Kwanini maeneo ya jeshi kama Lugalo na External kumejengwa bar na frame nyingi sana?

Kwanini maeneo ya jeshi kama Lugalo na External kumejengwa bar na frame nyingi sana?

Hivi Suma JKT ipo chini ya JWTZ au JKT?
Kwa wale waliokwepa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria.

JKT ni Divisheni ya JWTZ kama zilivyo Divisheni za Anga, Navy, Infantry, Commandos. Alama pekee ya kuwatofautisha ni beret. Infantry beret yao ni rangi ya kijani, Anga beret yao ni rangi ya bluu-mawingu, Navy beret yao ni rangi ya bluu-bahari (Navy blue), Commandos beret yao ni rangi nyeusi, JKT beret yao ni rangi ya jani la mgomba lililochemshwa.

Divisheni zote zinaungana kwenye gwanda moja. Pia kama sare ya askari wa Divisheni moja imeisha na hakuna stock basi anaweza kuvaa sare ya Divisheni nyingine kasoro beret ataendelea kuvaa ya Divisheni yake tuuu hadi labda akibadilishwa Divisheni ndipo ataweza kubadilisha beret pia.
 
Mazee mbona una mikakati na mawazo ya kizamani sana? Yale mawazo ya eti kuweka mji mkuu katikakati ya nchi kwa sababu za kiusalama! Hivi tukiwa na kambi moja ndogo tu na nyingine zikahamishiwa pembezoni mwa jiji je? Nikuambie? Kambi kuwa ndani ya jiji kama ilivyo sasa ni hatari zaidi kuliko kuwa nje.
DSM hakuna mbali,tulishuhudia Azam bakharesa kujenga jalala kule mkuranga leo hii wananchi walivamia na sasa wanalalamika harufu.
 
Kwa wale waliokwepa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria.

JKT ni Divisheni ya JWTZ kama zilivyo Divisheni za Anga, Navy, Infantry, Commandos. Alama pekee ya kuwatofautisha ni beret. Infantry beret yao ni rangi ya kijani, Anga beret yao ni rangi ya bluu-mawingu, Navy beret yao ni rangi ya bluu-bahari (Navy blue), Commandos beret yao ni rangi nyeusi, JKT beret yao ni rangi ya jani la mgomba lililochemshwa.

Divisheni zote zinaungana kwenye gwanda moja. Pia kama sare ya askari wa Divisheni moja imeisha na hakuna stock basi anaweza kuvaa sare ya Divisheni nyingine kasoro beret ataendelea kuvaa ya Divisheni yake tuuu hadi labda akibadilishwa Divisheni ndipo ataweza kubadilisha beret pia.
Safi sana....sana...nimebahatika kuvas...beret nyeusi miaka 2 !! Umeongea vizuri sanaa....
 
Kwa wale waliokwepa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria.

JKT ni Divisheni ya JWTZ kama zilivyo Divisheni za Anga, Navy, Infantry, Commandos. Alama pekee ya kuwatofautisha ni beret. Infantry beret yao ni rangi ya kijani, Anga beret yao ni rangi ya bluu-mawingu, Navy beret yao ni rangi ya bluu-bahari (Navy blue), Commandos beret yao ni rangi nyeusi, JKT beret yao ni rangi ya jani la mgomba lililochemshwa.

Divisheni zote zinaungana kwenye gwanda moja. Pia kama sare ya askari wa Divisheni moja imeisha na hakuna stock basi anaweza kuvaa sare ya Divisheni nyingine kasoro beret ataendelea kuvaa ya Divisheni yake tuuu hadi labda akibadilishwa Divisheni ndipo ataweza kubadilisha beret pia.

Ok shukrani

Na wale wanaovaa beret nyekundi/damu ya mzee hivi?
 
Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.

Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.

Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?

Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.

Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Lengo sio uwekezaji.
Ni masuala ya kiusalama zaidi.Pombe zikijaa kichwani waweze kukusanya data kwa wingi na kwa urahisi kwa wateja wao.
Na hata eneo lao wakilihitaji kwa matumizi mengine ni rahisi kuli retain kwa wepesi na urahisi.
 
DSM hakuna mbali,tulishuhudia Azam bakharesa kujenga jalala kule mkuranga leo hii wananchi walivamia na sasa wanalalamika harufu.
Huoni kuwa hii inaashiria failure ya mamlaka? Ndiyo maana kuna mipango miji. Hilo limetokea kwa sababu hakuna mipango miji na kila mtu ameachiwa ajifanyie lake. Mbona miji ya wenzetu majuu wanapangilia na unakuta maeneo yanatumika kulingana na mipango?
 
Naunga mkono na miguu hoja ya Recreational centers.

Hali ya maisha ya watu wa Dar inaziitaji sana hizo kusaidia kupambana na Tatizo la maradhi ya akili/fahamu.


Maajabu ni kwamba wanatumia Bar Kama mbadala wake.
Nafikiri wanalenga wanafanya biashara wadogo wadogo,
Ambao ndio wengi.
 
Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.

Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.

Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?

Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.

Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Jeshini wasiokunywa pombe ndio wanaonekana wa ajabu kuliko wanaokunywa
 
JWTZ ina kamandi tano mojawapo ikiwa ni hiyo JKT, na viongozi wa JKT ndio hao hao wa JWTZ, so JKT halijitegemei kwa Maana halisi ya kujitegemea

Asante, na wengine wameeleza hivyo hivyo...

Halafu nicheck upande wa pili, nilipoteza tarakimu zako kamanda...
 
Kwa wale waliokwepa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria.

JKT ni Divisheni ya JWTZ kama zilivyo Divisheni za Anga, Navy, Infantry, Commandos. Alama pekee ya kuwatofautisha ni beret. Infantry beret yao ni rangi ya kijani, Anga beret yao ni rangi ya bluu-mawingu, Navy beret yao ni rangi ya bluu-bahari (Navy blue), Commandos beret yao ni rangi nyeusi, JKT beret yao ni rangi ya jani la mgomba lililochemshwa.

Divisheni zote zinaungana kwenye gwanda moja. Pia kama sare ya askari wa Divisheni moja imeisha na hakuna stock basi anaweza kuvaa sare ya Divisheni nyingine kasoro beret ataendelea kuvaa ya Divisheni yake tuuu hadi labda akibadilishwa Divisheni ndipo ataweza kubadilisha beret pia.

Mkuu Commando huwa naona beret zao ni maroon hao wenye beret nyeusi ni special forces wa Navy, halafu kwenye kamandi tano za jeshi hakuna Commando hawa wanaweza kuwa kwenye kamandi yoyote ile ni kama ma MP ambao wao beret zao ni nyekundu, pia umesahau kamandi ya Makao Makuu ambao nao beret na uniform zao zinafanana rangi na kamandi ya Land (Infantry)
 
Bashite ni baba yako wewe na watoto wako. Acha kutukanisha Watanzania
Duuh mjomba kwamba hadi leo humfahamu CDF wa jeshi la nchi yako nani, hajamuongelea Makonda amemuongelea Jacob Mkunda ambaye ni CDF wa JWTZ, halafu yeye kaandika kaka wewe hiyo baba sijui umeitoa wapi
 
Back
Top Bottom