Kwanini madhehebu ya Mashahidi wa Jehova na Wasabato wanachukiwa sana na madhehebu mengine ya Kikristo na Uislamu?

Kwanini madhehebu ya Mashahidi wa Jehova na Wasabato wanachukiwa sana na madhehebu mengine ya Kikristo na Uislamu?

imeshushwa huku ikiwa na copy and paste ya vitabu kibao vya bible??
Quran kashushiwa mtume miaka ya Approximate 500 baada ya kristo
hii kitu huwa inanifikirisha sana
Once you understand that all of them are Prophets and they brought forth God's Book utaelewa vizurinzaidi.

If they had rremained unadulterated then the message would be the same, preaching love and unity and righteousness among the People of The Books.
 
Basi shida sio uislamu ni waisalm wajinga ndio wanaouharibu uislamu,hasa wale magaidi na wale wazenji wanao kataza wakristo kujenga makanisa ya kuabudia.
Of course.

Ukitaka kuujua Uislam zama kwenye Quran na mafundisho authentic Hadeeths za Mtume PBUH and his practices.
 
Bible imeandikwa before Quran. na quran tunasema imeshushwa sasa kwanini quran ina story za bible? while quran imeshushwa,

Kimsingi hata hizo story zao hasijakamilika ziko nusu nusu,kuiamini kurwani inabidi ujitoe ufahamu,ndio mana wanawalamba mboko watoto madrasa ili waikariri na kuiamini kwa lazima.
 
Of course.

Ukitaka kuujua Uislam zama kwenye Quran na mafundisho authentic Hadeeths za Mtume PBUH and his practices.

Sasa huo uislamu wa kuchinja na kujiripua na chuki dhidi ya wasio waislamu hua inatokana na nini?
 
Sasa huo uislamu wa kuchinja na kujiripua na chuki dhidi ya wasio waislamu hua inatokana na nini?
Soma na fata nilichokiandika kama nia yako ni kupata elimu ya ukweli na sio kutafuta loopholes za kusupport unachokiqmini kwa sasa.
 
Back
Top Bottom