Kwanini Marekani imewazidi Mexico kwa mbali sana tofauti na Ujerumani inavyotaka kulingana na Ufaransa ilhali hizo zote sio nchi za ndani ya Afrika?

Mdogo wangu kinachoisibu Mexico ni uhalifu uliokidhiri bangi na madawa ya kulevya
 
They are WHITES and Africans are BLACK...
hapana mexican are not white...South american mexico included ni masalio ya waafrika na mataifa ya hapo kama wa inca,wa aztec..marekani ni zao la watu wa ulaya sana na nchi nyengine ..usiconfuse
 
mexico si wakuwabeza mkuu maana wapo nafasi ya 15 kiuchumi dunia pia wapo kwenye G20.
Mkuu, hizo Gs wala zisikuchanganye sana mara sijui G5 tena G25, mbona hata tukianzisha G120 na sisi Tanzania tutakuwepo.
 
Mkuu, gizo Gs wala zisikuchanganye sana mara sijui G5 tena G25, mbona hata tukianzisha G120 na sisi Tanzania tutakuwepo.
mkuu unadhani kua wa 15 kiuchumi duniani ni kazi ndogo? hawa mabwana wapo vizuri japo wamezidiwa mbali na marekani
 
Mimi ninamaanisha weupe ambao ni opposite na weusi na sio weupe huo wa kung'aa yaaani weupe peeeeee...
Unamaanishaje kitu ambacho hakipo.Unafahamu kuwa Aboriginal na sisi waafrika ni rangi mbili tofauti kabisa.Vipi mwarabu na mchina wawe saw a.Ina maana nadharia ya races haipo. Kwa hio warangi na wanyiramba,wachaga nk utawaweka kundi gani.Watu tupo tofauti hata waafrika tu tupo tofauti sana.M sokhsa was south na mzuru ni ranging mbili tofauti.It seems unaupungufu wa uelewa wa human races.Your hypothesis is very vague!
 
Piga kelele zooooote unazozijua wewe lakini duniani kuna rangi mbili tu za binadamu yaaani MWEUPE na MWEUSI.

Labda kama wewe ni binadamu wa njano au blue.
 
Light skin and white people are two different people. Kiswahili hakina misamiati ya kutosha ya kutofautisha watu.Waafrika weupe huko ulaya huitwa black au light skin.Hao Mexico, Wajapan no ni light skin but not white.Hats ulaya yenyewe kuna badhi ya nchi wazungu weupe huwa hawawatambui kama white.Mfano Ureno, Italy, Spain,greece sion White people.White are Arien people ambao in UK,Germany France nk
 
Unamaanishaje kitu ambacho hakipo.Unafahamu kuwa Aboriginal na sisi waafrika ni rangi mbili tofauti kabisa.Vipi mwarabu na mchina wawe saw a.Ina maana nadharia ya races haipo. Kwa hio warangi na wanyiramba,wachaga nk utawaweka kundi gani.
Kujifanya mjuaji sana hakukupeleki popote mkuu. Sasa wewe chukua hao Latino kisha nenda nao Mbagala alafu kawaambie watu kuwa hawa sio watu weupe kama haujapigwa mawe...
 
Piga kelele zooooote unazozijua wewe lakini duniani kuna rangi mbili tu za binadamu yaaani MWEUPE na MWEUSI.

Labda kama wewe ni binadamu wa njano au blue.
Kwa uelewa wako but not books(facts).Usilazimishe uelewa wako ukawa uelewa wa jumla/Ukweli.Uelewa wako ni common sense na uelewa unaokubalika ni facts.Kuwa layman ktk jambo sio vibaya vibaya ni kuukataa ukweli unaokubalika.Fanya andiko ili upinge nadharia zilizopo zinazobainisha watu. Unaoneka huwezi kujenga hoja bali kulazimisha tu bila evidence.Hata babu zetu wenyewe waliwatofautisha watu weupe kwa majina tofauti ; Wazungu,wahindi,wabaniani,singasinga nk wewe unakuja na utopia.Napoteza mda bure sikujibu tena.
 
Sasa wewe chukua hao Latino kisha nenda nao Mbagala alafu kawaambie watu kuwa hawa sio watu weupe kama haujapigwa mawe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…