kabisa kusikia habari za Prof. Mwandosya kwa kuwa wanamuona kuwa mtu aliewanyang'anya tonge mdomoni!

Na labda pia wengi waligundua kwamba mara tu baada ya Prof. Mwandosya kuteuliwa kuwa Mweyekiti wa EWURA, bei ya mafuta ilishuka kiasi tofauti na matarajio ya wengi, na wengi wamekuwa wakijiuliza kama ilikuwa ni utendaji wake kama Mwenyekiti wa EWURA uliosababisha kutoa ahueni kwenye bei za mafuta nchini.

Sasa kuna mengi juu ya Prof. Mwandosya naweza kusema hapa, lakini acha haya yatoshe kwa sasa ili kuweka backdrop ya swali langu. Kwa nini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi?

Swali langu pia linaendana na maoni ndani ya humu JF juu ya uteuzi wa Dr. Mpango kama Makamu wa Raisi. Kwa ujumla wengi wa wana JF hawaridhishwi kabisa na Dr. Mpango kuwa Makamu wa Raisi, hasa ukizingatia matukio ya hivi karibuni yaliyomhusu Dr. Mpango.

Sasa je, Kikwete hakukumbuka kwamba angalau Makamu wa Raisi wa Samia awe mmojawapo wa wagombea wa uraisi wa awamu ya Magufuli? Maana kama Prof. Mwandosya angekuwa Raisi badala ya Magufuli, hadi leo hii angekuwa ni raisi katika awamu yake ya mwisho. Je, inawezekana pia Kikwete hakumpendekeza Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi kutokana na ile issue ya "majina ya mfukoni"?

Kwa tunaomfahamu Prof. Mwandosya, ukiachia mbali porojo za humu JF, kama angekuwa ndio Makamu wa Raisi chini ya Raisi Samia, Tanzania tungeenda mbali sana na uongozi wa Raisi Samia ungeonekana ni bora na ungemfanya maarufu kwa scale ile ya Nyerere - mama wa Taifa! Na naweza kudiriki kusema inawezekana kabisa, Kikwete alitambua wazi kama Prof. Mwandosya angekuwa Makamu wa Raisi wa Samia, basi Kikwete angekuwa na influence kidogo sana kwa Samia, au asingekuwa na influence yeyote!

Kwa hiyo naweza kusema kwamba katika hili ni wazi ubinafsi ulizidi maslahi ya nchi. Raisi Samia alipigwa chenga katika kuteua Makamu wa Raisi. Prof. Mwandosya angemfaa sana na tusingekuwa na habari za kulishwa samaki waliooshwa kwenye maji ya maiti!
Kwanza Kikwete ana roho nzuri sana hata kumpa huyu mtu wako wadhifa wowote katika awamu yake

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza Kikwete ana roho nzuri sana hata kumpa huyu mtu wako wadhifa wowote katika awamu yake

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Kwa taarifa yako, alitaka asimpe uwaziri. Wazee wakamwambia utajichora vibaya mno na kuonekana una chuki binafsi kwa kuwa kila mtu anajua kuwa huyu jamaa ni kichwa sana na mchapakazi vibaya mno, na alijidhihirisha hivyo chini ya Mkapa. Akamuweka Ofisi ya Raisi Mazingira, akakuta umaarufu wake unapanda sana Umoja wa Mataifa, ikawa kama kampiga chura teke. Akamuondoa huko na kumweka Wizara ya Maji akiona kamficha huko na atakuwa bored, na huko ndio Prof Mwandosya akajizolea umaarufu juu ya suala la Mto Nile, nk. Ndipo likaja jaribio la kumuua Prof. Mwandosya kwa kutumia radioactive material.

Kumbuka kwamba Kikwete aljua uwezo wa Prof. Mwandosya kwenye mambo ya energy, lakini hakuthubutu kumpa wizara ya energy akihofia ingemfanya Prof. Mwandosya awe very popular kutokana na umahili wake ambao ungemwezesha kutatua matatizo ya umeme nchini na uwekezaji wa mafuta na gesi.

