Hizi ndio akili za ccm na uchawa wenu mpaka mnakuwa mashoqer!! Rostam ni jambazi papa... Mdogo wake alikamatwa na nyara za Nchi na mabunduki rukuki....!!Wabongo tunajuana
hata ukiwa na Mademu wengi utapondwa kwa umalaya na ukijitunza utaitwa Shoga
ukiwa tajiri unakuwa mwizi na ukiwa maskini unaambiwa hujiongezi
Wewe baki na misemo yako na ndio itayogawanywa kama mirathi kwa kizazi chako, acha wenzio wapambane kuacha legacy hadi kwa Wajukuu zao
Naona sa100 anawajaza Roho ya kishoqer!Iba naww kama ni simple, maguful aliwajaza roho chafu nyie
Badoo Hujasemaa!!!Rostam hajawahi kuwa mfanyabiashara zaidi ya kuwa jizi na tapeli wa Mali za Tz. Pumbavu wewe
Badoo Hujasemaa!!!
Huko Zambia wamekwenda kuwadafishia njia DPW. Wakitoka huko atakwenda Malawi, Burundi na DRC. Ni kazi ya Mwarabu hiyo.Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi?
Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Rostam ni dalali wa rasilimali za Tanzania, umewahi kuona dalali akaja baada ya muuzaji kufika?Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi?
Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Wagalatia mmeambiwa na papa mphillrane,Naona sa100 anawajaza Roho ya kishoqer!
Maggufuli aliwajaza ujinga muwachukie matajiri,Uchafu na kashfa za rostam hazikuanza wakati wa magufuli
Na Utasemaa!!Sawa mke wa Rostam!!
vifurushi vimepanda bei kwasababu ya huyu fisadi.Rostam hajawahi kuwa mfanyabiashara zaidi ya kuwa jizi na tapeli wa Mali za Tz. Pumbavu wewe
CIA agent,true storywengine wanasema ni msimamizi wa maslai ya USA kwa baadhi ya nchi za africa. magu alichungulia file lake akawa mpole. Rostam akatoa mil 500 zanzibar mil 500 tanganyika kipindi cha corona.
Rostam siyo muhindi ni muajemi (Persian) mwenye asili ya ghuba ya Uajemi kule Iran.Wahindi janja janja hawa hatari tupu.
Mwizi huambatana na wezi wenzake!Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi?
Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?
Na baadae akatekeleza lile jukumu lake alilokusudia.Rostam sio size yako
wakati wa Jk kwny Ziara ya Rais wa Marekani Barack Obama alijipenyeza hadi moja ya matukio lilikuwa ni Obama kuzindua mitambo yake ya Symbion ambayo aliibadilisha kutoka Dowans hadi symbion na kuanzia hapo Wapinga ile mitambo wakaufyata milele
Rostam ndio alimuamuru Benjamin Mkapa atoe yale mabilion ya EPA
wakati wa JPM, Rostam ndio mtu pekee alikaribishwa Ikulu na picha zika trend anakunywa Chai na Rais Ikulu
huyu Mtu ni zaid hatare
Nlivosoma hii comment nikajua imeandikwa na Lucas Mwashambwa....Tanzania tushukuru tuna wafanya biashara kama Rostum wanao nyanyua jina la Tanzania kimataifa.
Rais siku hizi haendi ziara nje ya nchi ketembea tu. Sehemu kubwa ni kuimarisha uchumi wa Tanzania kwa kufungua masoko na uwekezaji.
Rostum anajituma na anatumia fursa ya ziara hizi kuinyanyua Tanzania
Mwizi huyo,hawezi kuwa tiss,huyo ni wakala wa cia anayelinda na kusimamia makampuni ya kibepari ya nchi za magharibi,na huyu ndie Ali husika na ile siku ngumu kwa zambia na Tanzania. Zoote kwa pamoja zililia na kugugumia.Anasafisha njia atakuwa ni TISS[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji575]
Kama ni jambazi na kaiibia nchi, ni lini uliwahi kuona hata mashtaka yake Mahakamani? Wacha wivu, kakuzidi akili ya kuona fursa.Huna ujualo... Rostam kaiibia Nchi mpka huo ufanyabiashara wake ukawa hivyo ni ujambazi na wizi wa Mali za was Tz wajinga Kama wewe!!, Rostam n jambazi papa na anapaswa anyongwe hadharani!.
Ulimwengu unaendeshwa na wafanya biashara kwa sasa, tujitahidi tutengeneze connetions za kutengeneza pesa.Kila eneo tunapotegemea kwenda kitaifa kufanya majadiliano ya kiuchumi Rostam anakuwa mstari wa mbele. Je, hakuna wafanyabiashara wengine wanaoweza kupewa hizi fursa? Nini faida ya huyu bwana kutangulia kwenye mataifa anayokwenda mkuu wa nchi kiuchumi?
Anakwenda kutangaza biashara binafsi kwa nembo ya Taifa au anabeba biashara za Tanzania? Wapo wapi wakina bakharesa kwenye hizi deals?