Kwanini kila wanapokwenda viongozi wakuu wa nchi Rostam anatangulia kufika?

Kama ni jambazi na kaiibia nchi, ni lini uliwahi kuona hata mashtaka yake Mahakamani? Wacha wivu, kakuzidi akili ya kuona fursa.

Wewe mwenyewe Exy ni mwizi ila hujui namna ya kuwekeza. Umeendekeza ULEVI, uzinzi na starehe zingine
Ukahaba wako wakutoa kinyeo peleka ccm.
 
We
We naye ni mpuuzi ikulu hiyo ambayo kina Steve Nyerere wanaenda au ni ikulu ipi?.
 
Source?
 
Nawapa za moto kabisa. Rostam ndio tajiri pekee, anaweza fika ziara yyte ya raisi popote duniani. Yeye huangalia fursa .. hashindwi kuweka hela sehemu ambayo hata serikali ya Tanzania imeshindwa. Huyu bwana. Ndio bilionea wa Tanzania hakuna mwingine.
Waliowahi kumuona huyu jamaa akiwa nchi sa ugenini watajazia nyama.
Sio tapeli, ila kile kilichotokea hta yy hakutegemea, huyu ni bussiness magnet.
 
Wewe uliona wapi tajiri anakwenda kufanya Biashara kabla Dalali ajaweka mambo sawa kuwaunganisha Muuzaji na mnunuzi?
 
wengine wanasema ni msimamizi wa maslai ya USA kwa baadhi ya nchi za africa. magu alichungulia file lake akawa mpole. Rostam akatoa mil 500 zanzibar mil 500 tanganyika kipindi cha corona.
CIA Agent East and Central Africa!
 
Ni CIA Agent East and Central Africa!
Huyo Msela anaingia Statehouse ya Marekani anytime!
 
Mfalme Rostam Aziz

Hivi karibuni atakuwa Kenya kwenye ziara ya King Charles wa UK ambaye ndiye mkuu wa Anglo Catholic Church duniani
King Charles anakuja Kenya kusherehekea miaka 100 ya Freemason nchini Kenya.
 
Wewe ungeweza kuwapa CCM kituo cha TV?
Scratch my back I will scraaaatch yours, the deal is done.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…