Laiguanan
Senior Member
- Jul 31, 2018
- 115
- 184
hatari.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah noma sana ..mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatari.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah noma sana ..mkuu
Kuna uhusiano gani mkuu unampotosha tu watu kibao wanasikiliza jamaa nafikiri yupo select sana afu hana hela kikubwa atafute demu atayeendana kitabia
Wanabodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI!
Kila nikiandaa 'outing' na mabinti wengi wananikimbia na kwa wanaokubali 'outing' huwa wananipa Majibu mabaya yaani wananikatalia. Nimewahi kusikia mabinti hawanitaki eti nina mambo ya kikoloni, maneno mengi maneno sifuri!
Karibuni mnisaidie mbinu
MzushiiSbb kuu ni UMASKINI wako..!!
Naomba tukubaliane jamaa hana hela nachojua mimi kipendacho kwa sasa na wanawake wazuri ni hela ukipata anaetanguliza utu ni kama bahati jamaa anaomba outing afu atumi pesa ya taxi ndo mana anaambiwa mkoloniNajuwa wanawake wengi wanaojitambua hawapendi vijana wa kibongo fleva, watakucheka tu na kuona mpuuzi alosto. Only mademu wasiojitambua ndiyo wanawachezea akili vijana wa kibongo fleva.
NAJITOLEA kukusaidia kiushauri....Wanabodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI!
Kila nikiandaa 'outing' na mabinti wengi wananikimbia na kwa wanaokubali 'outing' huwa wananipa Majibu mabaya yaani wananikatalia. Nimewahi kusikia mabinti hawanitaki eti nina mambo ya kikoloni, maneno mengi maneno sifuri!
Karibuni mnisaidie mbinu
Haaa haaaa namba za kichina au kijapani maana maana za kirumi tunazifahamu[emoji4] [emoji4] [emoji4]Hapo ndo kuna kuisoma namba