Kwanini Magufuli anachukiwa na CCM, Chadema, ACT, CUF na wasomi wengi ila anapendwa na wanyonge?

Kwanini Magufuli anachukiwa na CCM, Chadema, ACT, CUF na wasomi wengi ila anapendwa na wanyonge?

Umaskini ni uchawi, maskini hapendi tajiri na maskini anaamini tajiri ndio amemfanya kuwa maskini.
Matajiri unao wasema ndio hawa wanatafuta Ajira serikalini,maana bila hizo vyeo serikalini ni watu wa kawaida tu,ndio maadui wa magu maana aliwatoa, nao bila kuwa serikalini ni sawa na samaki bila maji.wanamshangilia mama huku Wana haribu,bei za vitu,tozo na ubabaishaji mwingi tu.eg stiglers gouge.
 
Lipo wazi CCM wengi hawampendi Magufuli, ila wanajitahidi kutomshambulia moja kwa moja sababu alikuwa kiongozi wao waliomuunga mkono alipokuwa kiongozi, CHADEMA ndiyo hawampendi kabisa, ACT ndiyo kabisaa.

Wasomi wengi pia hawamkubali Magufuli, ukiwauliza tu ukiwa nao wengi wanamponda, baadhi walikuwa wakimsifia tu kipindi kile sababu ya woga au kutaka cheo ila wanyonge, kama alivyopenda kuwaita Watanzania wa kawaida, hili ndio kundi kubwa la watu na linamkubali sana, utaona comments zao Facebook na Instagram wakimfagilia, ila hutawaona sana Twitter na hapa JF, hawapendi sana hii mitandao.

Najiuliza ni kwa nini? Magufuli alikuwa akiwaeleza watu Tanzania ni tajiri, miradi mingi tunaifanya kwa fedha zetu, akawaeleza pia yeye siyo miongoni mwa kundi la elites ndani ya CCM walioifisadi nchi.

Pia alisikika akisema mtu katika utawala wa nyuma masikini aliweza kufanywa chochote na tajiri ila katika utawala wake tajiri anaweza kufanyiwa chochote, aliruhusu pia wafanyabishara ndogondogo kufanya biashara popote na kusema yeye ni mkombozi wao.

Alikuwa akiwafokea, kuwatukana na kuwafukuza maafisa wa Serikali waliokuwa wakilalamikiwa na wananchi mbele ya hadhara, na mara nyingi alisimama kusikiliza matatizo binafsi ya wananchi kama vile mirathi.

Haya na mengine mengi yaliwafurahisha sana watu wa tabaka la chini ambalo liliamini shida zao zinatokana na kuonewa na viongozi wa serikali na matajiri

Sasa kwa nini wasomi na wanasiasa wengi wasimpende? Kwa haraka haraka mtu ukitazama uongozi wa Magufuli utaona ni uongozi wa kuleta maendeleo na kuondoa rushwa, kuwapa haki wanyonge dhidi ya matajiri na mabwanyenye na kuipaisha nchi kiuchumi.

Mtu huwezi kusema unaondoa rushwa huku ukiua uwazi, unafunga na kuua wanaokosoa, ukifungia na kuvitisha vyombo vya habari, huwezi kusema utakuza uchumi na kipato cha watu huku unakandamiza sekta binafsi kwa kuvuruga biashara, huwezi kusema hubagui watu kwa vyama huku ukiwaambia mmechagua upinzani maendeleo siwapi, huwezi kusema upo against na mabwanyeye huku ukiwajengea mahekalu wastaafu, na kuteua watoto wao na wake zao kwenye vyeo vya kisiasa badala ya watu wa kawaida.

Huwezi kusema umerudisha nidhamu kwa watendaji wa serikali huku wateule wako wakiingia benki na kupora mchana kweupe, kuvamia vituo vya habari na walinzi wa ikulu, Polisi wakiua na kubambikiza watu kesi, watu wenye uelewa hawawezi kukuelewa kamwe.

Samia kwenye moja ya mahojiano yake, alisema anataka legacy yake iwe ni kuwafanya watanzania kujitambua hasa kwenye mambo ya siasa na uraia, nafikiri ameona watanzania wengi hawajui wana uelewa mdogo sana kwenye siasa na ni rahisi sana kuwalaghai.
Hakuna aliyekuwa anamchukia bali alikuwa anachukiwa na 'matendo yake mwenyewe'. Acha usingiziaji.
 
Hakuna watu wasiojitambua nchi hii kama hawa wanaitwa wasomi. Nje ya kufanywa watumwa na walamba miguu ya wengine hawana jipya.

Hao CCM wanajulikana kwa unafiki wao kwani wao chama ni njia ya kutengeneza deals badala ya kusimamia dira sahihi ya Taifa. Huoni wanasema chama chao kinapambana na rushwa na wakati wao ndo walezi wa rushwa nchi hii.

Wapinzani wao hawajielewi ndo maana kila siku wana kazi ya kuhama vyama na hata ajenda za maana hawana.

