- Thread starter
- #41
Mtumbwi una shd Gani, mbona Lissu alipanda!!Apande mtumbwi aje huko kisiwani? Au kuna uwanja wa Ndege?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumbwi una shd Gani, mbona Lissu alipanda!!Apande mtumbwi aje huko kisiwani? Au kuna uwanja wa Ndege?
Mwaka Jana alikua lindi na mtwaraSalaam, Shalom!!
Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine,
Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26 nchini, Kanda ya ziwa pekee ndio Kuna wananchi?
Mikoa ya Lindi na mtwara pia Kuna wananchi na kumepoa sana, ziara Yako mheshimiwa MARA KWA MARA zinaaweza kufungua MILANGO ya fursa kule Nako kuchangamke!!
Anyway, tufanye kuwa unawapenda sana watu wa Kanda ya ziwa, basi ujapo Mwanza pita pia visiwa vya UKEREWE Utusalimu.
Karibu🙏
Alisema ukitaka ugomvi na yeye basi mvurugie Uchumi wake km wanavyofanya wafanyabiashara wa K/Koo, sasa huko Lindi & Ntwara kuna Uchumi gani Makaa ya Mawe, Gesi & Korosho hivyo tu? Sasa huko lake zone kuna zaidi ya hivyo hivi Lindi & Ntwara inachangia kiasi gani Pato la Taifa?Mbona haendi mara Kwa mara kama lake zone?
Au ni sababu kule hamna sato fresh!!
Nchi yetu ni ya Amani, matatizo ni ya kuyatatua!!Unamzogeza rais wetu kwenye matatizo hawezi kuja kwema
Aje tena, Si Kila kukicha lake zone,Mwaka Jana alikua lindi na mtwara
Salaam, Shalom!!
Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine,
Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26 nchini, Kanda ya ziwa pekee ndio Kuna wananchi?
Mikoa ya Lindi na mtwara pia Kuna wananchi na kumepoa sana, ziara Yako mheshimiwa MARA KWA MARA zinaaweza kufungua MILANGO ya fursa kule Nako kuchangamke!!
Anyway, tufanye kuwa unawapenda sana watu wa Kanda ya ziwa, basi ujapo Mwanza pita pia visiwa vya UKEREWE Utusalimu.
Karibu🙏
Kuna Uchumi gani huko ukiondoa Gesi, Makaa ya Mawe na Korosho au kiuchumi chenu ndio kiwanda cha Dangote kilicholetwa na JK huko kwa Mama SK?Aje tena, Si Kila kukicha lake zone,
Akitaka na huku uchifu ataupata asijali.
Mpuuzi weweUnaelewa maana ya Lindi na mtwara?
Ras Simba au Ras yupi?Akasepa na RAS
Hujibu maswali Wewe unaanza kukimbia Mada spana zinaumaAje mara Kwa mara kama apendavyo kule nyanza!!
Halafu Mimi sikumaanisha huyo uliyemweka hapo!!
Tangu 2021 ndio sahari hiyo pekee?Mpuuzi wewe
Mwaka Jana alikwenda kuzindua hospital ya kanda mtwara na kufanya ziara
Akasepa na RAS
Mimi sikuwepo alipokuja, aje tena kama Mza!!Hujibu maswali Wewe unaanza kukimbia Mada spana zinauma
Haji huko mna mapokezi yale ya kugalagala ChiniMimi sikuwepo alipokuja, aje tena kama Mza!!
Asiyekuwepo, na lake halipo🤔Haji huko mna mapokezi yale ya kugalagala Chini
Hujui kitu.kusini inachangia pakubwa kuna mazao mengi ya biashara(ufuta,karanga,mbaazi,korosho,mihogo na nazi),madini,makaa ya mawe na uchumi wa bahari.Wewe unaona kawaida tu!! Utafanananisha na mikoa yenye zao moja kama Njombe na Iringa wanaotegemea mbao, parachichi na viazi!!Alisema ukitaka ugomvi na yeye basi mvurugie Uchumi wake km wanavyofanya wafanyabiashara wa K/Koo, sasa huko Lindi & Ntwara kuna Uchumi gani Makaa ya Mawe, Gesi & Korosho hivyo tu? Sasa huko lake zone kuna zaidi ya hivyo hivi Lindi & Ntwara inachangia kiasi gani Pato la Taifa?
Ubarikiwe 🙏Hujui kitu.kusini inachangia pakubwa kuna mazao mengi ya biashara(ufuta,karanga,mbaazi,korosho,mihogo na nazi),madini,makaa ya mawe na uchumi wa bahari.Wewe unaona kawaida tu!! Utafanananisha na mikoa yenye zao moja kama Njombe na Iringa wanaotegemea mbao, parachichi na viazi!!
Changamoto ni kwamba kusini imekosa msaada wa serikali ila vyanzo vya mapato ni vingi sana,lakini serikali haitoi sapoti kwa kawahakikishia masoko ya uhakika na wala hawaboreshi miundombinu.Leo hii watu tumevuna ufuta lakini barabara ni mbovu,magari hayaji tunashindwa kupeleka mzigo sokoni unategemea tutapiga hatua!!
Bwege kweli weweTangu 2021 ndio sahari hiyo pekee?
Halafu mbona unatukana kana kwamba unamjua ninayemuongelea katika thread hii🤔Bwege kweli wewe