Angewaogopa asingewarekodi na kuvujisha, kama kweli hao watu wangekuwa na ubavu basi hapo walikuwa wamechokozwa au tuseme Magufuli alianzisha shambulizi tungeona wakijibu.Walikuwa wakiogopana wote, katika ulimwengu kuna watu ambao huwaogopi kabisa wakikuletea kwere kidogo tu unawazibua, ila kuna ambao unawaogopa na wao pia wanakuogopa, ambao hupendi kuwa na vita nao ila wakikuanza utawajibu
Mfano Marekani vs Iraq, Iraq akizingua kidogo Marekani anamvamia bila kusita, ila Urusi akimzingua hatapenda kupigana nae hadi pale inapobidi
Nani alikuwa teyari kuandamana ila kaogopa polisi? Tusijifiche kwenye hicho kivuli cha polisi wakati watu hata hawakuwa na hiyo nia ya kutaka kuandamana.
Mitandaoni humu mlikuwa mnaonesha kuwa hamuogopi jeshi la polisi ni kufa na kupona.
Angewaogopa asingewarekodi na kuvujisha, kama kweli hao watu wangekuwa na ubavu basi hapo walikuwa wamechokozwa au tuseme Magufuli alianzisha shambulizi tungeona wakijibu.
Alivujisha mazungumzo yao sababu walitoa waraka kumvaa yeye kuwa anamtuma Musiba kuwatukanaAngewaogopa asingewarekodi na kuvujisha, kama kweli hao watu wangekuwa na ubavu basi hapo walikuwa wamechokozwa au tuseme Magufuli alianzisha shambulizi tungeona wakijibu.
Nimeuliza ni nani walikuwa teyari kuandamana? Tatizo mnakimbilia kujificha kwenye hicho kisingizio cha polisi ila kiuhalisia hakuna hao waandamanaji, nimekwambia huku mitandaoni mlikuwa mnasema lazima muandamane wakati polisi wanapiga mikwara yao ila mkasema hamuogopi sasa ajabu tena unakuja na kisingizio cha kushindwa kuandamana kwa kuogopa jeshi la polisi.Usitake kutufanya hatukuona polisi wakizunguka mitaani na vitisho juu, au hukuwa hapa nchini nini? Kwa taarifa yako hadi sasa kuna watu wanaendelea kuachiwa kutokana na kesi za kubambikiwa kuhusu kupinga vitendo vilivyofanyika kwenye uchaguzi ule.
Au kwakuwa vyombo vya habari vilidhibitiwa visiripoti matukio yale, basi unadhani hatujui lolote? Kama ulikuwa unategemea taarifa toka TBC1 ndio unajua watu hawakutaka kuandamana.
Nimeuliza ni nani walikuwa teyari kuandamana? Tatizo mnakimbilia kujificha kwenye hicho kisingizio cha polisi ila kiuhalisia hakuna hao waandamanaji, nimekwambia huku mitandaoni mlikuwa mnasema lazima muandamane wakati polisi wanapiga mikwara yao ila mkasema hamuogopi sasa ajabu tena unakuja na kisingizio cha kushindwa kuandamana kwa kuogopa jeshi la polisi.
Kama maandamano yale yangefanywa mitandaoni basi kweli pangechafuka.
Walishindwa kumgusa Musiba asiwachafue na walipotoa huo waraka jamaa akajibu kwa kuwarekodi na kuvujisha sauti zao, wengine wakaenda kuomba msamaha.Alivujisha mazungumzo yao sababu walitoa waraka kumvaa yeye kuwa anamtuma Musiba kuwatukana
Ndio maana yake zilikuwa drama tu za mitandaoni wakati huo mitaani hali ni tofauti na ndio maana siku ya tukio watu wako bize na mambo yao, ndio maana nasema kama hayo maandamano yangefanyika mitandaoni basi ingekuwa balaa maana kulionyesha hawaogopi jeshi la polisi.Huku mitandaoni kauli ilikuwa ni moja, au kulikuwa na kiongozi huku jukwaani? Ulitaka huku mitandaoni watu waseme hawataandamana? Huku kwenye mitandao si ndio watu ilibidi hadi watumie VPN?