Kwa hiyo Kikwete alijaribu sana kum-marginalize Prof. Mwandosya, mwisho akaona haiwezekani abadilishe mbinu, adui mlete karibu. Akajifanya rafiki yake akamtembelea hadi kijijini kwao kule Unyakyusani kufungua shughuli fulani ya NGO ya Mrs Mwandosya sijui. Akiwa naye Ofisi ya Raisi alimhakikishia 100% kwamba atam-support awe the next president, kumbe anamwingiza mjini, ana jina la Membe mfukoni, na inasemekana Membe na Kikwete wana uhusiano wa kinduggu. Na Prof. Mwandosya akamwamini Kikwete hakufanya mkakati wa kuwa raisi nje ya influence ya Kikwete, his biggest mistake ambayo najua alijutia.
 
Kwanza Kikwete ana roho nzuri sana hata kumpa huyu mtu wako wadhifa wowote katika awamu yake

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Wala si kuwa na roho nzuri. Kikwete was very cunning. He laid the bait and Prof. Mwandosya took it hook, line and sinker!

Trusting Kikwete and thinking he was an ally after years of rivalry between them was the biggest mistake Prof. Mwandosya made in his political career. It probably cost him the presidency
 
Wazee mbona mmeanza mapema saana? Si mngesubiri angalau ifike 2024?
Acha kuwa politically shallow. This has nothing to do with uchaguzi ujao. Kwa kumsaidia nani sasa kama suala ni kuanza mapema, Prof. Mwandosya? Yaani kweli kwa akili yako unaona Prof. Mwandosya yuko kwenye line ya kugombea turaisi 2025 ili tumsaidie hapa leo hii?
 
Kwa hiyo makamu wa Rais aliyepo hafai ? Kila mtu na wakati wake.
Kuna Raisi mmoja tu alichagua Makamu wa Raisi kwa nia ya kumfanya aje awe Raisi, na kwa kuangalia uwezo wake - Benjamin William Mkapa, alipomteua Omar JUma kuwa Makamu wa Raisi kwa matarajio aje awe Raisi.

Lakini wanadamu si wema bwana, wakasema eti watu wa bara tumemfanya awe na silka ya kukana dini yake. Wakafika mbali sana. Iliniuma sana. Yaani duniani watu ni wabaya sana, wana ubaya wa kufisha!

Dr. Omar Juma angekuwa one of the best presidents in Tanzania, a wise, no nonsense man, very pragmatic. Very practical. Very realistic. Lakini kuna watu wakaona hakuwa na maslahi kwao, anawasaliti.
 
Kwa taarifa yako, alitaka asimpe uwaziri. Wazee wakamwambia utajichora vibaya mno na kuonekana una chuki binafsi kwa kuwa kila mtu anajua kuwa huyu jamaa ni kichwa sana na mchapakazi vibaya mno, na alijidhihirisha hivyo chini ya Mkapa. Akamuweka Ofisi ya Raisi Mazingira, akakuta umaarufu wake unapanda sana Umoja wa Mataifa, ikawa kama kampiga chura teke. Akamuondoa huko na kumweka Wizara ya Maji akiona kamficha huko na atakuwa bored, na huko ndio Prof Mwandosya akajizolea umaarufu juu ya suala la Mto Nile, nk. Ndipo likaja jaribio la kumuua Prof. Mwandosya kwa kutumia radioactive material.

Kumbuka kwamba Kikwete aljua uwezo wa Prof. Mwandosya kwenye mambo ya energy, lakini hakuthubutu kumpa wizara ya energy akihofia ingemfanya Prof. Mwandosya awe very popular kutokana na umahili wake ambao ungemwezesha kutatua matatizo ya umeme nchini na uwekezaji wa mafuta na gesi.

