Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Ni kama lile eneo pale kinondoni ilipokua.."Shishi food"Yule amepanga eneo la Tanroad kwa muda fulani, anawalipa Tanroad hela, siku wakitaka tumia eneo anapewa notice anaondoka bila kudai chochote