Kwanini kila wanapokwenda viongozi wakuu wa nchi Rostam anatangulia kufika?

Kwanini kila wanapokwenda viongozi wakuu wa nchi Rostam anatangulia kufika?

Kama ni jambazi na kaiibia nchi, ni lini uliwahi kuona hata mashtaka yake Mahakamani? Wacha wivu, kakuzidi akili ya kuona fursa.

Wewe mwenyewe Exy ni mwizi ila hujui namna ya kuwekeza. Umeendekeza ULEVI, uzinzi na starehe zingine
Ukahaba wako wakutoa kinyeo peleka ccm.
 
We
Rostam sio size yako

wakati wa Jk kwny Ziara ya Rais wa Marekani Barack Obama alijipenyeza hadi moja ya matukio lilikuwa ni Obama kuzindua mitambo yake ya Symbion ambayo aliibadilisha kutoka Dowans hadi symbion na kuanzia hapo Wapinga ile mitambo wakaufyata milele

Rostam ndio alimuamuru Benjamin Mkapa atoe yale mabilion ya EPA

wakati wa JPM, Rostam ndio mtu pekee alikaribishwa Ikulu na picha zika trend anakunywa Chai na Rais Ikulu

huyu Mtu ni zaid hatare
We naye ni mpuuzi ikulu hiyo ambayo kina Steve Nyerere wanaenda au ni ikulu ipi?.
 
Iko hivi, kwenye deal ya Boeing, Magufuli alimtuma mtu wake kwenda kuchukua 10% Sandton South Africa. Huyo jamaa alipoingia ofisi ya Boeing Africa mtu aliyekutana naye na kumkabidhi ile 10% ni Rostam Aziz.

Ndipo aliporudi huku na kumjulisha JPM kuwa mzigo nimepewa na RA. Basi JPM akaona hatakuwa salama kama RA ataendelea kuwa nje ya nchi huku yeye akijinadi kuwa ni mzalendo wakati RA anajuwa kapokea rushwa kiasi gani kutoka Boeing. Ndipo akasuka mpango wa kumkamata mdogo wa RA anayeitwa Akram na kumtengenezea mashtaka feki ya kukutwa na nyara za taifa na kutakatisha dola 8,000.

Kumbuka RA alikuwa amehamisha makazi kuanzia Lowassa alipohamia CDM na JPM kuwa mgombea wa CCM mwaka 2015
Source?
 
Nawapa za moto kabisa. Rostam ndio tajiri pekee, anaweza fika ziara yyte ya raisi popote duniani. Yeye huangalia fursa .. hashindwi kuweka hela sehemu ambayo hata serikali ya Tanzania imeshindwa. Huyu bwana. Ndio bilionea wa Tanzania hakuna mwingine.
Waliowahi kumuona huyu jamaa akiwa nchi sa ugenini watajazia nyama.
Sio tapeli, ila kile kilichotokea hta yy hakutegemea, huyu ni bussiness magnet.
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi?

Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Wewe uliona wapi tajiri anakwenda kufanya Biashara kabla Dalali ajaweka mambo sawa kuwaunganisha Muuzaji na mnunuzi?
 
wengine wanasema ni msimamizi wa maslai ya USA kwa baadhi ya nchi za africa. magu alichungulia file lake akawa mpole. Rostam akatoa mil 500 zanzibar mil 500 tanganyika kipindi cha corona.
CIA Agent East and Central Africa!
 
Rostam sio size yako

wakati wa Jk kwny Ziara ya Rais wa Marekani Barack Obama alijipenyeza hadi moja ya matukio lilikuwa ni Obama kuzindua mitambo yake ya Symbion ambayo aliibadilisha kutoka Dowans hadi symbion na kuanzia hapo Wapinga ile mitambo wakaufyata milele

Rostam ndio alimuamuru Benjamin Mkapa atoe yale mabilion ya EPA

wakati wa JPM, Rostam ndio mtu pekee alikaribishwa Ikulu na picha zika trend anakunywa Chai na Rais Ikulu

huyu Mtu ni zaid hatare
Ni CIA Agent East and Central Africa!
Huyo Msela anaingia Statehouse ya Marekani anytime!
 
Mfalme Rostam Aziz

Hivi karibuni atakuwa Kenya kwenye ziara ya King Charles wa UK ambaye ndiye mkuu wa Anglo Catholic Church duniani
King Charles anakuja Kenya kusherehekea miaka 100 ya Freemason nchini Kenya.
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi?

Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Wewe ungeweza kuwapa CCM kituo cha TV?
Scratch my back I will scraaaatch yours, the deal is done.
 
Back
Top Bottom