ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
[emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya outing muulize "nasema utatoa hutoi??"
Hahaha..kwamba achekeche miamala sio??Tumia mbinu ya "Imethibitishwa"
Kula likeUtaambiwa na wengi humu kuwa huna hela, but mi nakwambia ukweli kauli!
KAULI KAULI KAULI...mdomo uliponza kichwa!
Naye anataka apate mwenza wa kisasa na atoke sasa unataka atafute wakushinda ndani mkuu,Mabinti wengi wanataka ujifanye zungu, hujui shida. Tafuta mwanamke asiyehitaji out na ashapita kote huko. Unachotakiwa kumhakikishia ni uhakika
Santee mkuuKula like
HakikaUtaambiwa na wengi humu kuwa huna hela, but mi nakwambia ukweli kauli!
KAULI KAULI KAULI...mdomo uliponza kichwa!