Russia is not your enemy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 373
- 625
Unadharau sana.Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba!?
Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je,waafrika ndivyo tulivyoumbwa!?
Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Miili mikubwa plus ulafi wa kula kula hovyo.Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba!?
Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je,waafrika ndivyo tulivyoumbwa!?
Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Njaa zake analeta makasiriko hukuUnadharau sana.
Yaani unene ni utaahira??
Unataka kugundua nini Ndugu? Na itatusaidia nini?
We ni Rais Nani tukujue na kilibatumbo chakoNjaa zake analeta makasiriko huku
katika kumbu kumbu zangu, marais wanene ni Mkapa, kibaki tu
Ulaya wanachagua wenye shibeNdg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?
Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?
Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Ficha utahira wakoWe ni Rais Nani tukujue na kilibatumbo chako
Umezingatia neno "wengi" kwenye uzi?Unalitofautishaje na neno "wote"?
Bila kusahau wanawake wa ulaya vs wa africaNdg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?
Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?
Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Joto kali snNdg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?
Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?
Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Nyerere, Lumumba, Mugabe, Mandela, Naseer, Sankara kwa kufupi na uchache hawakua wanene (na vitambiz najua ndio unene unaoongeleaNdg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?
Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?
Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Ndy maana walikuwa na tu akili akili kdgNyerere, Lumumba, Mugabe, Mandela, Naseer, Sankara kwa kufupi na uchache hawakua wanene (na vitambiz najua ndio unene unaoongelea
Kakagame ni mua kabisa!Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?
Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?
Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!