Kwanini Mandela anasifiwa wakati hakuwapa Uhuru Waafrika wa asili wa Afrika Kusini

Wewe huna akili kabisa. Hao wazee wa kabla ya 70 walitaka uhuru ili wafanye maamuzi ya hovyo yanayotugharimu hadi leo?
 
Pamoja na yote hayo bro huwajui wazulu aisee. Hawana tofauti na wazaramo. Waafrica tumebaki kulaumu tu lakin ukienda South leo hii waafrica wanaopiga hela ni wakuja sio wenyeji. Wenye hela South ni wale kutoka North West wengine wao ni ngoma na kulaumu tu. Mwafrica atafanikiwa ikiwa tu ataamua kuchukua hatua mwenyewe za kujiendeleza mifumo yote ya dunia haipatan na anaechezea muda kwa kulaumu.
 
Angewapa waafrika ardh mashamba Sasa hivi S Africa ingekuwa masikini zaidi ya Zimbabwe ambayo kabla ya Mugabe iliweza lisha Africa nzima huku wazimb wakiwa wameshiba plus ajira tele.
Uhalifu S.A wanafanya zaid maforeigner wanaoshika bunduki wengi kule ni wabongo, Mozambique na wazimbabwe,kwenye unga wanaigeria.
 
Alifanya forgiveness kwa wale waliomkosea yeye na kuleta maridhiano ya kitaifa.
Sasa uwafukuze wazungu waende wapi wakati SA ndio kwao wamezaliwa huko
 
Hao waswahili hata wangepewa ardhi wangefugia nyoka na panya tu kachek Zimbabwe mashamba yamegeuka mapori.
 
Wapigania uhuru wa Africa wote walipigania maslai Yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote thus baada ya kuwahadaa waafrika wapiganie uhuru ni wakageuka wakoloni weusi kwa kuwatesa waafrika wenzao na kujilimbikizia mali na kuzificha ulaya huku wakiacha mamilioni ya wafrika wakitopea kwenye dhiki kuu kuliko hata kabla ya uhuru ambapo uhakika wa maisha ulikuwepo ajira tele,kilimo kilipata soko.
Hadi kesho wanaofaidi matunda ya uhuru ni familia zao,huku dream ya kila kijana wa kiafrika ni kutaka kukimbilia ulaya kuyafata maisha mazuri ambayo angeyapa Afrika kama wapigania uhuru wasingekuwa viherere.
Ilitakiwa wapiganie usawa
 
Nyuzi zako hua zimenyooka, hawa watu nawaona kule ‘quara ‘ sana sana
 
True utajjri upo kwenye mind na sio mind ya kitajiri hata umuweke porini au jangwani ataona fursa.
Nilikutana na muhindi mmoja Canada akasema anawashukuru sana iddi Amin na nyerere kuwapora mali zao walizozitafuta kwa jasho wakafukuzwa wakiwa masikini kabisa Canada, USA na UK ikawachukua wakiwa hawana kitu Leo ndio matajiri wakubwa nchi hizo ni kama walipigwa teke chura.
Wahindi wangerudishiwa nyumba zao NHC ijenge nyumba zake ule ulikuwa ni uonevu mkubwa.
Mtu kajinyima kajenga ghorofa lake miaka 20 kawekeza nguvu zake kirahisi tu unampora thus Hawa watawala wanakufa mapema kwa dhuluma.
Mwinyi na Kikwete wanaishi miaka mingi sana sababu ya kuogopa dhuluma ya jasho la mtu.
 
ANC walishindwa kuzalisha another Mandela
 
Mfano hapa Bongo ardhi inatusaidia Nini kama haizalishi wapewe wenye uwezo wazalishe tupate shibe.Mfano ulaya ardhi wanamiliki wachache ndio wanalisha wengi.
Blacks Usa hawamiliki ardhi lakini wanashiba Wana afya chakula sio big ishu sisi tuna ardhi lakini check miili yetu ya kwashakoo,miili midogo midogo sababu ya njaa.
Unashindia muhogo na maji kwa ujira WA elf 4 kwa masaa 12 ya kazi utakuwa vipi na afya.
 
