Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abood mwenye Ni muisalmu ila magar yake yote yanapiga nyimbo za injili haswa mm mwenye Kuna nyimbo ndio nimekuna kusikia kwa abbodi kuwa Nani kaimba mnk nilikuwa nasikilizaga tu bila kujuwaMbona kama unamakasiriko Mkuu.
Ila nimecheka.
Awavumilie tu mana wao ndio wenye mamlaka na chombo chao.
Ukishaingia kwenye public transport kubaliana na kila hali.Kwanini kila basi la mkoani lina tabia ya kupiga nyimbo za injili ama gospel nusu nzima ya safari?
Kwani tumeshachukuliwa kuwa wasafiri wote ni wakristo?
Kuna dereva mmoja aliweka kaswida hadi wakamgombeza ndo akatoa, kwanza hatuelewi kinachoimbwa
Utachoka kwa majibu.Weye tulia tu ndugu.Teh!Majibu mengi kwenye hii thread yametolewa kana kwamba nimekashifu dini ya kikristo ama nimesema izo nyimbo zisipigwe kwenye mabasi ya mikoani. Acheni kujibu kwa jazba mimi simply niliuliza nijue sababu maana nimeona ni desturi ya mabasi mengi.
Kwaya ina burudisha sana
Ushamba, na nchi masikini ndio hufanya hivyo. meza wembe
Jaza nyimbo unazopenda kwenye simu yako ukipanda basi weka headphone masikioni biashara imekwisha.Kwanini kila basi la mkoani lina tabia ya kupiga nyimbo za injili ama gospel nusu nzima ya safari?
Kwani tumeshachukuliwa kuwa wasafiri wote ni wakristo?
Download app ya shazham.Abood mwenye Ni muisalmu ila magar yake yote yanapiga nyimbo za injili haswa mm mwenye Kuna nyimbo ndio nimekuna kusikia kwa abbodi kuwa Nani kaimba mnk nilikuwa nasikilizaga tu bila kujuwa
mbona mabasi ya mkoa wa Tanga yote hayana hizo na wanapiga kaswida na mihadhara ya kiislam mwanzo mwisho au tafiti zako umefanyia wapi?Kwanini kila basi la mkoani lina tabia ya kupiga nyimbo za injili ama gospel nusu nzima ya safari?
Kwani tumeshachukuliwa kuwa wasafiri wote ni wakristo?
Mpe kondakta flash yako ya kaswida bas!!