Kwanini mara nyingi mwanaume ukimhudumia sana mwanamke lazima upigwe na kitu kizito?

Kwanini mara nyingi mwanaume ukimhudumia sana mwanamke lazima upigwe na kitu kizito?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Utakuta mwanaume uko vizuri kipesa, unamuona mdada unampenda, ila amepauka kwa umaskini. Unajitoa kumhudumia kipesa kwa hali na mali, hadi mdada ananawiri, ila atakachokuja kukulipa huyo binti, ni heri tu angekuambia tuachane.

Niliona makala YouTube, mdada mmoja wa Kifilipino alimuua mume wake wa kizungu mwenye pesa ili abaki na mpenzi wake wa kifilipino, na arithi mali za huyo mzungu.

mume wa kizungu alimpenda Sana huyo dada hadi alijengea ndugu za huyo dada ghorofa. Dada alikuwa anapewa $1000 kwa mwezi, na maisha mazuri. Sehemu ya hiyo hela alimnunulia pikipiki mpenzi wake wa Kifilipino ambaye mwaka mzima mshahara wake haufiki $1000! Kuna cases nyingi sana zinafanana na hii.

Yaliyowakuta njooni mtoe ushuhuda hapa.
 
Hiyo Ni kanuni ya asili mkuu
Kile kinachokuumiza Ni matokeo ya kile unachokipenda..

Haijlishi Ni mapenzi, kazi au starehe ya aina yoyote ile.

Hata ndugu au jamaa unaowapenda ndio hao wakuletea maangamizo.

Maandiko yanasema Kila jambo liwe kiasi..
Tuwe na kiasi katika kupenda, kufanya, kutoa, kupokea, n.k

Naomba kuwasilisha
 
Mkipenda kweli hakuna kitu kizito, Sema ukimpenda anaye mpenda mwengine lazima ujue ujui🤸‍♂️🤸‍♂️
 
Kwa hiyo umeamua kuleta tamthilia za kifilipino katika uhalisia Nini?

Unayempenda hakupendi na anayekupenda humpendi.Ova!
 
Kwa hiyo umeamua kuleta tamthilia za kifilipino katika uhalisia Nini?

Unayempenda hakupendi na anayekupenda humpendi.Ova!
 
Utakuta mwanaume uko vizuri kipesa, unamuona mdada unampenda, ila amepauka kwa umaskini, unajitoa kumhudumia kipesa kwa hali na mali, hadi mdada ananawiri, ila atakachokuja kukulipa huyo binti, ni heri Tu angekuambia tuachane.

iliona documentary YouTube, mdada mmoja wa kifilipino alimuua mume wake wa kizungu Mwenye pesa, ili abaki na boyfriend wake wa kifilipino, na arithi mali za huyo mzungu, mume wa kizungu alimpenda Sana huyo dada hadi alijengea ndugu za huyo dada ghorofa, dada alikuwa anapewa $1000 kwa mwezi, Na maisha mazuri, sehemu ya hiyo hela alimnunulia pikipiki boyfriend wake wa kifilipino Ambaye mwaka mzima mshahara wake haufiki $1000..Kuna cases nyingi sana zinafanana na hii

Yaliyowakuta njooni mtoe ushuhuda hapa
Mwanaume kosa vyote ila sio 6x6 na tupesa tudogo kwa kubadilisha mboga. luckyline
 
Hiyo Ni kanuni ya asili mkuu
Kile kinachokuumiza Ni matokeo ya kile unachokipenda..

Haijlishi Ni mapenzi, kazi au starehe ya aina yoyote ile.

Hata ndugu au jamaa unaowapenda ndio hao wakuletea maangamizo.

