I may not support ubabe wa CCM sometimes ila Rais kuendeshwa na mtu au kikundi cha watu ni ujinga wa kiwango cha lami. Ruto anawalea sana hao jamaa. Rais wa nchi yeyote ile ni cheo kikubwa sana huwezi endeshwa Kiboya.
JPM aliwahi kasema yeye ndo rais the buck stops at his desk, I couldn't agree with him more. Samia mwenyewe watu wanamponda behind the keyboard ila mtaani wametulia kama uji wa Jana.