Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Soma isaya 40 mstari wa 22But What about Revolution..
Dunia ya Kwenye Biblia haizunguki Jua Ila Jua Linazunguka Dunia..
Dunia ya Kwenye Biblia Iko fixed and Immovabe wakati sayansi sio..
Galileo aliuliwa na kupingwa na Kanisa Kwa sababu Alisema Dunia Inazunguka Jua na ni Duara
Maneno ya kutafsiri, ukirudisha kwenye kiebrania neno took, inamaana pana kidogo,Mkuu Umeomba Fungu La kwenye Bible nimekupa 😅😅..
Huyo jini wako ni mermaidsUMMY SUBIAN
ummy subian ni jini wa kike ni malkia wa jide chini ya bahari mavazi yake mekundu Pete zake nyekundu ni moja kati ya majini wakorofi akiwa kwako harafu hujatafuta Pete yake atakuadabisha huyu ummy subian yupo chini ya utawala wa sharif sultan bin daud subian ni miongoni mwa maruhaniyat wa kisharifu apa nazungumzia subian mwema kwanza jini huyu ummy subian ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan hizi ni koo kubwa za kijini zinazoelewana sana ummy subian ni miongoni mwa majini wenye cheo ujinini na Wana Mali sana wakikutunuku kitu shida utakisikia Kwa jirani tu na kama yupo Kwa mwanaume basi mwanaume huyo atakua na mvuto mkali sana Kwa wanawake ila jini uyu anapenda uwe msafi ujipende apo mtaendana arafu ukiwa wapenda nguo nyekundu utamfurahisha ummy subian ana uwezo wa kubadilika zaidi ya mara Tano mtu MWENYE jini huyu ukimkorofisha kimbia subian hapend mtu wake aonewe ni jini mwenye Mali ila mkorofi Mali zake zikitumiwa vibaya ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan ila ruhan yeye Mpore mara nyingi utakuta yeye anakutawala sana kuliko ruhani japo ruhani ni mkubwa Kwa subiani ruhan yeye anatoa tu amri subian anatekeleza ruhan ni kiongoz wake subian yupo Kwa ulinzi ila ruhan ni bosi mtoa amri labda itokee jambo zito apo ruhan ataingilia kutetea ila mara nyingi utakuta yeye ametulia tu anampa amli subian ukienda nao sana Kila kitu kwako kitakua mtelemko ukiona wateseka ujue wamefungwa au wanadai Pete yao ili wakutumikie na sio Kila mtu anao Kuna baadhi ya wanadamu Wana nyota Kali kiasi Cha kuwavutia Hawa viumbe mara nyingi wanakuja kwako Kwa kuvutiwa na nyota yako ili wakupe kile walichojaaliwa na muumba wao na kukuwekea ulinzi ili wanadam na majini wabaya wasikudhuru hiyo ni Pete ya ummy subian
View attachment 2978858
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Kwa hiyo Mungu hakuwepo kwa sababu jina lake naye halikuwepo?🤔Aliyekuambia kwamba walikuwepo Ni Nani?
Jibu Ni simple ni Muebrania..
Je, Majina yao Yapo kwa Lugha Gani?
Ya Kiebrania..
Then bado unasema Walikuwepo Kabla ya waebrania??
Yaani Just Imagine una Babu yako ana Jina La kiswahili labda tuseme anaitwa Jasiri Mkubwa halafu Unasema alikuwepo Kabla ya Kiswahili Kuwepo Does It even Make sense??
Tuanze na hapo kwanza
Kila jina lina kizungu na kiarabu mfano Gabriel ni jibreelMalaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
According to Tanakh.Hii ni according what chief?
Una uhakika Gabriel ni jina la kizungu??Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Try Me mkuu kwa sababu Najua Hebrew, Latin, Greek so lets Make a translation kwenye Ulicho na hofu nachoManeno ya kutafsiri, ukirudisha kwenye kiebrania neno took, inamaana pana kidogo,
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Uislamu unaamini kuna majini walisilimu baada ya kusoma quran na ukisilimu lazima upewe jina la Kiarabu hii ndiyo maana majini wana majina ya kiarabu waliyoyachagua baada ya kusilimu
Una maanisha Jerome alitudanganya kuhusu hao malaika?Maneno ya kutafsiri, ukirudisha kwenye kiebrania neno took, inamaana pana kidogo,
Jamaa kaja speed sana ikabidi nifatilie tu, nilijua lazima akumbane na tuta, mwendo utapungua tu.Try Me mkuu kwa sababu Najua Hebrew, Latin, Greek so lets Make a translation kwenye Ulicho na hofu nacho
Samahani ulitumia njia na hatua zipi kwa hapa bongo?? Au ulikuwa nje ya nchi?? Hakuna dini ngumu ya kujiunga kama ya kiyahudi.Mimi nimewahi kuwa Judaism So I know Jews Na wanachokiamini
Gabriel - JibrilUjinga kitu kibata sana. Hivi mtu unaanzaje kuandika ujinga kama huu ?
Hayo majina ya majini, hao wanaona waita ulitakiwa uwaulize wameyajuaje ?
Lakini Kuna malaika Jibril hili jina la Kiarabu, malaika mtoa roho kwa Kiarabu anaitwa "Malakul Mauti, kwa Kiswahili anaitwa Malaika Mtoa roho au wa Mauti."
Asante mkuu. 🙏wangapi tunamfatilia kwa makini DR Mambo Jambo na Peaky blinders ?
Mimi nampendaga sana Dr mambo anaelezea katika hali ambayo hata mtoto anaweza kuelewa.
Leo naongeza followers mwingine Peaky blinders nakukubali sana ndugu yangu.
Nafikiri hii reply haikulengwa kwangu umeikosea maana haihusian na nilichoandika mimiTatizo liko kwako wewe katika kufikiri, ni wapi ulikuta kuna muongozo umeandikwa kwamba Jina hili ni la Jini, mwarabu, mzungu, mchina, giliki, n.k.? Si ni uelewa wako uliokaririshwa na Dunia uliyokulia. Ndiyo maana hakuna sheria inayokataza mtu kujiita kuitwa jina lolote unaloona wewe kuwa linafaa. Shida lisikwaze jamii unayotoka wewe. Yapo majina ya Viongozi au watu wa kawaida kwa Kiswahili ni matusi. Lakini kwao ni majina mazuri sana. Ondoka huko kufikiri kitoto