Kwanini Mandela anasifiwa wakati hakuwapa Uhuru Waafrika wa asili wa Afrika Kusini

Kwanini Mandela anasifiwa wakati hakuwapa Uhuru Waafrika wa asili wa Afrika Kusini

Hao wazungu wachache ndio wanamiliki ardhi na nafasi za ajira. Uliwahi ona Waafrika Kusini wanakimbia nchi yao kuja kuzamia Tanzania kutafuta ajira ambapo ardhi inamilikiwa na sisi wazawa tunaomiliki majaruba 20 kwenye kakipande huku tunatifua kwa jembe la mkono?

Wabongo ndio wanakimbilia Afrika Kusini kufanya umachinga, wizi, madawa na kuwa vinyozi. Afrika Kusini inabeba wahamiaji wa Zimbabwe, Zambia, Tanzania, Malawi, Mozambique na bado inaishi.

Hao wazungu unaolalamikia ndio mfano wakulima wadogo wa matunda waliungana kuunda kampuni ya Ceres, unaziona juisi zao kwenye supermarkets zetuView attachment 2964951

Wakati sisi wabongo wanaungana kutengeneza matawi ya Simba na Yanga almost kila kata jijini Dar na maeneo nchi nzimaView attachment 2964952
Hutokaa usikie wakulima wadogo wa mawese Kigoma waungana kujenga kinu kidogo cha kukamua mazao yao. Utasikia kila siku wanaomba serikali, Samia, Makonda. Na Afrika Kusini husikii wazungu wanalialia juu ya serikali, hizo ni kazi za wacheza amapiano ambao ndio hupiga kura. Mzungu anabaguliwa baadhi ya vitu kama nafasi za kisiasa na amekubali, vitu vingi anajifanyia yeye. View attachment 2964951View attachment 2964952View attachment 2964951View attachment 2964952
Inasikitisha sana
 
Sifa anazopewa hazilingani na uhalisia, nawe kama unsmuona shujaa pengine umekuwa brainwashed

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki ardhi takribani asilimia 85 yenye rotuba, kabla ya kutetea naomba ujibu swali rahisi, hilo shamba lako ama mashamba ya huko kijijini kwenu ungefurahi wazungu wangeendelea kuyamiliki ? ungejipiga kifua kusifia Nyerere katupa uhuru ?

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki migodi,

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kuendesha mifumo ya uchumi

Leo hii Waafrika wa asili waliokuwepo Afrika Kusini kabla hata ya ukoloni ni masikini sana, Afrika kusini ndio inaongoza kwa uhalifu Afrika sababu waafrika wengi ni masikini huku wazungu wakiwa matajiri sana kwa rasilimali za Afrika kusini, waafrika wengi wanaishi kwenye shacks (vyumba vyenye kuta za mabati)


Umewahi kukaa siku 5 magereza sababu ya wa Tanzania? Tafakari hayo maneno utakuwa umepata jibu la swalo lako.
 
Raia wa Afrika kusini na Raia wa Tanzania ni yupi ana maisha mazuri kwa wastani?
ni heri kuishi uswazi tandale kuliko kwenye shack za SA

1713269961582.png
 
Nelson Mandella ni Baba wa Afrika hii,huwezi mfananisha ni kiongozi yoyote ndani ya bara hili.Ni upumbavu kuamini mtu ili awe mwafrika lazima awe mweusi.Afrika kusini ilijengwa na Makaburu ambao mpaka leo ni nguzo muhimu ndani ya Afrika kusini.

NAC wameiharibu SA kama walivyo fanya wakina Mugabe, Nyerere, Nkrumah nk,katika mataifa yao.
hivi unajua hata ulichoandika kweli??
 
jaribu tu kuwaza ingekuwaje hapa Tanzania karibu kila sehemu unayotafuta shamba tayari inamilikiwa na wazungu wachache huku sisi wengi wa asili hatuna ardhi
%90 ya aridhi yote yenye madini tanzania inamilikiwa na mabeberu,
 
Uhuru si kufukuza waliojenga nchi. Kitendo cha kukubali wote waishi kwa pamoja ni cha kupigiwa mfano.

Nyerere alishawahi kusema hili miaka ya 70 kama sio 80.

"Makaburu wakitaka kuishi vyema watoe haki sawa na waafrika waishi pamoja lakini sio wao kujifanya wana sheria zao"....

Mkiwafukuza mtakua na tofauti gani na wao walivyowabagua?
hakuna kiongozi mnafiki kama nyerere,
 
Utachagua moja; uwaache wazungu kwenye miundombinu, ajira, madini, kilimo, ulinzi, afya na huduma nyingine za jamii. Au ufukuze wazungu wote uwanyanganye mali zao.

Aliyewaacha wazungu mfano ni South Africa na jirani yake Namibia. Aliyefukuza wazungu mfano ni ZimbabweView attachment 2964698

Kwa mbali mfano mwingine ni Uganda ambapo Idd Amin alifukuza Wahindi, wakaacha biashara zao wakaenda mikono mitupu. Wakarudi enzi za Museveni wakakuta biashara zao zimeuwawa na weusi, wakakuta weusi na makapuku, Wahindi wakaanza upya na sasa pale Kampala na Entebbe ndio wanaishi "uhindini".
Uganda nilienda kwenye 2016-7 wahindi kibao
 
Uganda nilienda kwenye 2016-7 wahindi kibao
Na ndio wenye hela tabaka la juu, Uganda hata Wasomali wachache wanadharau wenyeji. Idd Amin alipochukia kwanini Wahindi ndio wenye hela akawafukuza na kugawa biashara zao kwa Waganda. Mtu alikuwa kilaza na mzinzi uko eti anapewa usimamizi bakery ya mikate. Wakafirisika, ile wanarudi Wahindi miaka ya Museveni wakakuta viwanda na biashara zao zimekufa wakaanza upya na wakawa na utajiri.