Kwa hiyo Kikwete alijaribu sana kum-marginalize Prof. Mwandosya, mwisho akaona haiwezekani abadilishe mbinu, adui mlete karibu. Akajifanya rafiki yake akamtembelea hadi kijijini kwao kule Unyakyusani kufungua shughuli fulani ya NGO ya Mrs Mwandosya sijui. Akiwa naye Ofisi ya Raisi alimhakikishia 100% kwamba atam-support awe the next president, kumbe anamwingiza mjini, ana jina la Membe mfukoni, na inasemekana Membe na Kikwete wana uhusiano wa kinduggu. Na Prof. Mwandosya akamwamini Kikwete hakufanya mkakati wa kuwa raisi nje ya influence ya Kikwete, his biggest mistake ambayo najua alijutia.
Mapenzi yako kwa Mwandosya yanakufanya hadi unaingia chaka,Membe na JK hawana undugu wowote.
 
Mapenzi yako kwa Mwandosya yanakufanya hadi unaingia chaka,Membe na JK hawana undugu wowote.
Nilisema inasemekana. Kwani wewe unayajua yote ya wazazi wao? Ulishaambiwa hapa Dar asilimia 15% ya watoto sio wa baba wanaowalea bila hao baba kujua hilo.
 
Juzi hapa ilitangazwa kwamba Prof. Mwandosya ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa EWURA. Wengi walishangaa kwa nini Prof. Mwandosya kaletwa kutoka hali ambayo wengi wetu tulidhani ni ustaafu na kurudi kuwa Mwenyekiti wa EWURA.

Lakini hatupaswi kushangaa. Uteuzi wa Prof. umetukumbusha pia kwamba wakati Mkapa akikabiliwa na sakata la ununuzi wa rada toka Uingereza, ni Prof. Mwandosya alipewa jukumu la kuliweka sawa jambo hilo, hadi kukawa na joke kwamba Prof. Mwandosya alim-charm yule mwanamke wa Uingereza aliyekuwa akitutuhumu vikali hadi akabadilika na kusema "it wa a very wise decision by Tanzania to buy the radar!"

Na pia kwa mlio na ufahamu, wakati uhusiano kati ya Kiwete na Kagame umeharibika sana hadi Kagame kutishia kumpiga Kikwete ni Prof. Mwandosya alitumwa Rwanda kwenda kuweka mambo sawa.

Na labda niwaambie siri nyingine, wakati Kikwete anaona anashambuliwa kila kona kwa kuwa raisi dhaifu, ni Prof. Mwandosya aliitwa ofisi ya Raisi kama waziri asie na wizara maalum na kuwa mshauri wa karibu wa Kikwete. Matokeo tukayaona, ghafla Kikwete akaanza kuonekana kuwa na busara sana nchini na nje ya nchi. Ilifikia hatua watu wakasema unajua Kikwete aliwahi kugombea uraisi angegombea awamu ijayo maana busara zimekuja mwishini mwa awamu yake, bila kutambua kuwa kulikuwa na busara za Prof. Mwandosya nyuma ya utendaji wa Kikwete katika sehemu kubwa ya awamu ya mwisho ya uraisi wake.

Na hivi, ni Watanzania wangapi wanatambua kuwa dira ya maendeleo aliyotumia Raisi Mkapa kutukwamua kiuchumi (TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025) ni matokeo ya kazi ya Prof. Mwandosya baada ya kuambiwa na Raisi Mkapa asimamie utayarishaji wake? Najua wengi hawakujua hili kwa sababu ilipokamilika iliandikwa imeandaliwa chini ya Planning Commission, bila kueleza iliandaliwa chini ya usimamizi wa Prof. Mwandosya

Na tunaomfahamu Prof. Mwandosya, tunajua kwamba katika nyanja za kimataifa, alikuwa kinara wa majadiliano ya mkataba wa mabadiliko ya tabia nchi ulioitwa Kyoto Protocol, kiasi kwamba alisifiwa sana juu ya uwezo wake wa kuchambua mambo na Raisi Clinton wa Marekani, pamoja na Al Gore. Wakati huo Prof. Mwandosya alikuwa msemaji wa kundi la G77 & China, lakini hakuwa na madaraka yoyote serikalini Tanzania, jambo ambalo lilimfanya Raisi Clinton wa Marekani amshangae sana Mkapa kutomtumia ipasayo Prof. Mwandosya katika serikali yake - na ndipo Prof Mwandosya "alipoamriwa" na Mkapa akagombee ubunge.

