Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

KUNA WABUNGE 19 WA VITI MAALUMU BUNGENI UNAJUA? NANI ALIWAPELEKA? UNAJUA KILICHOTOKEA KWENYE UCHAGUZUZI WA 2020? MAGUFULI ALIPATA KURA NGAPI ANDIKA HAPA? LISU JE? ANDIKA HAPA KWA VIELELEZO TOKA MNAYOIITA TUME YA UCHAGUZI
wabunge 19 ni matokeo ya ufisadi wa chadema wale bora walienda maana mbowe alitaka kupeleka mademu zake wakashtuka kina dada wako bungeni safi sana aibu kwa mbowe hiyo
 
Anaondoka anaenda wapi? Mpaka mteme ndoano
 
Unamaanisha kama Mwenyekiti angekuwa Lissu Chadema ingekufa? Ni ukweli uliodhahiri kuwa CCM Imejichokea Tena hii tabia ya kupeana vyeo kwa kujuana ndioo imewakatisha vijana tamaa kabisa

Ila lazima tukubali ili kuitoa madarakani CCM kinatakiwa chama Cha Upinzani imara kitakachowaaminisha vijana kuwa hiki ni tofauti na CCM

Mwanzoni kilianza CUF Watu wengi walikuwa na Imani na wakaona hiki chama ndio mkombozi wao lakini kadri muda ulivyokuwa unakwenda ndivyo watu walivyokuwa wanazodi kupoteza matumaini na kuona Bora zimwi likujualo
Hali hiyo watu kwa NCCR,TLP na Sasa CHADEMA Ukweli watu wengi tunapenda Upinzani kinachotuvunja moyo viongozi wetu wengi wa Upinzani ni masnich(wanafiki wakubwa)CCMB ila Nina Imani siku wakizaliwa viongozi wa kweli wa Upinzani CCM Inaondoka mchana kweupe sio hawa wachumia tumbo kina Mbowe,Lipumba,Zitto nk mpinzani wa kweli ila hana sapota ni TUNDU LISSU Peke yake hawa wengine ni wazee wa amsha amsha lakini hamna kitu
 
ccm

wanabadirishana uongozi maana kuna hazina kubwa ya viongozi safi sasa chadema hawana mtu mwingine wakimtoa mbowe wengine wote vilaza ndiyo maana ya kubaki na mbowe miaka yote wengine hawajitambui
Sasa kama chama kina watu wote hawajitambui Kuna chama hapo? πŸ˜‚
 
Huwezi kuwa mwenyekiti wa chama for 30yrs wenye akili wakakaa kimya kukuangalia tu. Ni wapumbavu tu watashangilia huu ujinga. Amekuwa Ayatollah?
 
Kingine ulichosahau kuuliza ni hiki, kwanini hawa unaowasema wakiondoka Chadema huko waendako wanapewa vyeo, na kuwapiku wanaccm wa miaka mingi wafia chama?

Ukiunganisha hoja hizi mbili tunaweza kupata jibu kirahisi sana
Nadhani hoja ya msingi sasa ni kwa Mh Mbowe kukabidhi kijiti kwa mwanachama mwingine. Hili linapunguza sana credibility yake na dhana nzima ya demokrasia.
 
nakubali ulichoandika sasa kwann tusi msupport TUNDU LIUSU?
 
Binafsi mbowe sioni tatizo lake isipokua kuna chawa kutoka uko ujanini wanaingia kwa lengo la kutaka nafasi kubwa ili kufanikisha malengo ya fisiemu ona cuf ya pro lipumba-vu ilivyohujumiwa
 
Binafsi mbowe sioni tatizo lake isipokua kuna chawa kutoka uko ujanini wanaingia kwa lengo la kutaka nafasi kubwa ili kufanikisha malengo ya fisiemu ona cuf ya pro lipumba-vu ilivyohujumiwa
Kumbe Lissu ni chawa wa CCMπŸ˜‚
Kumbe Heche ni chawa wa CCMπŸ˜‚
 
Reactions: Tui
Waliokihama CHADEMA walikuwa na lengo la kujinufaisha wenyewe ndani ya chama na ndo maana imekuwa rahisi kukimbilia CCM coz huko pesa ipo. Hawakuwa na maslahi na taifa zima Kwa sababu ndani ya CCM kuna dosari nyingi ambazo zinafahamika lakini Hilo kwao sio issue. Lengo ni pesa tu. Mbowe ni jasiri n lazima awe mkali pale anapoona Kuna tatizo, so mwacheni aendelee kukijenga chama, kakitoa mbali sanaaa!
 
Naona mna wivu, mnataka kuchuma msipopanda.

Kujenga chama cha upinzani kikadumu siyo kazi nyepesi, kama unadhani ni rahisi, angalia vyama vingapi vimekuja na kupotea kirahisi huku CHADEMA ikipeta?.

Waambie hao wanaolalamika waanzishe vyama vyao tuone kama watatoboa.

Hao wote wanaolia lia wametolewa matopeni na CHADEMA wakawekwa nuruni, bila CHADEMA pengine tusingewajua milele.

Mungu ibariki CHADEMA isonge mbele zaidi ya hapo.

cc
Erythrocyte
 
Miaka 30 Mbunge mmojaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usipende kuropoka. Lini Mbowe kafikisha miaka 30?. Ndio shida ya watoto wajuzi kujifanya wanajua kila kitu. Mbowe kapata uenyekiti mwaka 2004. So anamiaka 20.
 
Nimekuja kugundua hiki Chama kimejaa uhuni mwingi,

Kwanini mtu aachwe Mwenyekiti miaka 30 huku akifukuza huyu na yule?

Sasa lengo la vyama vingi liko wapi si Bora CCM ibaki tu madarakani milele?
Miaka 30 unaijua?. Usipende kuropoka .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…