Kwanini Marais wengi wa Afrika ni wanene wakati Ulaya, Amerika na Asia ni Wembamba?

Kwanini Marais wengi wa Afrika ni wanene wakati Ulaya, Amerika na Asia ni Wembamba?

Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba!?

Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je,waafrika ndivyo tulivyoumbwa!?

Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Unadharau sana.

Yaani unene ni utaahira??
 
Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba!?

Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je,waafrika ndivyo tulivyoumbwa!?

Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Miili mikubwa plus ulafi wa kula kula hovyo.
 
Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?

Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?

Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Ulaya wanachagua wenye shibe
Afrika tunachagua wenye njaa wanashibia madarakani
 
Rais wa ufaransa emanuel macron na waziri mkuu wa uingereza rishi sunak ni wembamba hawana vitambi. Kwetu kulikuwa na rais nyerere na waziri mkuu wake warioba walikuwa wembamba na hawakuwa na vitambi, mpaka sasa mzee warioba hana kitambi walipendeza sana. Hawa wenye vitambi na wanene huenda ni morhology ya miili yao ndivyo ilivyo, hata wakijinyima kula ni kazi bure wataumia kuzuia unene na vitambi vyao
 
Ila kuna wengine wamekuwa wanene na kuwa na vitambi kutokana na ulafi wao
 
Umezingatia neno "wengi" kwenye uzi?Unalitofautishaje na neno "wote"?

Nimezingatia mkuu kwa maana hata Ruto, Abiy, Museveni, wa Somalia, Sudan zote mbili nk wote kama alivyokuwa Chiluba hapa:

Screenshot_20230412-132916.jpg


Au wote ina maana Tshisekedi?
 
Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?

Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?

Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Bila kusahau wanawake wa ulaya vs wa africa
 
Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?

Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?

Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Joto kali sn
 
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ujinga na unene.... Pita mashuleni au mtaani
 
Akiwa mwembamba hatumchagui,unachaguaje balozi wa njaaa
Sijawahi kuona mwembamba amegombea
 
Acha nikae kimya mana mimi mwenyewe nna mwili mkubwa japo sio rais
 
Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?

Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?

Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Nyerere, Lumumba, Mugabe, Mandela, Naseer, Sankara kwa kufupi na uchache hawakua wanene (na vitambiz najua ndio unene unaoongelea
 
Ndg wasomaji kwanini maraisi wengi wa Afrika ni wanene wakati Marais karibu wote wa Ulaya, Amerika na Asia ni wembamba?

Najiuliza Nini kinasababisha hayo! Je, Waafrika ndivyo tulivyoumbwa?

Au ni kula pasipo kipimo. Au ni utaahira maana wengine wanahusisha unene na tatizo la akili, akili kutochakata mambo sawasawa hivyo kupelekea mwili kufutuka, au ni tatizo gani haswa ndugu zangu Marais wetu kuwa wanene tofauti na wenzao wa mabara mengine!
Kakagame ni mua kabisa!
 
Back
Top Bottom