Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

A good dancer must know when to leave the stage. now it's time for Freeman Mbowe to have a chance for another Generation.
1.Lissu
2. Msigwa.
3. Rwakatale
4. Wenje
5 Grecian Mkoba .. mwenyekiti chadema Kagera.. a former CWT
6. DANIEL DAMIAN
7. JOHN MNYIKA
 
Mkuu umenisahau mimi.
Umkhontowesizwe: Niliondoka chadema kw sababu mbowe alikikodisha chama kwa Lowassa (rip) ili agombelee urais.
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka "

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"


Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA na kisha chama.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
Mbowe hoi aisee🤣🤣🤣
 
A good dancer must know when to leave the stage. now it's time for Freeman Mbowe to have a chance for another Generation.
1.Lissu
2. Msigwa.
3. Rwakatale
4. Wenje
5 Grecian Mkoba .. mwenyekiti chadema Kagera.. a former CWT
6. DANIEL DAMIAN
7. JOHN MNYIKA
Daaah
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka "

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"


Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA na kisha chama.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
Lazima Kuna kitu sio bure
 
Kingine ulichosahau kuuliza ni hiki, kwanini hawa unaowasema wakiondoka Chadema huko waendako wanapewa vyeo, na kuwapiku wanaccm wa miaka mingi wafia chama?

Ukiunganisha hoja hizi mbili tunaweza kupata jibu kirahisi sana
Mkuu hoja yako ni mtambuka,tukuulize na wew kwanini wale wanaotoka ccm wakija CHADEMA wanapewa sifa ya kupeperusha bendera ya kuwania kiti cha Urais?Au nnan aliyewah toka ccm akaja chadema hakupewa madaraka?
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka "

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"


Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA na kisha chama.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
Nikama kufukuzwa kazi utamlaumu MD na HR
 
Wa
Mkuu hoja yako ni mtambuka,tukuulize na wew kwanini wale wanaotoka ccm wakija CHADEMA wanapewa sifa ya kupeperusha bendera ya kuwania kiti cha Urais?Au nnan aliyewah toka ccm akaja chadema hakupewa madaraka?
Wangapi?
 
A good dancer must know when to leave the stage. now it's time for Freeman Mbowe to have a chance for another Generation.
1.Lissu
2. Msigwa.
3. Rwakatale
4. Wenje
5 Grecian Mkoba .. mwenyekiti chadema Kagera.. a former CWT
6. DANIEL DAMIAN
7. JOH

A good dancer must know when to leave the stage. now it's time for Freeman Mbowe to have a chance for another Generation.
1.Lissu
2. Msigwa.
3. Rwakatale
4. Wenje
5 Grecian Mkoba .. mwenyekiti chadema Kagera.. a former CWT
6. DANIEL DAMIAN
7. JOHN MNYIKA
Sasa kama lengo ni kudhoofisha unataka wamtaje Nan tumia akili wanatumwa kama wewe ulivyotumwa
 
ulishawahi kufikiria kipindi ambacho mtu aliyetoa ml 900 JPM kuwanunua wabunge na madiwani bwana JPM ALIVYKUWA RAISI NA NIA YAKE OVU KWA CHADEMA KAMA MWENYEKITI ASINGEKUWA MBOWE INGEKUAJE
Ulishawahi kujiuliza kwamba waliowahi kuhama chama kwann wanaongea mwimbo mmoja tuu
Mpaka kufikia 2021 Mbowe alikimbia nchi. So, ni kudra tu hana umwamba wowote.
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka "

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"

Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA na kisha chama.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
Kati ya wote hawa CCM ndiyo inaongoza kwa kuitaja Chadema na Mbowe.
 
ccm

wanabadirishana uongozi maana kuna hazina kubwa ya viongozi safi sasa chadema hawana mtu mwingine wakimtoa mbowe wengine wote vilaza ndiyo maana ya kubaki na mbowe miaka yote wengine hawajitambui
Kwahiyo watanzania ni vilaza ndiyo sababu familia za watawala zinapeana madaraka ya kututawala vilaza!
 