Ndio maana imesemwa kwamba katika mambo ambayo hutakaa umdanganye Prof. Mwandosya ni mambo ya mikataba. Hapo kina Prof. Kabudi na degree za sheria zao weka kando kabisa!

Na wakati fulani Prof. Mwandosya akiwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, kulikuwa na mbinu za nchi ya Misri kubadilisha makubaliano ya matumizi ya mto Nile ili kuinufaisha zaidi Misri. Ilibaki kidogo sana nchi za Mto Nile kutia sahihi mkataba huo mpya pale ambapo Prof. Mwandosya aliibuka tena na kuziamsha nchi nyingine juu ya vipengele kwenye makubaliano hayo mapya ambavyo vingezikandamiza. Kwa sababu ya uchambuzi wake huo, nchi zote za Mto Nile ziliwagomea Misri kuweka sahihi makubaliano hayo mapya. Hadi leo Misri hawataki kabisa kusikia habari za Prof. Mwandosya kwa kuwa wanamuona kuwa mtu aliewanyang'anya tonge mdomoni!

Na labda pia wengi waligundua kwamba mara tu baada ya Prof. Mwandosya kuteuliwa kuwa Mweyekiti wa EWURA, bei ya mafuta ilishuka kiasi tofauti na matarajio ya wengi, na wengi wamekuwa wakijiuliza kama ilikuwa ni utendaji wake kama Mwenyekiti wa EWURA uliosababisha kutoa ahueni kwenye bei za mafuta nchini.

Sasa kuna mengi juu ya Prof. Mwandosya naweza kusema hapa, lakini acha haya yatoshe kwa sasa ili kuweka backdrop ya swali langu. Kwa nini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi?

Swali langu pia linaendana na maoni ndani ya humu JF juu ya uteuzi wa Dr. Mpango kama Makamu wa Raisi. Kwa ujumla wengi wa wana JF hawaridhishwi kabisa na Dr. Mpango kuwa Makamu wa Raisi, hasa ukizingatia matukio ya hivi karibuni yaliyomhusu Dr. Mpango.

Sasa je, Kikwete hakukumbuka kwamba angalau Makamu wa Raisi wa Samia awe mmojawapo wa wagombea wa uraisi wa awamu ya Magufuli? Maana kama Prof. Mwandosya angekuwa Raisi badala ya Magufuli, hadi leo hii angekuwa ni raisi katika awamu yake ya mwisho. Je, inawezekana pia Kikwete hakumpendekeza Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi kutokana na ile issue ya "majina ya mfukoni"?

Kwa tunaomfahamu Prof. Mwandosya, ukiachia mbali porojo za humu JF, kama angekuwa ndio Makamu wa Raisi chini ya Raisi Samia, Tanzania tungeenda mbali sana na uongozi wa Raisi Samia ungeonekana ni bora na ungemfanya maarufu kwa scale ile ya Nyerere - mama wa Taifa! Na naweza kudiriki kusema inawezekana kabisa, Kikwete alitambua wazi kama Prof. Mwandosya angekuwa Makamu wa Raisi wa Samia, basi Kikwete angekuwa na influence kidogo sana kwa Samia, au asingekuwa na influence yeyote!

Kwa hiyo naweza kusema kwamba katika hili ni wazi ubinafsi ulizidi maslahi ya nchi. Raisi Samia alipigwa chenga katika kuteua Makamu wa Raisi. Prof. Mwandosya angemfaa sana na tusingekuwa na habari za kulishwa samaki waliooshwa kwenye maji ya maiti!

