Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

ulishawahi kufikiria kipindi ambacho mtu aliyetoa ml 900 JPM kuwanunua wabunge na madiwani bwana JPM ALIVYKUWA RAISI NA NIA YAKE OVU KWA CHADEMA KAMA MWENYEKITI ASINGEKUWA MBOWE INGEKUAJE
Ulishawahi kujiuliza kwamba waliowahi kuhama chama kwann wanaongea mwimbo mmoja tuu
Chadema mlitoa sh ngapi kumnunua Lowassa?
 
Kingine ulichosahau kuuliza ni hiki, kwanini hawa unaowasema wakiondoka Chadema huko waendako wanapewa vyeo, na kuwapiku wanaccm wa miaka mingi wafia chama?

Ukiunganisha hoja hizi mbili tunaweza kupata jibu kirahisi sana
Na kwanini wote wanao ondoka chadema wanakwenda ccm au wanakuwa marafiki wa ccm. Hapo ndio utajuwa shida sio mbowe shida ni ccm. Kama umeisha ona mtu mkubwa chadema akaenda NCCR, au UDP hapo ungejuwa wanasema kweli lakini kama wanakwenda ccm maana yake ni njaa zinawasumbuwa tu.
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka "

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"

Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA na kisha chama.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
Mbogwe Kagoma kuingia kwenye mfumo wa Ccm, wanaodhani vyama vyote vitaweza kusambaratika kama ilivyotokea kwa Nccr, CUF na vyama vyote shikizi vya ccm, lkn kila wakitumia hela, wanashindwa, wamegundua Bikionere Mbogwe asiye nilikaa ndiye tishio kwa utawala wa ccm, sasa wanapambana kumtoa ili waliingilia chama wakiuwe
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka "

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"

Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA na kisha chama.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
 

Attachments

  • VID-20240701-WA0000.mp4
    1.5 MB
  • VID-20240701-WA0013.mp4
    690.9 KB
Nimekuja kugundua hiki Chama kimejaa uhuni mwingi,

Kwanini mtu aachwe Mwenyekiti miaka 30 huku akifukuza huyu na yule?

Sasa lengo la vyama vingi liko wapi si Bora tuseme CCM ibaki madarakani milele kama Upinzani hata kujiongoza tu hamuwezi.
Nilishasema hakuja Upinzani Halisi Tanzania...na Hakuna Mwanasiasa Mzalendo isipokuwa wapo kimaslahi

Mpinzani Tanzania alikuwa Mch. Christopher Mtikila na Sengodo Mvungi
 
Hata CCM imedumu Sana Tanzania na wananchi wenye akili tumeichoka
Chama kudumu sawa, hata ANC ina miaka zaidi ya 100 sasa lakini Demokrasia ni kupokezana uongozi

Mimi siko Kijani na sina chama cha siasa lakini nazungumza ukweli ili kuondoa Doughts kwa CHADEMA
 
Hata kama Mbowe asingekuwa Tatizo bado wangehama! Shida ni Njaa.
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka "

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"

Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA na kisha chama.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
Yule mpenda beer baridi (nadhani safari lager) alipotimkia huko mliko hakutoa nenno? Au aliondoka akiwa Tilda Lila.?
 
Wala usipate taabu. Waulizeni kuwa vyama visivyoongozwa na Mbowe vimepiga hatua gani? Wakijibu vema, nami nitaungana nao Kumpinga.
Vyama visivyoongozwa na mbowe vimepiga hatua sana kwenye demokrasia mtu yeyote mwenye vigezo anagombea uongozi na kukabidhiwa akionekana anafaa bila ya kumuogopa mtu mmoja kana kwambs ni Saccoss yake.
 
ulishawahi kufikiria kipindi ambacho mtu aliyetoa ml 900 JPM kuwanunua wabunge na madiwani bwana JPM ALIVYKUWA RAISI NA NIA YAKE OVU KWA CHADEMA KAMA MWENYEKITI ASINGEKUWA MBOWE INGEKUAJE
Ulishawahi kujiuliza kwamba waliowahi kuhama chama kwann wanaongea mwimbo mmoja tuu
Na ndio point watu wanayohoji. CHADEMA kama TAASISI imeshindwa kutengeneza mtu anayetosha kiti cha Mbowe??? Je ni kweli CHADEMA ni Taasisi imara yenye watu wenye weledi kama wanashindwa tu kupata mrithi wa Kiti??

