Mkuu kabla ya kuandika/kusema kitu ufanye kwanza utafiti..Salaam, Shalom!!
Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine,
Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26 nchini, Kanda ya ziwa pekee ndio Kuna wananchi?
Mikoa ya Lindi na mtwara pia Kuna wananchi na kumepoa sana, ziara Yako mheshimiwa inaweza kufungua MILANGO ya fursa kule Nako kuchangamke!!
Anyway, tufanye kuwa unawapenda sana watu wa Kanda ya ziwa, basi ujapo Mwanza pita pia visiwa vya UKEREWE Utusalimu.
Karibuš
Tena umenikumbusha mwaka Jana amekuja mara mbili kwenye ziara Tena wilaya zote za Lindi na mwezi wa nne mwaka huohuo wa Jana alikuja siku ya ukimwiMkuu kabla ya kuandika/kusema kitu ufanye kwanza utafiti..
Mbona alikuwa huko mwaka jana mwezi wa tisa.
Unaelewa maana ya Lindi na mtwara?Mkuu kabla ya kuandika/kusema kitu ufanye kwanza utafiti..
Mbona alikuwa huko mwaka jana mwezi wa tisa.
Mko wachache sana.Salaam, Shalom!!
Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine,
Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26 nchini, Kanda ya ziwa pekee ndio Kuna wananchi?
Mikoa ya Lindi na mtwara pia Kuna wananchi na kumepoa sana, ziara Yako mheshimiwa mara Kwa mara zinaaweza kufungua MILANGO ya fursa kule Nako kuchangamke!!
Anyway, tufanye kuwa unawapenda sana watu wa Kanda ya ziwa, basi ujapo Mwanza pita pia visiwa vya UKEREWE Utusalimu.
Karibuš
Kwahiyo unashauri tuongeze kuzaliana!!Mko wachache sana.
Kwani wewe uliposoma " kiongozi mkuu" umeelewa nani anayeongelewa hapa?Kila siku Majaliwa analala Ruangwa na kuamkia Mtwara, mnataka viongozi gani?
Mara Kwa mara!!Mwaka Jana siku ya ukimwi kitaifa alikuja Lindi na akahutubia ilulu na mnazi mmoja Ilikuwa April 01..sasa ulitaka kila mwaka aje mara ngapi mara tatu au
Ona aibu..chutama tuUnaelewa maana ya Lindi na mtwara?
Hujaelewa dhima ya thread,Ona aibu..chutama tu
Yale mapoli yajae. Mkoa mmoja tu wa Kanda ya ziwa ni kusini nzima.Kwahiyo unashauri tuongeze kuzaliana!!
Ngoja tuzalishe zaidi.Yale mapoli yajae. Mkoa mmoja tu wa Kanda ya ziwa ni kusini nzima.
Tena umenikumbusha mwaka Jana amekuja mara mbili kwenye ziara Tena wilaya zote za Lindi na mwezi wa nne mwaka huohuo wa Jana alikuja siku ya ukimwi
Sasa wewe unataka wote wawe wanashinda huko? Magufuli mlimpiga maluweluwe mpaka nywele zake zikatoa moshi! Pia wao ni binadamu wanaogopa bakini na Majaliwa ambaye ni namba tatu.Kwani wewe uliposoma " kiongozi mkuu" umeelewa nani anayeongelewa hapa?
Kule Kuna nini labda, mbona masheikh wapo wa kutosha kule kusafisha njia?Hayati Magufuli hakufanya hata kampeni Mtwara na Lindi kuna jambo hapa.