inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
1995 ndiyo alianza kujijenga,na vijana wenzie akina lowasa na jakayaMiaka hiyo ya 1995, ilikuwa ni enzi ya Mwinyi. Rostam yupo kwenye mishemishe toka enzi za Mwinyi mpaka leo. Kila ishu, kila dili, kila kiongozi, kila skendo, Rostam jina lake lipo.