Kwanini kuna Members hapa JamiiForums hawana Titles za 'Dkt' kama Wengine na bado wana Mvuto, Ushawishi na Kukubalika?

Kwanini kuna Members hapa JamiiForums hawana Titles za 'Dkt' kama Wengine na bado wana Mvuto, Ushawishi na Kukubalika?

Kuna dokta uchwara mwingine anaitwa lizy😅anapenda kula kuliko chochote

imefika hatua Uzi unasema weka sura yako yeye anaweka kiporo Cha wali maharage au makande.sasa najiuliza huyu sura yake ni chakula au?
 
Ule uzi wako wa wajenzi wanafiki wanaojenga nyumba za yule mwamba aliyeacha legacy kubwa uko wapi, mbona siioni? Halafu naona umejiorodhesha hiyo namba 7
Kumbe hiyo winga ya kulia ndo yeye amejiorodhesha kwenye kikosi!
 
Kuna dokta uchwara mwingine anaitwa lizy😅anapenda kula kuliko chochote

imefika hatua Uzi unasema weka sura yako yeye anaweka kiporo Cha wali maharage au makande.sasa najiuliza huyu sura yake ni chakula au?
Dogo kuwa na adabu Kwa Dada zako, profile ya Dr Lizzy hata mjikusanye ukoo mzima hamumfikii.

Fanculo.
 
Back
Top Bottom