Kwanini kila nikitongoza nakataliwa?

Kwanini kila nikitongoza nakataliwa?

Mkuu ODILI SAMALU hiki ni kipindi ambacho Mungu anakupigania kweli kweli, Mungu anakuepusha na matatizo laikini wewe kwa kutokufahamu unaona u mkosaji tu. Si kila mtongozo ni mwema kaka. Nakushauri tulia kwa sasa piga kazi na jipe raha mwenyewe tu. toka tembea nenda kwenye Big malls, tembea kwenye maduka makubwa jifunze bei za vitu mbali mbali siku moja moja beach, tembea tembea kuwa na furaha na ukifika kwenye mikusanyiko usiweke macho juu juu take your time relax!!, ipo siku utakuja kuniambia.
Huko huko kwenye mtoko anataka awe na mtoto atatoka vipi.[emoji44] mwenyewe?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti soda sh ngap hapa. Nimecheka sana
Akikuta 1500 anagairi kijiwe wanaanza kuchapa mwendo no bajaji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] si karibu tu mdada twende
 
Akunyimae kunde, kakupunguzia mashuzi. Kila kitu na wakati wake, pengine ni muonekano wako kwa sasa au lugha unayoitumia haiwavutii. Maana kutongoza ni kujiamini, na kujiamini ni muonekano wa mtongozaji, jinsi unavyotembea, unavyoongea na uwezo wa mtongozaji kumshawishi mtongozwaji ajisikie kama vile ameokota dodo chini ya mti wa mkwaju. Kutongoza ni fani ambayo inabidi uwe na uwezo mkubwa wa kushawishi kwa hiari, ukifikia kiwango cha kuweza kuwashawishi waeskimo wanunue barafu kwako, basi hata kutongoza itakuwa kama vile unavyotembea kwa miguu, huna hata haya ya kufikiria.
Ila kama una hela basi hata kama hujui kutongoza utawapata tu, tena wengi sana.
 
Wanabodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI!

Kila nikiandaa 'outing' na mabinti wengi wananikimbia na kwa wanaokubali 'outing' huwa wananipa Majibu mabaya yaani wananikatalia. Nimewahi kusikia mabinti hawanitaki eti nina mambo ya kikoloni, maneno mengi maneno sifuri!

Karibuni mnisaidie mbinu
Vipi mkuu, ulifanikisha kutongoza na kukubaliwa?
 
Sababu wanajua hata wakiomba ya kutolea hutawapa si unajua miamala ilivyo kwa sasa.
Wanabodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI!

Kila nikiandaa 'outing' na mabinti wengi wananikimbia na kwa wanaokubali 'outing' huwa wananipa Majibu mabaya yaani wananikatalia. Nimewahi kusikia mabinti hawanitaki eti nina mambo ya kikoloni, maneno mengi maneno sifuri!

Karibuni mnisaidie mbinu
 
mzee kama ELSIE tu alikushinda Chief Nanga akala mzigo..na pesa zake!!.. tafuta hela man..hutatongoza wala nn
 
Tafuta pesa utasahau mara ya mwisho lini ulitongoza.
Ukiwa na pesa, gari, unavaa vizuri na unajua kutumia pesa basi umewamaliza hawahitaji maneno mengi, just your money coz money is security to them.
 
Back
Top Bottom