Samia anapaswa kuelewa kwamba Watanzania tunakesha tukimwombea uzima na afya tele, na sio tu kwa sababu tunampenda kama Raisi wa Tanzania!
-hapo uliposema prof.Mwandosya anajua sheria za mikataba kuliko Wanasheria like prof kabudi hapo umepuyanga au pengine uwezo wako mdogo
 
Acha kupotosha na ushabiki. Prof. Mwandosya hakuwahi kutemwa na Kikwete kwenye baraza la mawaziri na kurudi kijijini. In fact, hata alipoumwa karibu miezi sita Kikwete alisema nafasi yake ya uwaziri itamsubiri.

Licha ya hiyo, yale yalikuwa mambo ya ujana. Kumbuka KIkwete alimfanya Prof. Mwandosya kuwa mtu wake wa karibu sana katika uraisi wake. Na kwa taarifa yako, KIkwete alimuomba Mwandosya wasahau yaliyopita, na hata alikuwa tayari kusuluhishwa na kina Malechela, Mwambulukutu ikibidi. Prof. Mwandosya alijibu kuwa hakuona jambo la kusuluhisha na yeye alikuwa fresh kabisa na Kikwete na wakasahau yaliyopita.

In any case, Prof. Mwandosya alichokuwa akilalamika wakati wakiwa Nishati pamoja ni Kiwete kuingilia kazi za Katibu Mkuu. Lakini kama una habari za ndani utakumbuka kwamba climax ya yote ilikuwa ni Prof. Mwandosya kuamrisha meli iliyoleta mafuta machafu ya TIPER iondoke nchini ndani ya masaa 24, kitu ambacho Kikwete alipinga akidai wasamehewe. Na ilikuja kujulikana Kikwete alikuwa akisimamia maslahi ya nani pale Nishati. Sasa Prof. Mwandosya hakuwa arrogant, alitaka kuwa professional tofauti na waziri wake ambae wakati huo professionalism was a foreign word too difficult to understand its meaning.

Na by the way, ili Prof. Mwandosya akuheshimu inabidi ustahili heshima yake, hilo kwake ni la msingi sana. Na nitakuambia wazi, Prof. Mwandosya hakuona kama Magufuli alistahili heshima yake. Kikwete alikuja kutambua Prof. Mwandosya alisimamia wapi
Duh kumbe mengi tulikuwa hatujui kuhusu wewe Prof. Endelea maana si wengine wakati huo akili zetu sijui zilikuwa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-hapo uliposema prof.Mwandosya anajua sheria za mikataba kuliko Wanasheria like prof kabudi hapo umepuyanga au pengine uwezo wako mdogo
Nimekupa mifan miwili mikubwa, mkataba wa matumizi ya maji ya Mto NIle na Mkataba wa Kyoto Protocol. Sasa zaidi ya hapo sijui unataka uthibitisho gani?

Waulize watu waliokuwa baraza la mawaziri la Mkapa watakuambia.
 
Nashukuru walau umekubali kuwa Mwandosya alikuwa akipigana ubavu na Waziri wake Kikwete kuonyeshana misuli yaani tag of war kuwa nani zaidi wizarani kati ya katibu mkuu Mwandosya na Waziri wake Kikwete!!! Anyway kwenye hiyo vita baadaye Kikwete aliibuka kuwa Raisi!!! Sasa hapo nani zaidi katiya Mwandosya Proffessional katibu mkuu na Raisi waliyekuwa kwenye tag of war?

Ushabiki maandazi kabisa huu
 
Nimekupa mifan miwili mikubwa, mkataba wa matumizi ya maji ya Mto NIle na Mkataba wa Kyoto Protocol. Sasa zaidi ya hapo sijui unataka uthibitisho gani?

