Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

But What about Revolution..
Dunia ya Kwenye Biblia haizunguki Jua Ila Jua Linazunguka Dunia..
Dunia ya Kwenye Biblia Iko fixed and Immovabe wakati sayansi sio..

Galileo aliuliwa na kupingwa na Kanisa Kwa sababu Alisema Dunia Inazunguka Jua na ni Duara
Soma isaya 40 mstari wa 22
Soma na job 26:7
 
  • Thanks
Reactions: 511
UMMY SUBIAN
ummy subian ni jini wa kike ni malkia wa jide chini ya bahari mavazi yake mekundu Pete zake nyekundu ni moja kati ya majini wakorofi akiwa kwako harafu hujatafuta Pete yake atakuadabisha huyu ummy subian yupo chini ya utawala wa sharif sultan bin daud subian ni miongoni mwa maruhaniyat wa kisharifu apa nazungumzia subian mwema kwanza jini huyu ummy subian ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan hizi ni koo kubwa za kijini zinazoelewana sana ummy subian ni miongoni mwa majini wenye cheo ujinini na Wana Mali sana wakikutunuku kitu shida utakisikia Kwa jirani tu na kama yupo Kwa mwanaume basi mwanaume huyo atakua na mvuto mkali sana Kwa wanawake ila jini uyu anapenda uwe msafi ujipende apo mtaendana arafu ukiwa wapenda nguo nyekundu utamfurahisha ummy subian ana uwezo wa kubadilika zaidi ya mara Tano mtu MWENYE jini huyu ukimkorofisha kimbia subian hapend mtu wake aonewe ni jini mwenye Mali ila mkorofi Mali zake zikitumiwa vibaya ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan ila ruhan yeye Mpore mara nyingi utakuta yeye anakutawala sana kuliko ruhani japo ruhani ni mkubwa Kwa subiani ruhan yeye anatoa tu amri subian anatekeleza ruhan ni kiongoz wake subian yupo Kwa ulinzi ila ruhan ni bosi mtoa amri labda itokee jambo zito apo ruhan ataingilia kutetea ila mara nyingi utakuta yeye ametulia tu anampa amli subian ukienda nao sana Kila kitu kwako kitakua mtelemko ukiona wateseka ujue wamefungwa au wanadai Pete yao ili wakutumikie na sio Kila mtu anao Kuna baadhi ya wanadamu Wana nyota Kali kiasi Cha kuwavutia Hawa viumbe mara nyingi wanakuja kwako Kwa kuvutiwa na nyota yako ili wakupe kile walichojaaliwa na muumba wao na kukuwekea ulinzi ili wanadam na majini wabaya wasikudhuru hiyo ni Pete ya ummy subian
View attachment 2978858
Huyo jini wako ni mermaids
 
Aliyekuambia kwamba walikuwepo Ni Nani?
Jibu Ni simple ni Muebrania..
Je, Majina yao Yapo kwa Lugha Gani?
Ya Kiebrania..

Then bado unasema Walikuwepo Kabla ya waebrania??

Yaani Just Imagine una Babu yako ana Jina La kiswahili labda tuseme anaitwa Jasiri Mkubwa halafu Unasema alikuwepo Kabla ya Kiswahili Kuwepo Does It even Make sense??

Tuanze na hapo kwanza
Kwa hiyo Mungu hakuwepo kwa sababu jina lake naye halikuwepo?🤔
 
Hii ni according what chief?
According to Tanakh.
Vitabu vya agano la kale, (ambavyo vimeongelea malaika) vimechukuliwa kwenye Tanakh.
Screenshot_20240503-093954~2.png
 
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc

Kwanini?
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc

Kwanini?

Ujinga kitu kibata sana. Hivi mtu unaanzaje kuandika ujinga kama huu ?

Hayo majina ya majini, hao wanaona waita ulitakiwa uwaulize wameyajuaje ?

Lakini Kuna malaika Jibril hili jina la Kiarabu, malaika mtoa roho kwa Kiarabu anaitwa "Malakul Mauti, kwa Kiswahili anaitwa Malaika Mtoa roho au wa Mauti."
 
Uislamu unaamini kuna majini walisilimu baada ya kusoma quran na ukisilimu lazima upewe jina la Kiarabu hii ndiyo maana majini wana majina ya kiarabu waliyoyachagua baada ya kusilimu

Kwanini mnakuwa wajinga kiasi hiki ? Nani alikwambia ukibadili dini lazima ubadili na jina ? Hili sio sharti.

Wako watu wengi wamebadili dini na kubaki na Majina yao vile vile. Japokuwa ukipenda pia unaweza kubadili, ila huruhusiwi kubadili ubini.

Wapo masheikh kibao US na UK wamebadili dini wakapenda kubadili Majina yao, mfano yupo Sheikh Mustafa George, Umar Quin, Abuu Bilal Davis.

Kwahiyo jitahidini muwe mnasoma na since kusikia sikia tu maneno na kuyachukua, mnaonekana wajinga sana.
 
Mimi nimewahi kuwa Judaism So I know Jews Na wanachokiamini
Samahani ulitumia njia na hatua zipi kwa hapa bongo?? Au ulikuwa nje ya nchi?? Hakuna dini ngumu ya kujiunga kama ya kiyahudi.

Converting to Judaism​


Converting to Judaism is not easy. It involves many lifestyle changes and about a year of studying.

Conversion and Jewish law​


Conversion to Judaism is a process governed by Jewish religious law. Conversions are overseen by a religious court.


There are also two ritual requirements:


1) a male convert must undergo circumcision - if they are already circumcised, a single drop of blood is drawn as a symbolic circumcision


2) the convert must undergo immersion in a Jewish ritual bath, a mikveh, with appropriate prayers


 
Ujinga kitu kibata sana. Hivi mtu unaanzaje kuandika ujinga kama huu ?

Hayo majina ya majini, hao wanaona waita ulitakiwa uwaulize wameyajuaje ?

Lakini Kuna malaika Jibril hili jina la Kiarabu, malaika mtoa roho kwa Kiarabu anaitwa "Malakul Mauti, kwa Kiswahili anaitwa Malaika Mtoa roho au wa Mauti."
Gabriel - Jibril
 
Tatizo liko kwako wewe katika kufikiri, ni wapi ulikuta kuna muongozo umeandikwa kwamba Jina hili ni la Jini, mwarabu, mzungu, mchina, giliki, n.k.? Si ni uelewa wako uliokaririshwa na Dunia uliyokulia. Ndiyo maana hakuna sheria inayokataza mtu kujiita kuitwa jina lolote unaloona wewe kuwa linafaa. Shida lisikwaze jamii unayotoka wewe. Yapo majina ya Viongozi au watu wa kawaida kwa Kiswahili ni matusi. Lakini kwao ni majina mazuri sana. Ondoka huko kufikiri kitoto
Nafikiri hii reply haikulengwa kwangu umeikosea maana haihusian na nilichoandika mimi
 
Back
Top Bottom