Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Nahisi Sijakuelewa Dada angu Faiza?
Hakuna Wazungu Wayahudi ulikuwa unamaanisha nini?
safi sana, nimekujibu ulichoandika wewe fata uzi ukajisome ulivyoandika. Ikiwa utajielewa basi nami utanielewa, kama hautajielewa ulichokiandika, hata nami hautanielewa nilichokijibu.
 
Mbona hata neno "malaika" ulilolitumia ni la Kiarabu?

Hapa wote mnachanya, naonesha wazi hamuelewi maana ya w-wayahudi wala wahebrania wala Waarabu".

Mkielewa maana ya hayo hamtajichanganya.

Someni.
Malaika Ni neno la Kiebrania au Kiyahudi na Kiarabu pia Huwa Ni neno moja...

Kwa mfano Kiebrania/Kiyahudi malaika huandikwa "מַלְאָךְ" (mal'akh) ambayo humaanisha Mjumbe "messenger." na wingi wake huwa "מַלְאָכִים" (mal'akhim).

Hivyo hivyo na kwa kiarabu malaika huitwa "malak" (مَلَك)..Kwahyo Kiebrania "מַלְאָךְ" (mal'akh) na Kiarabu "مَلَك" (malak) zote zinafanana kisemitic na zote Zina maana Moja ya Mjumbe au Messenger."

Sema kuna kitu kimoja ambacho ndo kilinifanya niseme kuwa Malaika ni Kutoka kwa wayahudi na Djin ni kutoka kwa Waarabu..

Kwa sababu neno Malak/Malaika Lilianza kutumika Zaidi kipindi cha Ujio wa Quran ila PreQuranic Era lilikuwa Halitumiki sana walikuwa wakitumia neno Harb (حرب) huyu ni kama Mjumbe wa Kutahadharisha kuhusu Vita..
Nadhir (نذير), Muonyaji wa matukio na Rasul (رسول) kama Mpeleka ujumbe...
 
safi sana, nimekujibu ulichoandika wewe fata uzi ukajisome ulivyoandika. Ikiwa utajielewa basi nami utanielewa, kama hautajielewa ulichokiandika, hata nami hautanielewa nilichokijibu.
Dada Faiza!
Muebrania/Myahudi sio Mzungu..
Myahudi ni Taifa Jingine Rather than a race..
Na ndo maana Waethiopia Ni wayahudi/Waebrania Ila wako Africa..
 
Mbona hata neno "malaika" ulilolitumia ni la Kiarabu?

Hapa wote mnachanya, naonesha wazi hamuelewi maana ya w-wayahudi wala wahebrania wala Waarabu".

Mkielewa maana ya hayo hamtajichanganya.

Someni.
Wayahudi ni wafuasi wa dini ya Kiyahudi.
Waebrania ni Waisrael
na Waarabu ni wale ndugu zetu wa kutoka Mashariki ya Kati
 
Kabla ya Kuendelea Soma majibu ya Post 345..

Pili Tuelewe kwanza nini maana ya Mzungu na Nini maana Ya Muebrania au Myahudi
Nimeshayasoma, hizo maana zilielezee wewe kwa ufahamu wako, mimi naelewa mtu wa nchi za Ulaya na marekani akiwa mweupe ni mzungu.

Wahebrania ni watu walioitwa " mtoto/watoto wa Mungu, kwa maana kuwa wanaamini Mungu mmoja na si lazima wawe ni wayahudi.

Naamini Yesu alikuwa ni Mhebrania lakini hakuwa Myahudi.
 
Vilaza kweli nyie.
 
Hayo ni mambo ya akina Faiza na dini yao
 
Uislamu unaamini kuna majini walisilimu baada ya kusoma quran na ukisilimu lazima upewe jina la Kiarabu hii ndiyo maana majini wana majina ya kiarabu waliyoyachagua baada ya kusilimu
Kwa hiyo ukiliita jini kwa jina John haliwezi kuja kufanya kazi yako ngo

Majina na lugha ya kiarabu Yana impact katika tasnia ya majini

Ili uweze kuyatawala majini lazima u some kuran kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…