Waulize watu waliokuwa baraza la mawaziri la Mkapa watakuambia.
-atakuwa na yeye alishauriwa na profesa wa sheria, yeye ndio akaenda kwenye baraza la mawaziri kutoa hoja na sifa akapata yeye,
 
Juzi hapa ilitangazwa kwamba Prof. Mwandosya ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa EWURA. Wengi walishangaa kwa nini Prof. Mwandosya kaletwa kutoka hali ambayo wengi wetu tulidhani ni ustaafu na kurudi kuwa Mwenyekiti wa EWURA.

Lakini hatupaswi kushangaa. Uteuzi wa Prof. umetukumbusha pia kwamba wakati Mkapa akikabiliwa na sakata la ununuzi wa rada toka Uingereza, ni Prof. Mwandosya alipewa jukumu la kuliweka sawa jambo hilo, hadi kukawa na joke kwamba Prof. Mwandosya alim-charm yule mwanamke wa Uingereza aliyekuwa akitutuhumu vikali hadi akabadilika na kusema "it wa a very wise decision by Tanzania to buy the radar!"

Na pia kwa mlio na ufahamu, wakati uhusiano kati ya Kiwete na Kagame umeharibika sana hadi Kagame kutishia kumpiga Kikwete ni Prof. Mwandosya alitumwa Rwanda kwenda kuweka mambo sawa.

Na labda niwaambie siri nyingine, wakati Kikwete anaona anashambuliwa kila kona kwa kuwa raisi dhaifu, ni Prof. Mwandosya aliitwa ofisi ya Raisi kama waziri asie na wizara maalum na kuwa mshauri wa karibu wa Kikwete. Matokeo tukayaona, ghafla Kikwete akaanza kuonekana kuwa na busara sana nchini na nje ya nchi. Ilifikia hatua watu wakasema unajua Kikwete aliwahi kugombea uraisi angegombea awamu ijayo maana busara zimekuja mwishini mwa awamu yake, bila kutambua kuwa kulikuwa na busara za Prof. Mwandosya nyuma ya utendaji wa Kikwete katika sehemu kubwa ya awamu ya mwisho ya uraisi wake.

Na hivi, ni Watanzania wangapi wanatambua kuwa dira ya maendeleo aliyotumia Raisi Mkapa kutukwamua kiuchumi (TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025) ni matokeo ya kazi ya Prof. Mwandosya baada ya kuambiwa na Raisi Mkapa asimamie utayarishaji wake? Najua wengi hawakujua hili kwa sababu ilipokamilika iliandikwa imeandaliwa chini ya Planning Commission, bila kueleza iliandaliwa chini ya usimamizi wa Prof. Mwandosya

Na tunaomfahamu Prof. Mwandosya, tunajua kwamba katika nyanja za kimataifa, alikuwa kinara wa majadiliano ya mkataba wa mabadiliko ya tabia nchi ulioitwa Kyoto Protocol, kiasi kwamba alisifiwa sana juu ya uwezo wake wa kuchambua mambo na Raisi Clinton wa Marekani, pamoja na Al Gore. Wakati huo Prof. Mwandosya alikuwa msemaji wa kundi la G77 & China, lakini hakuwa na madaraka yoyote serikalini Tanzania, jambo ambalo lilimfanya Raisi Clinton wa Marekani amshangae sana Mkapa kutomtumia ipasayo Prof. Mwandosya katika serikali yake - na ndipo Prof Mwandosya "alipoamriwa" na Mkapa akagombee ubunge.

Ndio maana imesemwa kwamba katika mambo ambayo hutakaa umdanganye Prof. Mwandosya ni mambo ya mikataba. Hapo kina Prof. Kabudi na degree za sheria zao weka kando kabisa!

