Huko huko kwenye mtoko anataka awe na mtoto atatoka vipi.[emoji44] mwenyewe?Mkuu ODILI SAMALU hiki ni kipindi ambacho Mungu anakupigania kweli kweli, Mungu anakuepusha na matatizo laikini wewe kwa kutokufahamu unaona u mkosaji tu. Si kila mtongozo ni mwema kaka. Nakushauri tulia kwa sasa piga kazi na jipe raha mwenyewe tu. toka tembea nenda kwenye Big malls, tembea kwenye maduka makubwa jifunze bei za vitu mbali mbali siku moja moja beach, tembea tembea kuwa na furaha na ukifika kwenye mikusanyiko usiweke macho juu juu take your time relax!!, ipo siku utakuja kuniambia.
Akikuta 1500 anagairi kijiwe wanaanza kuchapa mwendo no bajaji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] si karibu tu mdada twende[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti soda sh ngap hapa. Nimecheka sana
Vipi mkuu, ulifanikisha kutongoza na kukubaliwa?Wanabodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI!
Kila nikiandaa 'outing' na mabinti wengi wananikimbia na kwa wanaokubali 'outing' huwa wananipa Majibu mabaya yaani wananikatalia. Nimewahi kusikia mabinti hawanitaki eti nina mambo ya kikoloni, maneno mengi maneno sifuri!
Karibuni mnisaidie mbinu
Ashaoa tayariVipi mkuu, ulifanikisha kutongoza na kukubaliwa?
Wanabodi, katika harakati zangu za kutafuta mwenzi nimekuwa nikikumbana na changamoto kuu ya KUKATALIWA NA KILA BINTI!
Kila nikiandaa 'outing' na mabinti wengi wananikimbia na kwa wanaokubali 'outing' huwa wananipa Majibu mabaya yaani wananikatalia. Nimewahi kusikia mabinti hawanitaki eti nina mambo ya kikoloni, maneno mengi maneno sifuri!
Karibuni mnisaidie mbinu
Wow, safi sana. Kila la kheri kwake, nashukuru pia kwa mrejesho Mtoto halali na helaAshaoa tayari
Emmanuel Kasomi mkuu hii ilikuwa 2018, though najua ni katika hali ya utani [emoji4][emoji16][emoji16]Sababu wanajua hata wakiomba ya kutolea hutawapa si unajua miamala ilivyo kwa sasa.
Emmanuel Kasomi mkuu hii ilikuwa 2018, though najua nikatika hali ya utani [emoji4][emoji16][emoji16]
For sure Emmanuel KasomiKweli mkuu just a funny. Ila life ndio lilivyo