Kwanini kiongozi wetu hafanyi ziara Lindi na Mtwara?

Kwanini kiongozi wetu hafanyi ziara Lindi na Mtwara?

Salaam, Shalom!!

Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine,

Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26 nchini, Kanda ya ziwa pekee ndio Kuna wananchi?

Mikoa ya Lindi na mtwara pia Kuna wananchi na kumepoa sana, ziara Yako mheshimiwa MARA KWA MARA zinaaweza kufungua MILANGO ya fursa kule Nako kuchangamke!!

Anyway, tufanye kuwa unawapenda sana watu wa Kanda ya ziwa, basi ujapo Mwanza pita pia visiwa vya UKEREWE Utusalimu.

Karibu🙏
Mwaka Jana alikua lindi na mtwara
 
Mbona haendi mara Kwa mara kama lake zone?

Au ni sababu kule hamna sato fresh!!
Alisema ukitaka ugomvi na yeye basi mvurugie Uchumi wake km wanavyofanya wafanyabiashara wa K/Koo, sasa huko Lindi & Ntwara kuna Uchumi gani Makaa ya Mawe, Gesi & Korosho hivyo tu? Sasa huko lake zone kuna zaidi ya hivyo hivi Lindi & Ntwara inachangia kiasi gani Pato la Taifa?
 
Salaam, Shalom!!

Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine,

Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26 nchini, Kanda ya ziwa pekee ndio Kuna wananchi?

Mikoa ya Lindi na mtwara pia Kuna wananchi na kumepoa sana, ziara Yako mheshimiwa MARA KWA MARA zinaaweza kufungua MILANGO ya fursa kule Nako kuchangamke!!

Anyway, tufanye kuwa unawapenda sana watu wa Kanda ya ziwa, basi ujapo Mwanza pita pia visiwa vya UKEREWE Utusalimu.

Karibu🙏

Umepitwa sana na wakati, jionee:


View: https://youtu.be/NQhW_ow6Q8o?si=ZwLrvRs1P6Bc52EV
 
Alisema ukitaka ugomvi na yeye basi mvurugie Uchumi wake km wanavyofanya wafanyabiashara wa K/Koo, sasa huko Lindi & Ntwara kuna Uchumi gani Makaa ya Mawe, Gesi & Korosho hivyo tu? Sasa huko lake zone kuna zaidi ya hivyo hivi Lindi & Ntwara inachangia kiasi gani Pato la Taifa?
Hujui kitu.kusini inachangia pakubwa kuna mazao mengi ya biashara(ufuta,karanga,mbaazi,korosho,mihogo na nazi),madini,makaa ya mawe na uchumi wa bahari.Wewe unaona kawaida tu!! Utafanananisha na mikoa yenye zao moja kama Njombe na Iringa wanaotegemea mbao, parachichi na viazi!!

Changamoto ni kwamba kusini imekosa msaada wa serikali ila vyanzo vya mapato ni vingi sana,lakini serikali haitoi sapoti kwa kawahakikishia masoko ya uhakika na wala hawaboreshi miundombinu.Leo hii watu tumevuna ufuta lakini barabara ni mbovu,magari hayaji tunashindwa kupeleka mzigo sokoni unategemea tutapiga hatua!!
 
Hujui kitu.kusini inachangia pakubwa kuna mazao mengi ya biashara(ufuta,karanga,mbaazi,korosho,mihogo na nazi),madini,makaa ya mawe na uchumi wa bahari.Wewe unaona kawaida tu!! Utafanananisha na mikoa yenye zao moja kama Njombe na Iringa wanaotegemea mbao, parachichi na viazi!!

Changamoto ni kwamba kusini imekosa msaada wa serikali ila vyanzo vya mapato ni vingi sana,lakini serikali haitoi sapoti kwa kawahakikishia masoko ya uhakika na wala hawaboreshi miundombinu.Leo hii watu tumevuna ufuta lakini barabara ni mbovu,magari hayaji tunashindwa kupeleka mzigo sokoni unategemea tutapiga hatua!!
Ubarikiwe 🙏
 
Back
Top Bottom