Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Rostam hajawahi kuwa mfanyabiashara zaidi ya kuwa jizi na tapeli wa Mali za Tz. Pumbavu weweBroo punguza makasiriko ..
Wewe unabiashara gani yakukuweka front kama icon ya kibiashara..
Lakini, Makonda alizuiwa kupuliza dawa mitaani kuua vijidudu. Au mmesahau.akatoa
Google wanadharau sana...ukitafuta " who own Tanzania" majibu yanayokuja yanatia kichefuchefuHuyu ndiye ....
Ila mkuu 😀😀😀😆😃Google wanadharau sana...ukitafuta " who own Tanzania" majibu yanayokuja yanatia kichefuchefu
Anasafisha njia atakuwa ni TISS🤣🤣🤣🤣💺Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Mm nimesearch "who is the owner of Tanzania? Ikaja MO Dewji.Google wanadharau sana...ukitafuta " who own Tanzania" majibu yanayokuja yanatia kichefuchefu
Mfalme Rostam AzizRostam sio size yako
wakati wa Jk kwny Ziara ya Rais wa Marekani Barack Obama alijipenyeza hadi moja ya matukio lilikuwa ni Obama kuzindua mitambo yake ya Symbion ambayo aliibadilisha kutoka Dowans hadi symbion na kuanzia hapo Wapinga ile mitambo wakaufyata milele
Rostam ndio alimuamuru Benjamin Mkapa atoe yale mabilion ya EPA
wakati wa JPM, Rostam ndio mtu pekee alikaribishwa Ikulu na picha zika trend anakunywa Chai na Rais Ikulu
huyu Mtu ni zaid hatare
FafanuaRostam hajawahi kuwa mfanyabiashara zaidi ya kuwa jizi na tapeli wa Mali za Tz. Pumbavu wewe
Wengine hawataki Mali zao kuhesabiwa, rostam ndiye mtanzania wa kwanza kufikia Dola bilioni moja mwaka 2013,Leo atakua na ngapi?!
Ulisikia wapi dereva anakaa siti za nyuma?Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Mkuu hii ni sawa Mkuu?
Sawa basi inama Nikusweke'Wengine hawataki Mali zao kuhesabiwa, rostam ndiye mtanzania wa kwanza kufikia Dola bilioni moja mwaka 2013,Leo atakua na ngapi?!