Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KAZI IPO kwakweli.Sio huko tu, hata Ikulu ya dodoma hataki kuisikia asipokuwa hewani kwenye ndege utamkuta tu magogoni!
Kwani Moshi ni automatic kwamba upo daily?Anaogopa ule moshi wa Ruangwa
Huko si mna Waziri Mkuu?Kuna kiongozi gani aliwahi kufanya ziara nyingi nyingi huku kusini tangu tupate uhuru? Sisi ni kanda ya mwisho kwa kila kitu, kwa hiyo hatushangai!
Kwani watu wa huko walikosea nini kutopendwa Kwa zamu?Kuna kiongozi gani aliwahi kufanya ziara nyingi nyingi huku kusini tangu tupate uhuru? Sisi ni kanda ya mwisho kwa kila kitu, kwa hiyo hatushangai!
Kwamba!!Huko si mna Waziri Mkuu?
Mkuu mbona kama kuna tukio unalilenga, Mtwara/Lindi/Ukerewe?Salaam, Shalom!!
Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine,
Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26 nchini, Kanda ya ziwa pekee ndio Kuna wananchi?
Mikoa ya Lindi na mtwara pia Kuna wananchi na kumepoa sana, ziara Yako mheshimiwa MARA KWA MARA zinaaweza kufungua MILANGO ya fursa kule Nako kuchangamke!!
Anyway, tufanye kuwa unawapenda sana watu wa Kanda ya ziwa, basi ujapo Mwanza pita pia visiwa vya UKEREWE Utusalimu.
Karibu🙏
Tukio Gani tena!!Mkuu mbona kama kuna tukio unalilenga, Mtwara/Lindi/Ukerewe?
MoshiTukio Gani tena!!
Hivi Ule Moshi ulitokana na nini, au engine iliwaka moto?Moshi
Subutu! Basi mzee kawahi kutangulia, ila ninaamini ipo siku angekuja kusimuliaHivi Ule Moshi ulitokana na nini, au engine iliwaka moto?
Mambo mengi yanafichwa fichwa hata hatuelimishwi 🤔Subutu! Basi mzee kawahi kutangulia, ila ninaamini ipo siku angekuja kusimulia
Salaam, Shalom!!
Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko...
Ule unaandaaliwa. Hukumsikia JPM siku ile walivyomtest alisema nyie watu wa Ruangwa kiboko mumeniretea moshi kabisa, alijua kabisa ile ilikuwa scud.Kwani Moshi ni automatic kwamba upo daily?
HataarUle unaandaaliwa. Hukumsikia JPM siku ile walivyomtest alisema nyie watu wa Ruangwa kiboko mumeniretea moshi kabisa, alijua kabisa ile ilikuwa scud.
Mbona haendi mara Kwa mara kama lake zone?Huko mbona amewahi kufika nawasiwasi na Ruvuma
Apande mtumbwi aje huko kisiwani? Au kuna uwanja wa Ndege?pita pia visiwa vya UKEREWE Utusalimu.