Acha uongo wewe.Makamba ndiye aliyeingilia mfumo wa tume ya uchaguzi na kupunguza kura za Lowasa ili za jiwe zitoshe.
Nape ndiye aliyepiga kampeni mpk akavunja mkono huko vijijini kabisa ili watu wampigie kura jiwe maana by then ccm ilikuwa imekanwa kabisa na watanzania.
In short ,these two guys are smarter by far than jiwe, hence jiwe was haunted by unspeakable fear for them.
Mbona hamsemi Magufuli kama dikteta aliyekuwa anauwa watu aliwaogopea kitu gani akina Nape?Kitendo cha kuwarekodi ndio woga wenyewe na ni kosa kisheria. Wao wangejibu vipi wakati Magufuli alikuwa anapambana nao kwa kutumia state apparatus, huku wao wakiwa hawana nguvu hiyo? Unataka kufanya kama vile Magufuli alikuwa anapambana nao kama yeye, kumbe yeye kilichokuwa kinambeba ni ulevi wa madaraka.
Musiba alikuwa akitumwaWalishindwa kumgusa Musiba asiwachafue na walipotoa huo waraka jamaa akajibu kwa kuwarekodi na kuvujisha sauti zao, wengine wakaenda kuomba msamaha.
Mbona hamsemi Magufuli kama dikteta aliyekuwa anauwa watu aliwaogopea kitu gani akina Nape?
Na ndio walimuogopa huyo anayemtuma, sasa ajabu mkisema Magufuli aliwaogopa akina Nape.Musiba alikuwa akitumwa
Wao walifanya nini? Maana Magufuli alimtumia Musiba kuwachafua na hawakuweza kumgusa Musiba, wakaandika waraka jamaa akawarekodi mazungumzo yao na kuvujisha wengine wakaenda kuomba msamaha.Unadhani ukiwa dictator ndio huogopi? Kumbuka udictator wake alikuwa anafanya kwa kutegemea state apparatus, ambazo pia hao aliokuwa hawapendi walikuwa na ukaribu nazo.
Sengerema, ana mtumbwi wa kuvua samakiYuko wapi Ngeleja leo?
Wao walifanya nini? Maana Magufuli alimtumia Musiba kuwachafua na hawakuweza kumgusa Musiba, wakaandika waraka jamaa akawarekodi mazungumzo yao na kuvujisha wengine wakaenda kuomba msamaha.
Aah, wapi, makamba alikua cool tu, akiendelea na ishu zake,, wala hakuhangaika kuomba msamaha,,Hivi kile chuma ni cha kuogopa hawa wadudu kweli jamani!
Nape alikwenda ikulu kwa magoti ambayo ni ishara ya woga uliopindukia!
Makamba wote 2 walitafuta hadi mashimo ya kuingia kumkimbia 🗝️🔑🤣
Hawakutaka ku deal na mbwa, bali mwenye mbwaNa ndio walimuogopa huyo anayemtuma, sasa ajabu mkisema Magufuli aliwaogopa akina Nape.
Kwanini avujishe kwa Siri?, Kwanini hakudeal nao kimya kimya, akaamua kuwatafutia sababu in public?Kwahiyo pamoja na hayo majina hakuogopa kuwarekodi na kuvujisha sauti zao?
[emoji16] Makamba power 2 walibatizwa kwa moto.Hivi kile chuma ni cha kuogopa hawa wadudu kweli jamani!
Nape alikwenda ikulu kwa magoti ambayo ni ishara ya woga uliopindukia!
Makamba wote 2 walitafuta hadi mashimo ya kuingia kumkimbia [emoji2785][emoji360][emoji1787]