Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

Naona mna wivu, mnataka kuchuma msipopanda.

Kujenga chama cha upinzani kikadumu siyo kazi nyepesi, kama unadhani ni rahisi, angalia vyama vingapi vimekuja na kupotea kirahisi huku CHADEMA ikipeta?.

Waambie hao wanaolalamika waanzishe vyama vyao tuone kama watatoboa.

Hao wote wanaolia lia wametolewa matopeni na CHADEMA wakawekwa nuruni, bila CHADEMA pengine tusingewajua milele.

Mungu ibariki CHADEMA isonge mbele zaidi ya hapo.

cc
Erythrocyte
Sasa Mbowe kajenga nini?
 
Kingine ulichosahau kuuliza ni hiki, kwanini hawa unaowasema wakiondoka Chadema huko waendako wanapewa vyeo, na kuwapiku wanaccm wa miaka mingi wafia chama?

Ukiunganisha hoja hizi mbili tunaweza kupata jibu kirahisi sana
Mbowe anapendwa na wanachadema kama Putin anavyopendwa na Warusi! Ahahahahaha!!!
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka 30"

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"


Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
Mimi huwa napenda kujadili hoja za mtu mkweli.

Bob Makani na Lipumba walikuwa ni wenyeviti kwa wakati mmoja sasa Mbowe amekuwaje mwenyekiti kwa miaka 30?

Halafu hao wote kama wameondoka kwa ajili ya Mbowe maana yake Mbowe ni jabari, siyo sawa na Mbatia sliyeng'olewa uenyekiti Nccr na kufutwa uanachama.

Nadhani hapa lugha sahihi ni kwamba Mbowe ameshindikana ni mbuyu na ataandaa yeye succesor plan ya mwenyekiti wa kumrithi.
 
Nadhani hoja ya msingi sasa ni kwa Mh Mbowe kukabidhi kijiti kwa mwanachama mwingine. Hili linapunguza sana credibility yake na dhana nzima ya demokrasia.
Kuna ushahidi upi wa kuthibitisha hayo?
 
Mimi huwa napenda kujadili hoja za mtu mkweli.

Bob Makani na Lipumba walikuwa ni wenyeviti kwa wakati mmoja sasa Mbowe amekuwaje mwenyekiti kwa miaka 30?

Halafu hao wote kama wameondoka kwa ajili ya Mbowe maana yake Mbowe ni jabari, siyo sawa na Mbatia sliyeng'olewa uenyekiti Nccr na kufutwa uanachama.

Nadhani hapa lugha sahihi ni kwamba Mbowe ameshindikana ni mbuyu na ataandaa yeye succesor plan ya mwenyekiti wa kumrithi.
Alianza na Uenyekiti wa BAVICHA
 
Lazima wamtaje kwasababu ndo mmiliki wa CHADEMA baada ya kurithishwa na mkwe wake. Kama hutaki kufuata sheria za Mbowe ondoka CHADEMA. Hulazimishwi kuwepo kwenye chama cha familia.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Huna akili, Mbowe alikuwa katibu mkuu wa Chama,
Kumbe hujui historia ya CHADEMA wewe,

Mbowe alitoka mwenyekiti wa BAVICHA kisha Mwenyekiti wa CHAMA,
sasa tukisema ni mkt miaka 30 tunakosea wapi?
 
Lazima wamtaje kwasababu ndo mmiliki wa CHADEMA baada ya kurithishwa na mkwe wake. Kama hutaki kufuata sheria za Mbowe ondoka CHADEMA. Hulazimishwi kuwepo kwenye chama cha familia.
Sahihi kabisa Chadema is not a political party
 
Screenshot_20240605-130835.png
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka 30"

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"


Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
Waulizeni kuwa vyama visivyoongozwa na Mbowe vimepiga hatua gani? Wakijibu vema, nami nitaungana nao Kumpinga.
 
Back
Top Bottom