Kwanini kiongozi wetu hafanyi ziara Lindi na Mtwara?

Mkuu mbona kama kuna tukio unalilenga, Mtwara/Lindi/Ukerewe?
 
Salaam, Shalom!!

Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko...

Unakusudia kaenda mara Nyingi kanda ya ziwa kuliko Kizimkazi?

Utakua huko serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…