Maandiko yanasema Kila jambo liwe kiasi..
Tuwe na kiasi katika kupenda, kufanya, kutoa, kupokea, n.k

Naomba kuwasilisha
Maoni mazuri
 
Utakuta mwanaume uko vizuri kipesa, unamuona mdada unampenda, ila amepauka kwa umaskini, unajitoa kumhudumia kipesa kwa hali na mali, hadi mdada ananawiri, ila atakachokuja kukulipa huyo binti, ni heri Tu angekuambia tuachane.

iliona documentary YouTube, mdada mmoja wa kifilipino alimuua mume wake wa kizungu Mwenye pesa, ili abaki na boyfriend wake wa kifilipino, na arithi mali za huyo mzungu, mume wa kizungu alimpenda Sana huyo dada hadi alijengea ndugu za huyo dada ghorofa, dada alikuwa anapewa $1000 kwa mwezi, Na maisha mazuri, sehemu ya hiyo hela alimnunulia pikipiki boyfriend wake wa kifilipino Ambaye mwaka mzima mshahara wake haufiki $1000..Kuna cases nyingi sana zinafanana na hii

Yaliyowakuta njooni mtoe ushuhuda hapa
Namimi ngoja nieleze kwa uzoefu wangu wa la pili d uwa ipo hivi ukiona hvyo jua uyo men kalazimisha uhusiano kwa mwanamke pengine mwanamke alimwambia yupo katika uhusiano ila tu jamaa akalazimisha kutokana na pesa zake mwanamke akakubali.

Iyo imewahi kutokea kwa bro mmoja hivi alimuona mdada yupoyupo tu akajarib kuforce mahusiano mwisho wa siku akamwambia mdada angalia wapi kwenye maslahi mixer kumchanganya na kumuhomga vitu kama simu na pesa mwisho wa siku mwanamke kamkubali lakini kadili muda ulivyokuwa unaenda akawa anadharauliwa tu kingine mwanamke akampanga jamaa wake uhalisia japo waliachana lakini still jamaa wa pesa anateswa tu kwa sabab mwanamke nae anamuumiza makusudi coz kasababisha penzi lake la kwel limekufa.....

VITA BADO MBICHI JAMAA ANAZIDI KUFOKOLEWA MAPESA YAKE TUNDA ANAPIGWA KALENDA.....
 
Ukimhudumia Sana unatoka kwenye role ya partner unaanza kuwa 'baba yake"....
Ndo maana wanatafuta 'boyfriend'...

Jaribu kuwa partner...kila kitu mshirikiane kutatua sio ujifanye Baba yake
 
Utakuta mwanaume uko vizuri kipesa, unamuona mdada unampenda, ila amepauka kwa umaskini, unajitoa kumhudumia kipesa kwa hali na mali, hadi mdada ananawiri, ila atakachokuja kukulipa huyo binti, ni heri Tu angekuambia tuachane.

iliona documentary YouTube, mdada mmoja wa kifilipino alimuua mume wake wa kizungu Mwenye pesa, ili abaki na boyfriend wake wa kifilipino, na arithi mali za huyo mzungu, mume wa kizungu alimpenda Sana huyo dada hadi alijengea ndugu za huyo dada ghorofa, dada alikuwa anapewa $1000 kwa mwezi, Na maisha mazuri, sehemu ya hiyo hela alimnunulia pikipiki boyfriend wake wa kifilipino Ambaye mwaka mzima mshahara wake haufiki $1000..Kuna cases nyingi sana zinafanana na hii

Yaliyowakuta njooni mtoe ushuhuda hapa
Kumbe huna jipya,wasimulia michezo ya kuigiza.Afadhali utuagize wapi pa kununua hizo cd zake.
 
ukiwezakaa mbali na hao viumbe utakua ume solve 50% ya matatizo yako
 
Utakuta mwanaume uko vizuri kipesa, unamuona mdada unampenda, ila amepauka kwa umaskini. Unajitoa kumhudumia kipesa kwa hali na mali, hadi mdada ananawiri, ila atakachokuja kukulipa huyo binti, ni heri tu angekuambia tuachane.

Niliona makala YouTube, mdada mmoja wa Kifilipino alimuua mume wake wa kizungu mwenye pesa ili abaki na mpenzi wake wa kifilipino, na arithi mali za huyo mzungu.

mume wa kizungu alimpenda Sana huyo dada hadi alijengea ndugu za huyo dada ghorofa. Dada alikuwa anapewa $1000 kwa mwezi, na maisha mazuri. Sehemu ya hiyo hela alimnunulia pikipiki mpenzi wake wa Kifilipino ambaye mwaka mzima mshahara wake haufiki $1000! Kuna cases nyingi sana zinafanana na hii.

Yaliyowakuta njooni mtoe ushuhuda hapa.
Naam
 
Back
Top Bottom