Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Hizi ndio akili za ccm na uchawa wenu mpaka mnakuwa mashoqer!! Rostam ni jambazi papa... Mdogo wake alikamatwa na nyara za Nchi na mabunduki rukuki....!!Wabongo tunajuana
hata ukiwa na Mademu wengi utapondwa kwa umalaya na ukijitunza utaitwa Shoga
ukiwa tajiri unakuwa mwizi na ukiwa maskini unaambiwa hujiongezi
Wewe baki na misemo yako na ndio itayogawanywa kama mirathi kwa kizazi chako, acha wenzio wapambane kuacha legacy hadi kwa Wajukuu zao