Kwanini Mandela anasifiwa wakati hakuwapa Uhuru Waafrika wa asili wa Afrika Kusini

Kwanini Mandela anasifiwa wakati hakuwapa Uhuru Waafrika wa asili wa Afrika Kusini

Watu weusi wameachiwa asilimia 15 tu nchi washaiharibu yote je wakiachiwa kila kitu sauzi itakua kama tz tu
 
Sifa anazopewa hazilingani na uhalisia, nawe kama unsmuona shujaa pengine umekuwa brainwashed

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki ardhi takribani asilimia 85 yenye rotuba, jaribu tu kuwaza ingekuwaje hapa Tanzania karibu kila sehemu unayotafuta shamba tayari inamilikiwa na wazungu

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki migodi

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki vitega uchumi vinavyotegemea rasili mali za nchi
Mandela he was a sell out. Kabla ya kutolewa kule gerezani alipewa masharti akasaliti mapambano waliyopigania na comrads wenzake.
 
Watu weusi wameachiwa asilimia 15 tu nchi washaiharibu yote je wakiachiwa kila kitu sauzi itakua kama tz tu
shamba unalomiliki ama analomiki mzazi wako ungependa linyanganywe apewe mzungu ?
 
Kuna mzulu nilikutana nae Chuo alisema hi kauli, #Mandela sold us akendelea kusema kwamba the one who control means ya Uchumi wa nchi ndiye anayecontrol hata Uongozi wa nchi.
Huyo mzulu amesema kwa nini Serikali ya ANC imeshindwa kuboresha hali ya umeme, miondombinu, huduma za kijamii, kudhibiti uhalifu wa kutisha na xenophobia kwa muda mrefu sasa?
 
Nelson Mandella ni Baba wa Afrika hii,huwezi mfananisha ni kiongozi yoyote ndani ya bara hili.Ni upumbavu kuamini mtu ili awe mwafrika lazima awe mweusi.Afrika kusini ilijengwa na Makaburu ambao mpaka leo nguzo muhimu ndani ya Afrika kusini.

NAC wameiharibu SA kama walivyo fanya wakina Mugabe, Nyerere, Nkrumah nk,katika mataifa yao.
Acha mawenge na chuki zako za kikoloni hapa, huyo mandela kafanya lipi la maana? Histori hamsomi kazi kudandia dandia mambo juu juu.

Huyo mandela atamfikia kwame nkuruma?, nyerere? Jomo kenyata?, patrice lumumba?,

Ifike mahala tuache utoto, hayo maendeleo mnayodanganywa huko South Afrika unadhani yanawasaidia nini wenye ardhi Kama ardhi yenyewe imekaliwa kimabavu?

Alafu jitahidi usome sana maana hujui hata Neno Afrika lina maana gani, kabla ya yote Afrika ilitambulisha mtu mweusi, hapo kabla Afrika nzima ilikaliwa na watu weusi kabla ya uvamizi wa waarabu na wazungu, hawa ndio walioleta huu ubaguzi wa rangi na kuwaitwa wakaazi weusi waafrika mpaka leo hii hata wasio weusi waishio Afrika nao wanaitwa waafrika, lkn chimbuko la Neno/Jina Afrika ni mtu mweusi.

Jamani tujitahidi sana kusomesha watoto wetu elimu sahihi wasiwe kama hawa wapumbavu na washenzi wasiojua umuhimu wa babu zetu waliopambana dhidi ya udharimu wa mtu mweupe.

Maoni ya watu wanaowapinga babu zetu waliopigania uhuru, hayo hutolewa na vibaraka ama watu weupe, ni ajabu sana kumuona mtu mweusi anapinga juhudi za akina nyerere kupigania uhuru, ama mjinga anaemsifia mandela wakati hakuna la maana alilofanya zaidi ya kuwasariti ndugu zake na kuwamilikisha kwa mkoloni.