Mwacheni Magufuli apumzike kwa amani mema na mabaya Mungu anajua mwenyewe.
Roho inakuuma Kinana kurudi?? Alipokuwa jpm hakuwa ccm? ccm ni ile ile
 
Mzalendo asiyependa kufuata sheria wann cc?
Akwende zake kuzimu huko
Kama hafuati sheria ila anatuletea maendeleo yanayoonekana basi anatufaa.

Hatutaki Rais anayefuata sheria lakini tunazidi kuwa masikini, watoto wetu wanaharibiwa na madawa ya kulevya, ufisadi unazidi, Rushwa inakuwa juu na kunakuwa na mfumuko wa hali ya juu.

Tunataka Rais anayeweza kunyanyua masikini na kupunguza gap kati la wenye nacho na wasionacho.
 
Huwa napata sana shida kuelewa hao watu wanaomchukia JPM. sijui km ni watanzania kweli au watu wa aina gan...

Ni kweli kbsa kuwa matajir wa tanzania (tunaposema matajiri usijiwek ww kwasbb familia yk wanakutegemea ukajihis ni tajiri) mtu mwenye turnover ya kuanzia 100Billion shillings. Sio unatumia crowd unajiita tajir huo n upuzi.

Wengi sn kweny 10 aghalabu 8 ni wapiga deal, n ngum mno kukuta tajiri aliyenyook kwenye nchi hii, ni wachache sn sn. Km utabisha ni kwasbb hujafik level hizo na huerew lolote juu ya utajiri

Kimsingi utajir uliopindukia mara nyingi unakua na njia zisizo rasmi sn.

JPM alichukiwa kwasbb hao watu aliwashik vibaya sn kwenye deals zao,
Na kwa bahati mbaya sn ndio hao wamilik wa MEDIA kwa asilimia kubwa sn, au wanalip sn propaganda za kutak kufuta legacy ya mzalendo.

Mtu anasem wasomi, matajiri hawakumpend JPM. unauliza msomi gan...??? Ulimwengu, warioba, mbowe, lissu hao ndio wasomi...???

Hao wote walipata ugali kwa njia za nyuma chuma alikata mirija wakawa wanatapatapa
 
Kama hafuati sheria ila anatuletea maendeleo yanayoonekana basi anatufaa.

Hatutaki Rais anayefuata sheria lakini tunazidi kuwa masikini, watoto wetu wanaharibiwa na madawa ya kulevya, ufisadi unazidi, Rushwa inakuwa juu na kunakuwa na mfumuko wa hali ya juu.

Tunataka Rais anayeweza kunyanyua masikini na kupunguza gap kati la wenye nacho na wasionacho.
Raisi anayejenga Airport kwao Na mkandarasi amweke Bwana Shemegi?
 
Huwa napata sana shida kuelewa hao watu wanaomchukia JPM. sijui km ni watanzania kweli au watu wa aina gan...

Ni kweli kbsa kuwa matajir wa tanzania (tunaposema matajiri usijiwek ww kwasbb familia yk wanakutegemea ukajihis ni tajiri) mtu mwenye turnover ya kuanzia 100Billion shillings. Sio unatumia crowd unajiita tajir huo n upuzi.

Wengi sn kweny 10 aghalabu 8 ni wapiga deal, n ngum mno kukuta tajiri aliyenyook kwenye nchi hii, ni wachache sn sn. Km utabisha ni kwasbb hujafik level hizo na huerew lolote juu ya utajiri

Kimsingi utajir uliopindukia mara nyingi unakua na njia zisizo rasmi sn.

JPM alichukiwa kwasbb hao watu aliwashik vibaya sn kwenye deals zao,
Na kwa bahati mbaya sn ndio hao wamilik wa MEDIA kwa asilimia kubwa sn, au wanalip sn propaganda za kutak kufuta legacy ya mzalendo.

Mtu anasem wasomi, matajiri hawakumpend JPM. unauliza msomi gan...??? Ulimwengu, warioba, mbowe, lissu hao ndio wasomi...???

Hao wote walipata ugali kwa njia za nyuma chuma alikata mirija wakawa wanatapatapa
Yeye aliyezipiga mnada nyumba Za serikali mbona unamsahau?
 
Huwa napata sana shida kuelewa hao watu wanaomchukia JPM. sijui km ni watanzania kweli au watu wa aina gan...

Ni kweli kbsa kuwa matajir wa tanzania (tunaposema matajiri usijiwek ww kwasbb familia yk wanakutegemea ukajihis ni tajiri) mtu mwenye turnover ya kuanzia 100Billion shillings. Sio unatumia crowd unajiita tajir huo n upuzi.

Wengi sn kweny 10 aghalabu 8 ni wapiga deal, n ngum mno kukuta tajiri aliyenyook kwenye nchi hii, ni wachache sn sn. Km utabisha ni kwasbb hujafik level hizo na huerew lolote juu ya utajiri

Kimsingi utajir uliopindukia mara nyingi unakua na njia zisizo rasmi sn.

JPM alichukiwa kwasbb hao watu aliwashik vibaya sn kwenye deals zao,
Na kwa bahati mbaya sn ndio hao wamilik wa MEDIA kwa asilimia kubwa sn, au wanalip sn propaganda za kutak kufuta legacy ya mzalendo.