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA,

Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe,

Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao

1. Zitto Zuberi Kabwe: "Naondoka CHADEMA tatizo ni Uenyekiti wa CHADEMA"

2. Dkt Willbroad Slaa: " Nimeondoka CHADEMA Mbowe amebadili gia angani'

3. Patrobas Katambi; "Mbowe anakifisadi CHADEMA nimeamua kuondoka Leo"

4. Dkt Vicente Mashinji: " Siwezi kuishi kwenye Chama mali ya mtu binafsi "

5. Fredrick Sumaye: " Niliambiwa na Mbowe sumu haionjwi kwa Ulimi"

6. Peter Lijualikali " Mbowe anachukua pesa yote ya Chama anadai eti amekikopesha Chama"

7. David Silinde: " Mbowe sio mtu msafi ndani ya CHADEMA"

8. Cesili Mwambe " CHADEMA ukitaka kumpinga Mbowe lazima ung'olewe tu"

9. Joseph Selasini " CHADEMA inavurugwa na Mbowe kung'ang'ania madaraka miaka "

10. Joshua Nassari " Chama hakiwezi kuwa Cha mtu mmoja vijana tutaonekanaje"

11. Said Arfi " CHADEMA inaongozwa na mtu mmoja na mtu huyo sio msafi"

12. Sabreena Sungura " CHADEMA hata ofisi tumeshindwa kujenga pesa zote anazo Mbowe"

13. Upendo Peneza " Mbowe anaiua CHADEMA na hakuna demokrasia huko"

Tukumbuke Mbowe ni Mwenyekiti kwa takribani Miongo mitatu Sasa ( 30yrs )

Mbowe tangu miaka ya 1990's amekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA na kisha chama.

Mbowe ni Mwenyekiti pekee wa Chama Cha Upinzani aliyedumu madarakani kwa muda mrefu zaidi.

Tangu kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania Mbowe ni Kiongozi wa CHADEMA.

Swali, Je, Nikweli kwamba Mbowe anaamini wenzake wote akiwemo Heche na Lissu wakipewa Uenyekiti watasaliti na kurejea CCM?

TUTAFAKARI!!
🤣🤣 Msigwa
 
Nimekuja kugundua hiki Chama kimejaa uhuni mwingi,

Kwanini mtu aachwe Mwenyekiti miaka 30 huku akifukuza huyu na yule?

Sasa lengo la vyama vingi liko wapi si Bora tuseme CCM ibaki madarakani milele kama Upinzani hata kujiongoza tu hamuwezi.
Hivi CUF et al ni vyama vya siasa au mpira. Vipi wenyeviti wao waliwahi kubadilisha lini. Hii elimu ya kila Kata kuwa na shule imezalisha watu wa hovyo sana. Hakuna kufikiri wala kutafakari wao ni kuropoka km wanasiasa.
 
Ndio ni tatizo kwa sababu hanunuliki kama wao.Mfano kama msigwa,kafulila,waitara,mdee,matiku na ww pia.





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Sasa hao waliotoka wamefanya nini kuziba hayo mapungufu na kuleta kitu bora???,basi wangekuwa wanafanya tofauti na kutushawishi sisi twende lakini hawana chochote zaidi ya lawama.

Watanzania wengi ni maskini wa mali hadi fikra,hakika mbowe angesema aachie chama hadi leo hiyo Chadema ingekuwa imisha kufa.

Mtu pekee Mbowe anatakiwa umwachie chama ni Lissu,atleast jamaa anaweza kupambana na kupeleka chama magali-tatizo ni uchumi sijui kama Lissu anao-kuongoza chama cha upinzani ukiwa maskini huwezi fikisha miaka 5 utaninuliwa tu na watawala.
Kwahy tofauti na Mbowe hapo chademani hakuna mwenye uwezo wa kuendesha chama? Bc mna matatizo mengi sana aisee
 
Back
Top Bottom