Someni muepuke aibu ndogondogo.
 
Kivipi waakati wazungu ambao wapo asilimia 8 wanaendelea kumiliki ardhi asilimia 80
Huo ni uongo mkubwa, wazungu kwa sasa Africa kusini wanamiliki ardhi ndogo kuliko inayomilikiwa na serikali na raia weusi wa Africa Kusini. Serikali ya Africa Kusini imekuwa inachukua kidogokidogo ardhi ambazo lease zake zina expire na kununua nyingine
 
Kivipi waakati wazungu ambao wapo asilimia 8 wanaendelea kumiliki ardhi asilimia 80
Zimbabwe kipindi ardhi inamilikuwa na wachache {walowezi} ilikuwa inazalisha chakula Cha kutosha, waafrika walipo lalamika wakapewa ardhi mwisho uchumi ukaanguka na njaa juu.

Watu wachache wenye akili huweza kuongoza kundi kubwa la wajinga,kuliko kundi kubwa la wajinga kuongoza wachache wenye akili.

Kumiliki ardhi kubwa sio big deal,deal ni utilization ya hiyo ardhi kuwa yenye tija, Israel iko kwenye desert,lakini inazalisha matunda mengi duniani wakati huo huo orange zinazo limwa Tanga zinaozeana shambani.
 
Mandela alikuwa sahihi 100% kuwaacha makaburu. Angewaachia hao wazulu Afrika kusini ingekuwa kama Zimbabwe. Hata hapa kwetu kulikuwa na maamuzi ya hovyo sana kuwanyang'anya watu hasa weupe mali zao wakati wa awamu ya kwanza. Matokeo yake ni nchi kurudi nyuma sana.
Kuna uwezekano baadhi yenu msingezaliwa maana baba/babu zenu wangeuawa ama kukosa uhuru katika ardhi yao wenyewe, ni ajabu majitu yasiyo tambua nini maana ya Uhuru kung'ang'ania kutawaliwa na mtu mweupe kisa maendeleo ambayo nayo msingeyafaidi.

Huwa naombea sana hiki kizazi cha mitoto ya miaka ya 70-2000 mngeupitia ule utumwa walio pitia babu zetu akili zingewakaa sawa msingekuwa na mawazo ya kutawaliwa kisa mpate mseleleko.

Ni aibu kutegemea kujengewa nchi yako na mkoloni, jengeni kwa nguvu zenu, acheni mawazo ya kijinga na kitumwa enyi wakosa akili.
 
Naomba unijibu swali langu please, hilo shamba lako ama mashamba ya huko kijijini kwenu ungependa yanyanganywe wapewe wazungu ?
Ukichunguza vizuri wanaolilia kutawaliwa na watu weupe, hivyo ni vitoto vingi vya miaka ya 90-2000 kwaiyo usivilaumu havijui madhara ya utumwa ktk ardhi yao.

Hii nchi kama tungekuwa chini ya ukoloni basi isingekuwa tofauti na Rwanda&kenya kwa ukabila, migogoro ya wao kwa wao, ubaguzi wa rangi, ukabila, udini mpaka ukanda, kiufupi nchi ingekuwa ya hovyo.

Wengi humu nasisitiza wasingekuwepo leo hii kama tungeendelea kutawaliwa na hayo maendeleo wanayoyalalamikia kwanini wasiyafanye wao maana nao wana akili&nguvu za kufanya mageuzi.

Ukiondoa umasikini hapa Tanzania bado kuna tatizo la Afya ya akili pamoja na Upofu&utumwa wa akili, watanzania wengi sana hawana akili.
 
Naomba unijibu swali langu please, hilo shamba lako ama mashamba ya huko kijijini kwenu ungependa yanyanganywe wapewe wazungu ?
Wazungu walipofika Africa Kusini walikuta sehemu kubwa ni mapori au jangwa yasiyofanyiwa chochote, baada ya kuendeleza ndio yakawa mashamba.
 