Mtu anasem wasomi, matajiri hawakumpend JPM. unauliza msomi gan...??? Ulimwengu, warioba, mbowe, lissu hao ndio wasomi...???

Hao wote walipata ugali kwa njia za nyuma chuma alikata mirija wakawa wanatapatapa
Ukiambiwa wewe ni mjinga usitoe povu! Kila mtu anajua kuwa Magufuli aliyekuwa zaidi ya shetani!
 
ACT na CUF vyama vya kidini, CDM chama cha kikabila na CCM ni chama cha wahuni kusema ukweli. JPM alichomoza kutoka chama cha wahuni akiwa mtu clean sana. Na wanapomshambulia ndipo wanapochemka kwani yuko kwenye mioyo ya watu waluo wengi. 2025 itawapa picha. Hawa watoto wa Kambo wakiamka sasa na kuweka mtu sahihi watachukua Nchi. Asiwekwe makengeza wala mwenye buti moja kubwa wala yule tapeli na mdini mkubwa wa ACT.
Ila ACT na CUF ni wadini wa waziwazi kabisa wale jamaa ni washamba hawafai saiv wapo na samia kwa sababu ya dini na wala sio kitu kingine ndio maana hawamkosoi wala nini zaidi ya kimsifia.
 
Ila ACT na CUF ni wadini wa waziwazi kabisa wale jamaa ni washamba hawafai saiv wapo na samia kwa sababu ya dini na wala sio kitu kingine ndio maana hawamkosoi wala nini zaidi ya kimsifia.
Ndivyo ulivyoambiwa Kanisani kwenu?
 
Lipo wazi CCM wengi hawampendi Magufuli, ila wanajitahidi kutomshambulia moja kwa moja sababu alikuwa kiongozi wao waliomuunga mkono alipokuwa kiongozi, CHADEMA ndiyo hawampendi kabisa, ACT ndiyo kabisaa.

Wasomi wengi pia hawamkubali Magufuli, ukiwauliza tu ukiwa nao wengi wanamponda, baadhi walikuwa wakimsifia tu kipindi kile sababu ya woga au kutaka cheo ila wanyonge, kama alivyopenda kuwaita Watanzania wa kawaida, hili ndio kundi kubwa la watu na linamkubali sana, utaona comments zao Facebook na Instagram wakimfagilia, ila hutawaona sana Twitter na hapa JF, hawapendi sana hii mitandao.

Najiuliza ni kwa nini? Magufuli alikuwa akiwaeleza watu Tanzania ni tajiri, miradi mingi tunaifanya kwa fedha zetu, akawaeleza pia yeye siyo miongoni mwa kundi la elites ndani ya CCM walioifisadi nchi.

Pia alisikika akisema mtu katika utawala wa nyuma masikini aliweza kufanywa chochote na tajiri ila katika utawala wake tajiri anaweza kufanyiwa chochote, aliruhusu pia wafanyabishara ndogondogo kufanya biashara popote na kusema yeye ni mkombozi wao.

Alikuwa akiwafokea, kuwatukana na kuwafukuza maafisa wa Serikali waliokuwa wakilalamikiwa na wananchi mbele ya hadhara, na mara nyingi alisimama kusikiliza matatizo binafsi ya wananchi kama vile mirathi.

Haya na mengine mengi yaliwafurahisha sana watu wa tabaka la chini ambalo liliamini shida zao zinatokana na kuonewa na viongozi wa serikali na matajiri

Sasa kwa nini wasomi na wanasiasa wengi wasimpende? Kwa haraka haraka mtu ukitazama uongozi wa Magufuli utaona ni uongozi wa kuleta maendeleo na kuondoa rushwa, kuwapa haki wanyonge dhidi ya matajiri na mabwanyenye na kuipaisha nchi kiuchumi.

Mtu huwezi kusema unaondoa rushwa huku ukiua uwazi, unafunga na kuua wanaokosoa, ukifungia na kuvitisha vyombo vya habari, huwezi kusema utakuza uchumi na kipato cha watu huku unakandamiza sekta binafsi kwa kuvuruga biashara, huwezi kusema hubagui watu kwa vyama huku ukiwaambia mmechagua upinzani maendeleo siwapi, huwezi kusema upo against na mabwanyeye huku ukiwajengea mahekalu wastaafu, na kuteua watoto wao na wake zao kwenye vyeo vya kisiasa badala ya watu wa kawaida.

Huwezi kusema umerudisha nidhamu kwa watendaji wa serikali huku wateule wako wakiingia benki na kupora mchana kweupe, kuvamia vituo vya habari na walinzi wa ikulu, Polisi wakiua na kubambikiza watu kesi, watu wenye uelewa hawawezi kukuelewa kamwe.

Samia kwenye moja ya mahojiano yake, alisema anataka legacy yake iwe ni kuwafanya watanzania kujitambua hasa kwenye mambo ya siasa na uraia, nafikiri ameona watanzania wengi hawajui wana uelewa mdogo sana kwenye siasa na ni rahisi sana kuwalaghai.
Mkuu acha kumsema marehemu
 
Back
Top Bottom