Na wakati fulani Prof. Mwandosya akiwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, kulikuwa na mbinu za nchi ya Misri kubadilisha makubaliano ya matumizi ya mto Nile ili kuinufaisha zaidi Misri. Ilibaki kidogo sana nchi za Mto Nile kutia sahihi mkataba huo mpya pale ambapo Prof. Mwandosya aliibuka tena na kuziamsha nchi nyingine juu ya vipengele kwenye makubaliano hayo mapya ambavyo vingezikandamiza. Kwa sababu ya uchambuzi wake huo, nchi zote za Mto Nile ziliwagomea Misri kuweka sahihi makubaliano hayo mapya. Hadi leo Misri hawataki kabisa kusikia habari za Prof. Mwandosya kwa kuwa wanamuona kuwa mtu aliewanyang'anya tonge mdomoni!

Na labda pia wengi waligundua kwamba mara tu baada ya Prof. Mwandosya kuteuliwa kuwa Mweyekiti wa EWURA, bei ya mafuta ilishuka kiasi tofauti na matarajio ya wengi, na wengi wamekuwa wakijiuliza kama ilikuwa ni utendaji wake kama Mwenyekiti wa EWURA uliosababisha kutoa ahueni kwenye bei za mafuta nchini.

Sasa kuna mengi juu ya Prof. Mwandosya naweza kusema hapa, lakini acha haya yatoshe kwa sasa ili kuweka backdrop ya swali langu. Kwa nini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi?

Swali langu pia linaendana na maoni ndani ya humu JF juu ya uteuzi wa Dr. Mpango kama Makamu wa Raisi. Kwa ujumla wengi wa wana JF hawaridhishwi kabisa na Dr. Mpango kuwa Makamu wa Raisi, hasa ukizingatia matukio ya hivi karibuni yaliyomhusu Dr. Mpango.

Sasa je, Kikwete hakukumbuka kwamba angalau Makamu wa Raisi wa Samia awe mmojawapo wa wagombea wa uraisi wa awamu ya Magufuli? Maana kama Prof. Mwandosya angekuwa Raisi badala ya Magufuli, hadi leo hii angekuwa ni raisi katika awamu yake ya mwisho. Je, inawezekana pia Kikwete hakumpendekeza Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi kutokana na ile issue ya "majina ya mfukoni"?

Kwa tunaomfahamu Prof. Mwandosya, ukiachia mbali porojo za humu JF, kama angekuwa ndio Makamu wa Raisi chini ya Raisi Samia, Tanzania tungeenda mbali sana na uongozi wa Raisi Samia ungeonekana ni bora na ungemfanya maarufu kwa scale ile ya Nyerere - mama wa Taifa! Na naweza kudiriki kusema inawezekana kabisa, Kikwete alitambua wazi kama Prof. Mwandosya angekuwa Makamu wa Raisi wa Samia, basi Kikwete angekuwa na influence kidogo sana kwa Samia, au asingekuwa na influence yeyote!

Kwa hiyo naweza kusema kwamba katika hili ni wazi ubinafsi ulizidi maslahi ya nchi. Raisi Samia alipigwa chenga katika kuteua Makamu wa Raisi. Prof. Mwandosya angemfaa sana na tusingekuwa na habari za kulishwa samaki waliooshwa kwenye maji ya maiti!

Samia anapaswa kuelewa kwamba Watanzania tunakesha tukimwombea uzima na afya tele, na sio tu kwa sababu tunampenda kama Raisi wa Tanzania!
TETESI Upo wosia wa Hayati Magufuli 2025 mtaujuwa stay tune
 
Mapenzi yako kwa Mwandosya yanakufanya hadi unaingia chaka,Membe na JK hawana undugu wowote.
Nafurahi kuona Kikwete kwa mdomo wake mwenyewe, sio wako, amelikanusha hili hadharani, kwa kuwa anajua linasemwa sana
 
Nadhani sasa umefika wakati muafaka wa Samia kumteua Prof. Mwandosya kama waziri Mkuu, kama sio Makamu wa Raisi. Huenda Kikwete atapinga sana kwa sababu zake binafsi na sio maslahi ya taifa, lakini labda ni vema Samia asimsikilize katika hili
 
Back
Top Bottom