Kivipi waakati wazungu ambao wapo asilimia 8 wanaendelea kumiliki ardhi asilimia 80
Kumiliki ardhi sio kumiliki uchumi man 90 ya watz tunamiliki ardhi lakini ni asilimia 9 TU wasiomiliki ardhi ndio wameshikilia uchumi wetu
 
Kuna mzulu nilikutana nae Chuo alisema hi kauli, #Mandela sold us akendelea kusema kwamba the one who control means ya Uchumi wa nchi ndiye anayecontrol hata Uongozi wa nchi.
Waafrika kusini weusi wameachiwa siasa ndio wanabweka huko wakiwemo akina Malena nk Wazungu hawana mpango na siasa wamejikita kwenye uchumi tu na biashara kubwa
 
JamiiForums is stooping to low.

What kind of non-sense is this?

Kwa Mtanzania yeyote yule anayesoma Uzi huu, chukua notisi, chukua tahadhari.

Nchi yetu imevamiwa na vibaraka na mawakala wa mabeberu wanaofanya propaganda za ukuu wa mzungu, yaani "white supremacy" pamoja na Ugaidi unaoendana nao, kwa Mwaliko wa CHADEMA.

... sambamba na uhasama kwa Jamii ya Mwafrika.

Waweke notisi hawa watu
kama unsmuona shujaa pengine umekuwa brainwashed

waafrika wengi wanaishi kwenye shacks

Mandela sold us

NAC wameiharibu SA kama walivyo fanya wakina Mugabe, Nyerere, Nkrumah nk,katika mataifa yao.


wakakuta weusi na makapuku,

Ila sasa, kila kitu utasikia nyerere. Unafiki mwingi sana

Ukweli lazima usemwe weusi ni waharibifu Tanganyika ya mkoloni ilikuwa bora kuliko Tanganyika ya Nyerere.

Hata hapa kwetu kulikuwa na maamuzi ya hovyo sana kuwanyang'anya watu hasa weupe mali zao wakati wa awamu ya kwanza. Matokeo yake ni nchi kurudi nyuma sana.
 
Hata Tanzania Wahindi na waarabu ndo wanao miliki uchumi,weusi wamebaki kushabikia mpira wa Yanga na Simba,kuwaza ngono nk.

Ukweli lazima usemwe weusi ni waharibifu Tanganyika ya mkoloni ilikuwa bora kuliko Tanganyika ya Nyerere.
Wajerumani wakiwa maelfu wachache miaka ya 1900s mwanzoni walijenga reli ya kati. Miaka 100 baadae wabongo tupo zaidi ya milioni 60 kujenga SGR hatuwezi mpaka waje Waturuki.

Waingereza walitawala 24% ya dunia na hakuna nchi waliyotawala ilikuwa inapokea misaada. Wabongo tunajitawala wenyewe kwa miaka zaidi ya 60 ila bado tunasaidiwa kila mwaka na umaskini hauishi. Hata kujisaidia chooni mpaka wazungi watusaidie bila hivyo tunakunya vichakani, sisi kazi kuijadili Arsenal na Liverpool saa moja asubuhi
 
Kivipi waakati wazungu ambao wapo asilimia 8 wanaendelea kumiliki ardhi asilimia 80
Hao wazungu wachache ndio wanamiliki ardhi na nafasi za ajira. Uliwahi ona Waafrika Kusini wanakimbia nchi yao kuja kuzamia Tanzania kutafuta ajira ambapo ardhi inamilikiwa na sisi wazawa tunaomiliki majaruba 20 kwenye kakipande huku tunatifua kwa jembe la mkono?

Wabongo ndio wanakimbilia Afrika Kusini kufanya umachinga, wizi, madawa na kuwa vinyozi. Afrika Kusini inabeba wahamiaji wa Zimbabwe, Zambia, Tanzania, Malawi, Mozambique na bado inaishi.

Hao wazungu unaolalamikia ndio mfano wakulima wadogo wa matunda waliungana kuunda kampuni ya Ceres, unaziona juisi zao kwenye supermarkets zetu

Wakati sisi wabongo wanaungana kutengeneza matawi ya Simba na Yanga almost kila kata jijini Dar na maeneo nchi nzima
Hutokaa usikie wakulima wadogo wa mawese Kigoma waungana kujenga kinu kidogo cha kukamua mazao yao. Utasikia kila siku wanaomba serikali, Samia, Makonda. Na Afrika Kusini husikii wazungu wanalialia juu ya serikali, hizo ni kazi za wacheza amapiano ambao ndio hupiga kura. Mzungu anabaguliwa baadhi ya vitu kama nafasi za kisiasa na amekubali, vitu vingi anajifanyia yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…