Kwanini maeneo ya jeshi kama Lugalo na External kumejengwa bar na frame nyingi sana?

Kwanini maeneo ya jeshi kama Lugalo na External kumejengwa bar na frame nyingi sana?

Kwa maeneo ya jesho, wajenge hata residential complex na watapata hela nyingi sana.

Ama wawape NHC ama TBA hayo maeneo waingie ubia na watu wajenge residential complex zenye maduka na recreational centers za kueleweka kuliko hizi bar na frames.


Bado kuna matumizi mengi Jeshi inaweza kuyafanya kwa manufaa ya jeshi na wananchi kabla ya makazi ya kuishi wala biashara ya “fremu.


Kuna uhaba mkubwa sana wa vituo vya mafunzo ya aina mbali mbali na utajiri mkubwa sana wa vijana wasio na ujuzi wala ajira maalum. Hii ni Hazina.
 
External sehemu gani kuna fremu za jeshi?
Lugalo ni eneo la jeshi waliamua vile.
External fremu long time ziko vle ni za watu binafsi. Uongezekaji mwingine like baada ya shule yaa makamba au zile bar. Ni kutokana na ile njia kuwa na muingiliani na tabata, makoka na kimara. That's only shit. Nothing sijui jeshi.
 
Jeshi linatakiwa liondoke maeneo ya mjini yabaki kujengwa majengo ya kiraia. Kama upo umuhimu, basi mjini yabaki maeneo machache na madogo tu kwa ajili yao. Nashangaa jiji kama Dar wamejaza mi-kambi mi-kukubwa ya jeshi. Ya kazi gani?
Kwahiyo bandari ikivamiwa tusubiri jeshi toka Morogoro sio?
 
Kwahiyo bandari ikivamiwa tusubiri jeshi toka Morogoro sio?
Mazee mbona una mikakati na mawazo ya kizamani sana? Yale mawazo ya eti kuweka mji mkuu katikakati ya nchi kwa sababu za kiusalama! Hivi tukiwa na kambi moja ndogo tu na nyingine zikahamishiwa pembezoni mwa jiji je? Nikuambie? Kambi kuwa ndani ya jiji kama ilivyo sasa ni hatari zaidi kuliko kuwa nje.
 
Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.

Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.

Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?

Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.

Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Uwekezaji huu wa hovyo katka maeneo ya jeshi kwangu mimi naona ni hatari sana kwa mustakabali wa usalama jeshini.
 
Kwa maeneo ya jesho, wajenge hata residential complex na watapata hela nyingi sana.

Ama wawape NHC ama TBA hayo maeneo waingie ubia na watu wajenge residential complex zenye maduka na recreational centers za kueleweka kuliko hizi bar na frames.
Umeshauri vizuri mkuu. Hopefully wataufanyia kazi ushauri wako.
 
Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.

Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.

Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?

Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.

Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Tunaomba picha ndio tujadili vizur wengine sio wakazi wa Daslam.
 
Jeshi linatakiwa liondoke maeneo ya mjini yabaki kujengwa majengo ya kiraia. Kama upo umuhimu, basi mjini yabaki maeneo machache na madogo tu kwa ajili yao. Nashangaa jiji kama Dar wamejaza mi-kambi mi-kukubwa ya jeshi. Ya kazi gani?
Kwenye ile Kambi ya Nyegezi, Mwanza wao wameweka parking ya Magari, Mradi wa kufyatua matofari pamoja na Baa na vimaduka. Kiufupi hii nchi ni ya hovyo sana.
 
Back
Top Bottom