Umejuaje yeye au wazazi wake wanamiliki shamba?
Pengine hana hata shamba hajui umuhimu wake ndio maana anachukulia poa, si ajabu akauza shamba la urithi aende kununua simu
 
Uhuru si kufukuza waliojenga nchi. Kitendo cha kukubali wote waishi kwa pamoja ni cha kupigiwa mfano.

Nyerere alishawahi kusema hili miaka ya 70 kama sio 80.

"Makaburu wakitaka kuishi vyema watoe haki sawa na waafrika waishi pamoja lakini sio wao kujifanya wana sheria zao"....

Mkiwafukuza mtakua na tofauti gani na wao walivyowabagua?
 
Wazungu walipofika Africa Kusini walikuta sehemu kubwa ni mapori au jangwa yasiyofanyiwa chochote, baada ya kuendeleza ndio yakawa mashamba.
Si ajabu History una F
 
Pengine hana hata shamba hajui umuhimu wake ndio maana anachukulia poa, si ajabu akauza shamba la urithi aende kununua simu
Sasa kama yeye hana shamba na kuna mtu mwingine ana ekari 1000 ambazo amezishikilia tu hazifanyii chochote si bora mzungu azichukue yeye apate ajira kwenye uwekezaji wa huyo mzungo
 
Acha mawenge na chuki zako za kikoloni hapa, huyo mandela kafanya lipi la maana? Histori hamsomi kazi kudandia dandia mambo juu juu.

Huyo mandela atamfikia kwame nkuruma?, nyerere? Jomo kenyata?, patrice lumumba?,

Ifike mahala tuache utoto, hayo maendeleo mnayodanganywa huko South Afrika unadhani yanawasaidia nini wenye ardhi Kama ardhi yenyewe imekaliwa kimabavu?

Alafu jitahidi usome sana maana hujui hata Neno Afrika lina maana gani, kabla ya yote Afrika ilitambulisha mtu mweusi, hapo kabla Afrika nzima ilikaliwa na watu weusi kabla ya uvamizi wa waarabu na wazungu, hawa ndio walioleta huu ubaguzi wa rangi na kuwaitwa wakaazi weusi waafrika mpaka leo hii hata wasio weusi waishio Afrika nao wanaitwa waafrika, lkn chimbuko la Neno/Jina Afrika ni mtu mweusi.

Jamani tujitahidi sana kusomesha watoto wetu elimu sahihi wasiwe kama hawa wapumbavu na washenzi wasiojua umuhimu wa babu zetu waliopambana dhidi ya udharimu wa mtu mweupe.

Maoni ya watu wanaowapinga babu zetu waliopigania uhuru, hayo hutolewa na vibaraka ama watu weupe, ni ajabu sana kumuona mtu mweusi anapinga juhudi za akina nyerere kupigania uhuru, ama mjinga anaemsifia mandela wakati hakuna la maana alilofanya zaidi ya kuwasariti ndugu zake na kuwamilikisha kwa mkoloni.

Someni muepuke aibu ndogondogo.
Tusome nini? Je, unafahamu kwamba vitabu vya Historia vya Tanzania kuhusiana na suala la historia ya Afrika ya Kusini viliandikwa kwa kupotoshwa makusudi na watu wa Propaganda wa CCM kwa lengo la kuwakandia na kuwapaka matope Makaburu wa Afrika ya Kusini??? Unafahamu kuhusu suala hili??
Uhalisia ndani ya nchi ya Afrika ya Kusini upo tofauti kabisa na hicho kilichoandikwa kwenye vitabu vya historia vya Tanzania. Kwa bahati mbaya sana kwamba hao Watanzania walioandika hiyo historia ya Afrika ya Kusini wala hawakuwahi kufika hata mara moja huko nchini Afrika ya Kusini kabla ya kuandika hivyo vitabu vya historia.
 
Back
Top Bottom