Kwanini kuna Members hapa JamiiForums hawana Titles za 'Dkt' kama Wengine na bado wana Mvuto, Ushawishi na Kukubalika?

Kwanini kuna Members hapa JamiiForums hawana Titles za 'Dkt' kama Wengine na bado wana Mvuto, Ushawishi na Kukubalika?

Kwa mfano hawa Wafuatao wala hawajakurupuka kama Wengine ( fulani fulani ) kubadili IDs zao na kuanza na Titles za Dk ( Honorary Doctorate ) ila bado wana Mvuto, wanakubalika na wana Ushawishi mkubwa wa Kifikra na Kiuwasilishaji kila wawapo hapa JamiiForums.......

1. adriz
2. Bila bila
3. Daudi Mchambuzi
4. Bujibuji Simba Nyamaume
5. Shunie
6. Arovera
7. MINOCYCLINE

Nimekaa pale tayari kabisa kusoma Comments zenu wale msiojiita Madaktari wa Falsafa na Mlioanza Kujiita ghafla Madaktari wa Falsafa hapa JamiiForums.

Ukiona umetupa Jiwe Gizani na ukasikia Kilio cha Mtu Kulalamika jua limempata kisawasawa.

Na Wazungu hupenda husema Message Sent and Delivered mliosoma mtanisaidia Kunitafsiria hapo.
Mbona huyo member namba 7 siku iz yupo kmy sanaaa
 
Ule uzi wako wa wajenzi wanafiki wanaojenga nyumba za yule mwamba aliyeacha legacy kubwa uko wapi, mbona siioni? Halafu naona umejiorodhesha hiyo namba 7
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa mfano hawa Wafuatao wala hawajakurupuka kama Wengine ( fulani fulani ) kubadili IDs zao na kuanza na Titles za Dk ( Honorary Doctorate ) ila bado wana Mvuto, wanakubalika na wana Ushawishi mkubwa wa Kifikra na Kiuwasilishaji kila wawapo hapa JamiiForums.......

1. adriz
2. Bila bila
3. Daudi Mchambuzi
4. Bujibuji Simba Nyamaume
5. Shunie
6. Arovera
7. MINOCYCLINE

Nimekaa pale tayari kabisa kusoma Comments zenu wale msiojiita Madaktari wa Falsafa na Mlioanza Kujiita ghafla Madaktari wa Falsafa hapa JamiiForums.

Ukiona umetupa Jiwe Gizani na ukasikia Kilio cha Mtu Kulalamika jua limempata kisawasawa.

Na Wazungu hupenda husema Message Sent and Delivered mliosoma mtanisaidia Kunitafsiria hapo.
Halafu Genta acha kutuzingua, huyo MINOCYCLINE si ndo ni wewe mwenyewe au?
 
Back
Top Bottom