Hii ngozi hatutaki kujitafakari. Kazi lawama, ngono, kujiliza na kuomba.
 
Mandela aliwauza Wasauzi yupo kiongozi mmoja aliuawa mwaka 1993 huko borgsburg ndie alikua na msimamo wa Ardhi alikataa kuungana na Sera za ANC wakati Mandela anatoka jela ilibidi Kaburu wafanye mpango auawe ntakumbuka chama chake na yeye mwenyewe...
 
Zimbabwe kipindi ardhi inamilikuwa na wachache {walowezi} ilikuwa inazalisha chakula Cha kutosha, waafrika walipo lalamika wakapewa ardhi mwisho uchumi ukaanguka na njaa juu.

Watu wachache wenye akili huweza kuongoza kundi kubwa la wajinga,kuliko kundi kubwa la wajinga kuongoza wachache wenye akili.

Kumiliki ardhi kubwa sio big deal,deal ni utilization ya hiyo ardhi kuwa yenye tija, Israel iko kwenye desert,lakini inazalisha matunda mengi duniani wakati huo huo orange zinazo limwa Tanga zinaozeana shambani.
Mara nyingi kama sio mara zote ukisikia mtu anatumia rangi kuzungumzia maslahi ya nchi Kunakuwq na hidden agenda
Zimbabwe lilipoanza vuguvugu la utaifishaji mashamba kutoka kwa weupe wachache raia wengi walidhani ni kwa maslahi ya nchi. Baada ya mashamba kunyakuliwa yakagawiwa kwa watu walioitwa WAPIGANIA UHURU Operation ya haya mashamba wakati yanamilikiwa na Wqzungu kuanzia gateman mpaka CEO wote walikuwa blacks na activities zilikienda very smooth. A rational decision ilikuwa ni kuwaachia hawa watendaji (blacks) waendeshe hizo shughuli za uzalishaji lakini WAPIGANIA UHURU wakawa ndio mwiba kwa watendaji
Mwishowe mashamba na viwanda vyote vikafa kifo Cha mende
 
Sifa anazopewa hazilingani na uhalisia, nawe kama unsmuona shujaa pengine umekuwa brainwashed

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki ardhi takribani asilimia 85 yenye rotuba, kabla ya kutetea naomba ujibu swali rahisi, hilo shamba lako ama mashamba ya huko kijijini kwenu ungefurahi wazungu wangeendelea kuyamiliki ? ungejipiga kifua kusifia Nyerere katupa uhuru ?

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki migodi,

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kuendesha mifumo ya uchumi

Leo hii Waafrika wa asili waliokuwepo Afrika Kusini kabla hata ya ukoloni ni masikini sana, Afrika kusini ndio inaongoza kwa uhalifu Afrika sababu waafrika wengi ni masikini huku wazungu wakiwa matajiri sana kwa rasilimali za Afrika kusini, waafrika wengi wanaishi kwenye shacks (Nyumba ndogo zenye kuta za mabati)
Mandela sifa yake kubwa ni kukaa gerezani miaka 27 hamna kingine kimsingi nyerere kafanya kazi kubwa africa sifa zingeenda kwake zaidi ya Mandela
 
Anaetaka kusifiwa kama Mandela nae akae gerezani kwa miaka 28, anyanyaswe, ateswe kwa kutumia umeme. Mandela anastahili hiyo heshima.
 
Sifa anazopewa hazilingani na uhalisia, nawe kama unsmuona shujaa pengine umekuwa brainwashed

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki ardhi takribani asilimia 85 yenye rotuba, kabla ya kutetea naomba ujibu swali rahisi, hilo shamba lako ama mashamba ya huko kijijini kwenu ungefurahi wazungu wangeendelea kuyamiliki ? ungejipiga kifua kusifia Nyerere katupa uhuru ?

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kumiliki migodi,

Alihamasisha forgiveness dhidi ya makaburu kwamba waendelee kuendesha mifumo ya uchumi

Leo hii Waafrika wa asili waliokuwepo Afrika Kusini kabla hata ya ukoloni ni masikini sana, Afrika kusini ndio inaongoza kwa uhalifu Afrika sababu waafrika wengi ni masikini huku wazungu wakiwa matajiri sana kwa rasilimali za Afrika kusini, waafrika wengi wanaishi kwenye shacks (Nyumba ndogo zenye kuta za mabati)
Hiyo forgiveness ndio mabeberu walimpendea, japo bado US iliendelea kumuweka Mandela na ANC kwenye orodha ya magaidi mpaka mwaka 2008 walipomuondoa.
 
jaribu tu kuwaza ingekuwaje hapa Tanzania karibu kila sehemu unayotafuta shamba tayari inamilikiwa na wazungu wachache huku sisi wengi wa asili hatuna ardhi
Tunge adapt, waza madini yanavyouzwa ilifaidika kule chalinze pamoja na gesi. Kaja jamaa akagawa mitungi ya gesi yao eti Kuni ni mbaya , pia wanaweka Sheria Kali eti tusikate miti kwa mkaa na kuni huku kwa mbao inakatwa na madini yanachimbwa sijui Sasa ni zipo maliasili ambazo haziishi
 
nafuu ya kabakisha wazungu angalau mambo yapo hivyo,angewanyang'anya kila kitu au kiwatimua nadhani hali ingekua mbaya zaidi ya hapo,pengine kungekua na wakimbiza kutoka south Africa kwa nchi za jirani.
 
Back
Top Bottom