Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

Kiukweli mm siipendi ccm lakini suala la Mbowe kuwa mwenyekiti miaka nenda rudi linafikirisha sana...
 
Me nadhani Mbowe yupo kwenye vyama vya kishetani pamoja na baadhi ya viongozi wa Ccm ambao agenda yao ni kuitafuna nchi

(Wachache wataelewa)
 
Nimekuja kugundua hiki Chama kimejaa uhuni mwingi,

Kwanini mtu aachwe Mwenyekiti miaka 30 huku akifukuza huyu na yule?

Sasa lengo la vyama vingi liko wapi si Bora CCM ibaki tu madarakani milele?
Ujanja ujanja mwingi
 
Chama kimechafuliwa na ulambaji asali Toka CCM!!

Mbowe ni mwanaccm aliechangamka anaefaidika na mfumo wa CCM uliopo!!

Mission ya kuzigawa kura za chadema imekamilika kupitia uchaguzi!

Vinyongo na sarakasi zitakigawa chama!

Ziti na mbatia kaeni mkao wa kula!
 
Binafsi yangu mie ni mwana CCM but jamaa anajua uingozi.Mbowe hata speech zake ukisikiliza unadhani hisi ni Mwl.Nyerere anaongea-jamaa anaongea kwa utulivu sana kwa data na fact.
 
Sasa hao waliotoka wamefanya nini kuziba hayo mapungufu na kuleta kitu bora???,basi wangekuwa wanafanya tofauti na kutushawishi sisi twende lakini hawana chochote zaidi ya lawama.

Watanzania wengi ni maskini wa mali hadi fikra,hakika mbowe angesema aachie chama hadi leo hiyo Chadema ingekuwa imisha kufa.

Mtu pekee Mbowe anatakiwa umwachie chama ni Lissu,atleast jamaa anaweza kupambana na kupeleka chama magali-tatizo ni uchumi sijui kama Lissu anao-kuongoza chama cha upinzani ukiwa maskini huwezi fikisha miaka 5 utaninuliwa tu na watawala.
 
K
Kumbe ni kweli CHADEMA ni ya Mbowe
Kwani CCM ilikuwa ya nani bro? Kama sio Nyerere.Hakuna wananchi wanaanzisha chama hizo huwa ni ngonjela za kupumbaza wajinga-vyama vinaanzishwa na mtu au watu wachache Duniani kote.
 
K
Kumbe ni kweli CHADEMA ni ya Mbowe
Kwani TANU iloyabadilika na kuwa CCM ilikuwa ya nani bro? Kama sio Nyerere.Hakuna wananchi wanaanzisha chama hizo huwa ni ngonjela za kupumbaza wajinga-vyama vinaanzishwa na mtu au watu wachache Duniani kote
 
Kingine ulichosahau kuuliza ni hiki, kwanini hawa unaowasema wakiondoka Chadema huko waendako wanapewa vyeo, na kuwapiku wanaccm wa miaka mingi wafia chama?

Ukiunganisha hoja hizi mbili tunaweza kupata jibu kirahisi sana
Akikujibu hilo uniambie
 
Chama kimechafuliwa na ulambaji asali Toka CCM!!

Mbowe ni mwanaccm aliechangamka anaefaidika na mfumo wa CCM uliopo!!

Mission ya kuzigawa kura za chadema imekamilika kupitia uchaguzi!

Vinyongo na sarakasi zitakigawa chama!

Ziti na mbatia kaeni mkao wa kula!
Mbowe asali imekolea utamu🤣🤣
 
Nimekuja kugundua hiki Chama kimejaa uhuni mwingi,

Kwanini mtu aachwe Mwenyekiti miaka 30 huku akifukuza huyu na yule?

Sasa lengo la vyama vingi liko wapi si Bora CCM ibaki tu madarakani milele?
Baba mkwe alimwapiza kuwa hiki chama ni lazima amrithishe mwanae
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka 30"

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"


Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
KWAN
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka 30"

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"


Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
MBOWE AMEKUWA MWENYEKITI KWA MIONGO MIWILI TU (2004) NA SIO MIONGO MITATU KAMA UNAVYOTAKA KUPOTOSHA.
PILI MBOWE SI MWENYEKITI ALIYEKAA KWA MUDA MREFU ZAIDI, VIPI KUHUSU LIPUMBA?, JOHN CHEYO?
HOJA YA KUSEMA KWANINI KILA ANAYETOKA CHADEMA ANAMTAJA MBOWE HAINA MASHIKO. MBOWE NDIYE TOP KTK CHAMA, HIVYO LAZIMA ATAJWE ZAIDI, NDO MAANA HATA KATIKA NCHI ANAYETAJWA SANA NI RAIS. USHAWAHI SIKIA WATU WANALALAMIKIA MAISHA MAGUMU WAKAMTAJA MAKAMU WA RAIS?.
 
Kwa style hii CCM watauza mpka wake zetu.
 
Nimekuja kugundua hiki Chama kimejaa uhuni mwingi,

Kwanini mtu aachwe Mwenyekiti miaka 30 huku akifukuza huyu na yule?

Sasa lengo la vyama vingi liko wapi si Bora CCM ibaki tu madarakani milele?
Naomba unijibu maswali haya
1) Anajichagua mwenyewe?
2)Anafukuza watu mwenyewe kama yeye Mbowe au?....wanafata matakwa ya katiba yao?
 
KUNA WABUNGE 19 WA VITI MAALUMU BUNGENI UNAJUA? NANI ALIWAPELEKA? UNAJUA KILICHOTOKEA KWENYE UCHAGUZUZI WA 2020? MAGUFULI ALIPATA KURA NGAPI ANDIKA HAPA? LISU JE? ANDIKA HAPA KWA VIELELEZO TOKA MNAYOIITA TUME YA UCHAGUZI
Mbona vyama viko 19,kama wanaohama toka vyama vingine wanatoa sabàbu inakuwaje wanaohama CHADEMA kutoa sababu iwe nongwa ?wanatamani washushe Tanga,Bado yupo sana
 
Back
Top Bottom