Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Baba Mwajei haupo kijiwe cha gahawa acha kamba
Huwa siongei vitu bila ushahidi
1. Mtu mweusi Tajiri Duniani huwa wanapokezana Baina ya Dangote na Al Amoud Bilionea Wa Saudia, Hakuna Mweusi yoyote Ulaya ama Usa anaegusa kwa Al Amoud
0x0.jpg


2. Kuna Viongozi Kibao wenye Asili ya Africa ama ambao wame changanya kama Marehemu Qabous wa Oman pamoja na Baba yake, Mfalme wa Zamani wa Kuwait etc hii picha ya Lineage ya Sabah Familia ya viongozi wa Kuwait
GQYFIB2XEAA_6lS.jpeg

images (71).jpeg


3. Ukiangalia makampuni makubwa Makubwa ya Saudia na Arabuni kwa Ujumla utawakuta hao Black Arabs wakiwa na positions kubwa kubwa kama MA CEO, MA Engineer wakubwa, Madaktari etc kifupi kazi zinazohitaji akili.

-Ahmad Hawsawi CEO wa Siemens Saudia
images (72).jpeg


-Abdulelah AlHawsawi
Founder wa Saudi Patient safety centre kama Colaborate centre ya Who (Zipo 5 tu dunia nzima) na ni member wa WHO kwenye same field, pia anakuwa hadi Chairman vikao vingi vya WHO
Alhawsawi.jpg


-Ingia website yoyote inayolist research papers na wanasayansi eka ukoo wowote wa watu weusi Wa Saudia kama huo wa Hawsawi angalia Contribution zao


Hakuna popote Pale Duniani utapata Viongozi wazuri weusi tofauti na Nchi za kiarabu, hakuna popote Duniani utapata watu weusi wasomi tofauti na Nchi za kiarabu hakuna popote pale Duniani utapata watu weusi Wenye Hela tofauti NA nchi za kiarabu huo ni ukweli mchungu ambao wengi hawataki kukubali.
 
Arabs and Chinese ni wabaguzi sana. Saudi Arabia ni marufuku kusali hadharani kama wewe sio Muislam..
Sasa usali hadharani for what na asilimia 99.9 ni waislamu raia? Na wasio waisilamu ambao ni wageni wana maeneo yao yametengwa? Vatican na Nchi nyengine nyingi za ulaya ambazo percentage kubwa sio waisilamu nazo pia haziruhusu muisilamu kufanya ibada hadharani.
 
Tutajie tajiri mweusi saudia
Kwa JINA Anaitwa Al Amoud Soma zaidi post hii


Na si yeye tu wapo wengi tu Matajiri Weusi Middle East
 
Sasa usali hadharani for what na asilimia 99.9 ni waislamu raia? Na wasio waisilamu ambao ni wageni wana maeneo yao yametengwa? Vatican na Nchi nyengine nyingi za ulaya ambazo percentage kubwa sio waisilamu nazo pia haziruhusu muisilamu kufanya ibada hadharani.
Saudi Arabia hakuna kabisa ila uingereza kuna misikiti
 
Mbona Balotelli hajabadilishwa Jinsia??
Sababu mmoja hajabadilishwa haimaanishi wote hawabadilishwi, it's well known issue hao watoto wanaokuwa adopted Haiti wanabadilishwa Jinsia. Bila kusahau ngono za watoto, wanachukuliwa kwa MGONGO wa msaada na kuwa trafficked. Kasome Email alizoleak Julian Asange za Hillary Clinton namna alivyokua akificha hii issue.
 
Sababu mmoja hajabadilishwa haimaanishi wote hawabadilishwi, it's well known issue hao watoto wanaokuwa adopted Haiti wanabadilishwa Jinsia. Bila kusahau ngono za watoto, wanachukuliwa kwa MGONGO wa msaada na kuwa trafficked. Kasome Email alizoleak Julian Asange za Hillary Clinton namna alivyokua akificha hii issue.
Mashoga waliojaa Zanzibar pia ni kwa sababu ya adoption ya wazungu??..
 
Kiongozi gani ni mweusi huko middle east na china mkuu??
Comment 102
 
(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.

(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.

(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??

Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICA.

~ SIPENDI SIASA ~
Why matajiri wa kiafrika hawaasili anyone who is not black?

Pumbavu
 
Sababu mmoja hajabadilishwa haimaanishi wote hawabadilishwi, it's well known issue hao watoto wanaokuwa adopted Haiti wanabadilishwa Jinsia. Bila kusahau ngono za watoto, wanachukuliwa kwa MGONGO wa msaada na kuwa trafficked. Kasome Email alizoleak Julian Asange za Hillary Clinton namna alivyokua akificha hii issue.
BALOTELI KABADILISHWA JINSIA ?
 
Back
Top Bottom