Kwanini kila wanapokwenda viongozi wakuu wa nchi Rostam anatangulia kufika?

Kwanini kila wanapokwenda viongozi wakuu wa nchi Rostam anatangulia kufika?

Rostam Huyu ?!
images - 2023-10-17T222848.982.jpeg
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Soma kuhusu, CROOKED PEOPLE AND OPPORTUNITY SEEKERS
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Kingmaker
 
Rostam ni dalali wa rasimali zetu.
Anatajwa kama muwakilishi rasmi wa kibiashara wa USA wa siri kwenye ukanda wa Afrika mashariki na kati hususani Tanzania. Kila deal analofanikisha kuna percent anavuta kama commission. Anakula kote kote.
 
Rostam ni dalali wa rasimali zetu.
Anatajwa kama muwakilishi rasmi wa kibiashara wa USA wa siri kwenye ukanda wa Afrika mashariki na kati hususani Tanzania. Kila deal analofanikisha kuna percent anavuta kama commission. Anakula kote kote.
He knows how to break ice, anajua namna ya kuvunja barafu hahaa
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Alipokuwa anang'atuka ubunge aliwaambia wazee wa Igunga yeye ni mfanya biashara wa kimataifa
 
Tanzania tushukuru tuna wafanya biashara kama Rostum wanao nyanyua jina la Tanzania kimataifa.
Rais siku hizi haendi ziara nje ya nchi ketembea tu. Sehemu kubwa ni kuimarisha uchumi wa Tanzania kwa kufungua masoko na uwekezaji.
Rostum anajituma na anatumia fursa ya ziara hizi kuinyanyua Tanzania
 
Tanzania tushukuru tuna wafanya biashara kama Rostum wanao nyanyua jina la Tanzania kimataifa.
Rais siku hizi haendi ziara nje ya nchi ketembea tu. Sehemu kubwa ni kuimarisha uchumi wa Tanzania kwa kufungua masoko na uwekezaji.
Rostum anajituma na anatumia fursa ya ziara hizi kuinyanyua Tanzania
mmmm ??????
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Mjumbe mkuu wa rushwa za viongozi wa CCM
 
katika ulimwengu wa espionage kuna mtu huitwa agent.

tafsiri ya agent: someone who volunteers or is recruited to pass secrets to an intelligence agency, sometimes taking risks to spy on their own country.

ukiunga dot vizuri kupitia hiyo tafsiri hupati shida kumfahamu rostam.
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Kwani rostam ni mfanya biashara ? Tumia akili

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Kijana usihoji sana , utatekwa , huu ni ushauri wa Pascal , aliwahi kunionya nilipohoji mambo ya Maharage Chande
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Mbona Mimi nimewaona wengine tofauti na Rostam? Nilimuona mmilikiwa wa State Oil kwenye ndege ya Rais huko Zambia.

Mwisho pengine Rostam anakuwa tayari keshasuka mipango mapema so inakuwa ni coincidence tuu.
 
Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi? Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Na bado mtakoma. Soon anakuja Rais wa Iran deal jingine liko jikon.
 
Back
Top Bottom