Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
KwakweliJeshi linatakiwa liondoke maeneo ya mjini yabaki kujengwa majengo ya kiraia. Kama upo umuhimu, basi mjini yabaki maeneo machache na madogo tu kwa ajili yao. Nashangaa jiji kama Dar wamejaza mi-kambi mi-kukubwa ya jeshi. Ya kazi gani?
Tena Wana maeneo balaa