Kwanini kila nikitongoza nakataliwa?

Kwanini kila nikitongoza nakataliwa?

ODILI SAMALU

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
1,369
Reaction score
489
Wanabodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI!

Kila nikiandaa 'outing' na mabinti wengi wananikimbia na kwa wanaokubali 'outing' huwa wananipa Majibu mabaya yaani wananikatalia. Nimewahi kusikia mabinti hawanitaki eti nina mambo ya kikoloni, maneno mengi maneno sifuri!

Karibuni mnisaidie mbinu

1626440352915.png
 
Unatumia mbinu ordinary, mbinu ya sasa hv tafuta pesa, watajitongozesha wenyewe
 
Mabinti wengi wanataka ujifanye zungu, hujui shida. Tafuta mwanamke asiyehitaji out na ashapita kote huko. Unachotakiwa kumhakikishia ni uhakika
 
Mkuu inaonekana hauna convincing power kwa kutoa kauli nyepesi za kuwavutia. Jichunguze upya hakuna mwanamke asopenda kuwa na mwenza
 
Mzee baba kutongoza nako ni sanaa.

ushawishi mzee unahitajika... Kumvua chupy mtoto wa mwenzio si suala dogo aidha awe anajiuza.

remba maongezi, tabasamu, jali watoto...

kingine unaonekana mkoloni... nyie ndiyo wale jamaa kwenye outing ukifika unauliza bei ya soda kabla ya kukaa tena kwa sauti hadi wateja wengine wanaskia...huu ni ukoloni.
 
Mabinti wengi wanataka ujifanye zungu, hujui shida. Tafuta mwanamke asiyehitaji out na ashapita kote huko. Unachotakiwa kumhakikishia ni uhakika
Naye anataka apate mwenza wa kisasa na atoke sasa unataka atafute wakushinda ndani mkuu,
yeye aache huo ukoloni wake wakishamba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom