Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Vyuma vya reli ukienda kule utaviona Ila reli haipo wala Gari Moshi hakunaKwahiyo waling'oa Reli na kuuza vyuma chakavu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyuma vya reli ukienda kule utaviona Ila reli haipo wala Gari Moshi hakunaKwahiyo waling'oa Reli na kuuza vyuma chakavu?
Unajua uvachokiongea ni kama movie!!Vyumba vya reli ukienda kule utaviona Ila reli haipo wala Gari Moshi hakuna
Wenyewe wa Kosini ukiwauliza vizuri watakoeleza sababu Ila nahisi sababu reli ulikua mpango wa Mjeremani kusafirisha mazao kupeleka Ulaya sasa ukimuachia reli akarudi si atakua anavusha tu bandarini kwenda Ulaya na haukua mpango wa JKN sasa ili kumkoa Mjeremani reli ikang'olewa (Ujamaa) kumbe hawakujua kua hawakua wanamkomoa Mjeremani bali wanajikomoa wenyeweUnajua uvachokiongea ni kama movie!!
Sababu Hasa ya kungoa Reli ni nini,
Ilikuwa inatatiza labda ujenzi wa barabara au Miundombinu mipya? Sababu Hasa ni nini!!
Nini cha maana kimeongezeka lake zone kutokana na safari hizo na nini kimepungua Lindi na Mtwara kutokana na mama kutokwenda huko?Mara Kwa mara!!
Mbona safari za Kanda ya ziwa haziishi?
Sababu hiyo ingekuwa na mashimo endapo tungekuwa tumepata uhuru Kwa vita,Wenyewe wa Kosini ukiwauliza vizuri watakoeleza sababu Ila nahisi sababu reli ulikua mpango wa Mjeremani kusafirisha mazao kupeleka Ulaya sasa ukimuachia reli akarudi si atakua anavusha tu bandarini kwenda Ulaya na haukua mpango wa JKN sasa ili kumkoa Mjeremani reli ikang'olewa (Ujamaa) kumbe hawakujua kua hawakua wanamkomoa Mjeremani bali wanajikomoa wenyewe
Mnataka mumtumie mamoshi yenu eee 😂😂😂Salaam, Shalom!!
Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine,
Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26 nchini, Kanda ya ziwa pekee ndio Kuna wananchi?
Mikoa ya Lindi na mtwara pia Kuna wananchi na kumepoa sana, ziara Yako mheshimiwa MARA KWA MARA zinaaweza kufungua MILANGO ya fursa kule Nako kuchangamke!!
Anyway, tufanye kuwa unawapenda sana watu wa Kanda ya ziwa, basi ujapo Mwanza pita pia visiwa vya UKEREWE Utusalimu.
Karibu🙏
😂😂😂 Hivi Kusini na Kanda ya Ziwa kule kwa kina kamchape wapi kuna Wanga vigagula wachawi na Imani za kishirikina? Ushasikia Kusini wana kamchape mpaka Serikali inaingilia kati? Ushasikia Kusini albino kakatwa Miguu? Ushasikia Kusini au
Kule kuna wachawi sawa ila sio kama lindi na mtwara huko kuna wachawi wa hovyo wamezuia mpaka maendeleo kusini.😂😂😂 Hivi Kusini na Kanda ya Ziwa kule kwa kina kamchape wapi kuna Wanga vigagula wachawi na Imani za kishirikina? Ushasikia Kusini wana kamchape mpaka Serikali inaingilia kati? Ushasikia Kusini albino kakatwa Miguu? Ushasikia Kusini au basi
Impact IPO kubwa tu itokanayo na safari za viongozi Hasa kiuchumi.Nini cha maana kimeongezeka lake zone kutokana na safari hizo na nini kimepungua Lindi na Mtwara kutokana na mama kutokwenda huko?
Acha hizo😀Mnataka mumtumie mamoshi yenu eee 😂😂😂
Kwa hio nyinyi ndio mna uchawi wa maendeleo sio?Kwetu
Kule kuna wachawi sawa ila sio kama lindi na mtwara huko kuna wachawi wa hovyo wamezuia mpaka maendeleo kusini.
Kumbe maeneo mengine Kuna wanga wenye kupenda maendeleo 🤔Kwetu
Kule kuna wachawi sawa ila sio kama lindi na mtwara huko kuna wachawi wa hovyo wamezuia mpaka maendeleo kusini.
Uchawi wa maendeleo upi wa kufuga mang'ombe?Kumbe maeneo mengine Kuna wanga wenye kupenda maendeleo 🤔
Anyway,labda tuseme kule wameuendekeza na ni idadi kubwa!!
Mnataka kufanyiwa na kuletewa. Dunia ya sasa fanya lako. Anzisheni chama cha wanakusini.Ujumbe huu ni wao pia.
Sisi Wana Ntwara, tumewakosea nini🤔
Huko huko ndugu!!Au ulimaanisha KATAVI na RUKWA?
Pale sirari au rombo, wanaingia Kwa mguu tu!!Kwani Kenya ni mbali
Huko kaskazini hamna mawaziri? Mbona ziara ni za kila mwezi?Huko si mna Waziri Mkuu?
Hata hatujui kosa letu bwashee!Kwani watu wa huko walikosea nini kutopendwa Kwa zamu?
Safari za nje apunguze Ili aende na kusikokanyagkika.Hata hatujui kosa letu bwashee!