Je Mbowe akifa (hatombei) au akihamia CCM???

Je kiti cha Mbowe hakihitaji mtu mwenye mawazo mapya jinsi ya kuendesha chama baada ya kushindwa kuitoa CCM madarakani kwa miaka 30??

Tofauti ya Mbowe, Lipumba, Cheyo n.k ni ipi?
 
Sasa hao waliotoka wamefanya nini kuziba hayo mapungufu na kuleta kitu bora???,basi wangekuwa wanafanya tofauti na kutushawishi sisi twende lakini hawana chochote zaidi ya lawama.

Watanzania wengi ni maskini wa mali hadi fikra,hakika mbowe angesema aachie chama hadi leo hiyo Chadema ingekuwa imisha kufa.

Mtu pekee Mbowe anatakiwa umwachie chama ni Lissu,atleast jamaa anaweza kupambana na kupeleka chama magali-tatizo ni uchumi sijui kama Lissu anao-kuongoza chama cha upinzani ukiwa maskini huwezi fikisha miaka 5 utaninuliwa tu na watawala.
Basi kama chama kipo na mtu makini mmoja hakifai kuongoza nchi maana mtataka mtu mmoja aongoze ikulu na wizara zote pamoja na taasisi zote akae peke yake nchi itaendelea vipi
 
Hahaha mipango ya CCM. Kama mmemsikiliza MSigwa anasema, Magufuli alikuwa anamshauri sana ahame Chadema aende CCM lakini akamwambia nitakusaidia nikiwa huku(CHADEMA). Kuna kitu alikuwa kaagizwa kufanya, hakuweza kukipata.

Alitaka nafasi ya juu ili akihama awe gumzo, CHADEMA walimuelewa mapema, wakaamua kumuweka anapostahili, ili akiondoka, asiwe na impact yoyote, na sasa ndipo alipo.

Mbowe ni mwiba kwa CCM, wao walitaka vyama vinavyowekwa mifukoni mwao(CCM). Lakini CHADEMA imekuwa tofauti, imekuwa kama mende, ukimuua kwa kumsigina, umemsaidia kueneza mayai na watazaliwa wengi zaidi.
Demokrasia gani wanayoitaka, Kule CCM Magufuli alimfukuza SOFIA SIMBA, na Benard MEMBE kwa kutofautia naye siyo chama, na ilionekana sawa.

Huku wanaoondoka wanakuwa Ma agent wanaotaka kufanikiwa lakini wanakosea, wanaondoka chama kinaerndelea kustawi, ni kama magamba ya nyoka, yanapotoka ndio nyoka anapendeza.

Binafsi naona waondoke tu, na ikiwa wanataka Mbowe aondoke, basi watafute njia nyingine hii ya kumtuhumu iliishashindwa.
Siku ukijua kuwa Mbowe ni sehemu ya Lumumba sijui itakuwaje??
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka "

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"

Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA na kisha chama.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
Kama Mbowe ni mwenyekiti wa miaka mingi vipi John Cheyo atakuwa wa miaka mingapi?Inaonekana hapa ishu siyo muda mrefu wa uwenyekiti kwenye chama Cha siasa,bali ni Mbowe kuwa mhimili ndani ya Chadema na kusababisha kuwa chama kikuu cha upinzani hadi leo.Ingekuwa ishu ni muda mrefu wa uwenyekiti basi angezungumziwa John Cheyo. Jambo la kujiuliza ni kwanini Ccm huwa inapiga kelele juu ya uwenyekiti wa Mbowe?Ni kwanini wanaohama Chadema wanapewa nafasi ya cheo serkalini?
 
Back
Top Bottom