Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukoloni pia ni tabia mbaya. Usilete uzee na ustarabu kwenye mapenziNaye anataka apate mwenza wa kisasa na atoke sasa unataka atafute wakushinda ndani mkuu,
yeye aache huo ukoloni wake wakishamba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwishowe ataambiwa akatafute binamu zake [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Na ukoloni pia ni tabia mbaya. Usilete uzee na ustarabu kwenye mapenzi
Na binamu hana labda dadaMwishowe ataambiwa akatafute binamu zake [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] , halafu ukute binamu mnafanana kama wazazi wenu, sura za babaNa binamu hana labda dada
Hapo ndo kuna kuisoma namba[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] , halafu ukute binamu mnafanana kama wazazi wenu, sura za baba
Buhahahahha,JF raha sana dadeki..Mzee baba kutongoza nako ni sanaa.
ushawishi mzee unahitajika... Kumvua chupy mtoto wa mwenzio si suala dogo aidha awe anajiuza.
remba maongezi, tabasamu, jali watoto...
kingine unaonekana mkoloni... nyie ndiyo wale jamaa kwenye outing ukifika unauliza bei ya soda kabla ya kukaa tena kwa sauti hadi wateja wengine wanaskia...huu ni ukoloni.
Mbona Mimi situmii kauli lakini wanajileta tu kama vipepeo kny bulb?Utaambiwa na wengi humu kuwa huna hela, but mi nakwambia ukweli kauli!
KAULI KAULI KAULI...mdomo uliponza kichwa!
Siku unatongoza toa walet chomoa hapo 10000 nunua vocha yote akuone alafu endelea kutongozaWana Bodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na Changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI!, KILA nikiandaa Outing na mabinti wengi wananikimbia na kwa wabaokubali Outing huwa wananipa Majibu mabaya yaani wananikatalia, nimewahi kusiKia MABINTI HAWANITAKI ETI NINA MAMBO YA KIKOLONI, MANENO MENGI VITENDO SIFURI
KARIBUNI Mnisaidie Mbinu