TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Why baloteli and not mark or Mike?Mbona Balotelli hajabadilishwa Jinsia??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why baloteli and not mark or Mike?Mbona Balotelli hajabadilishwa Jinsia??
WahindiHuruma au ndio reality?? Katika mabara yote, bara lipi ni poorest??..
Huyo al amoud kaachwa na dangote kwa zaidi ya 1b usd ambaye ni pure black tofauti na yeye (al amoud) ambaye ni multi racial sababu hata kwenye list ya black billionares hayupo na hata huko saudia ni ameamia tu. So usimpe credit sana kumfananisha na sisi blacks ni sio mwenzetuHuwa siongei vitu bila ushahidi
1. Mtu mweusi Tajiri Duniani huwa wanapokezana Baina ya Dangote na Al Amoud Bilionea Wa Saudia, Hakuna Mweusi yoyote Ulaya ama Usa anaegusa kwa Al Amoud
View attachment 3195316
2. Kuna Viongozi Kibao wenye Asili ya Africa ama ambao wame changanya kama Marehemu Qabous wa Oman pamoja na Baba yake, Mfalme wa Zamani wa Kuwait etc hii picha ya Lineage ya Sabah Familia ya viongozi wa Kuwait
View attachment 3195329
View attachment 3195330
3. Ukiangalia makampuni makubwa Makubwa ya Saudia na Arabuni kwa Ujumla utawakuta hao Black Arabs wakiwa na positions kubwa kubwa kama MA CEO, MA Engineer wakubwa, Madaktari etc kifupi kazi zinazohitaji akili.
-Ahmad Hawsawi CEO wa Siemens Saudia
View attachment 3195331
-Abdulelah AlHawsawi
Founder wa Saudi Patient safety centre kama Colaborate centre ya Who (Zipo 5 tu dunia nzima) na ni member wa WHO kwenye same field, pia anakuwa hadi Chairman vikao vingi vya WHO
View attachment 3195336
-Ingia website yoyote inayolist research papers na wanasayansi eka ukoo wowote wa watu weusi Wa Saudia kama huo wa Hawsawi angalia Contribution zao
Hakuna popote Pale Duniani utapata Viongozi wazuri weusi tofauti na Nchi za kiarabu, hakuna popote Duniani utapata watu weusi wasomi tofauti na Nchi za kiarabu hakuna popote pale Duniani utapata watu weusi Wenye Hela tofauti NA nchi za kiarabu huo ni ukweli mchungu ambao wengi hawataki kukubali.
Al Amoud baba yake alikuwa bilionea wa kiarabu, mama yake ndie alikuwa African kutokea Ethiopia, Ni rahisi muarabu kuoa mwanamke mweusi kuliko vice versaHuwa siongei vitu bila ushahidi
1. Mtu mweusi Tajiri Duniani huwa wanapokezana Baina ya Dangote na Al Amoud Bilionea Wa Saudia, Hakuna Mweusi yoyote Ulaya ama Usa anaegusa kwa Al Amoud
View attachment 3195316
2. Kuna Viongozi Kibao wenye Asili ya Africa ama ambao wame changanya kama Marehemu Qabous wa Oman pamoja na Baba yake, Mfalme wa Zamani wa Kuwait etc hii picha ya Lineage ya Sabah Familia ya viongozi wa Kuwait
View attachment 3195329
View attachment 3195330
3. Ukiangalia makampuni makubwa Makubwa ya Saudia na Arabuni kwa Ujumla utawakuta hao Black Arabs wakiwa na positions kubwa kubwa kama MA CEO, MA Engineer wakubwa, Madaktari etc kifupi kazi zinazohitaji akili.
-Ahmad Hawsawi CEO wa Siemens Saudia
View attachment 3195331
-Abdulelah AlHawsawi
Founder wa Saudi Patient safety centre kama Colaborate centre ya Who (Zipo 5 tu dunia nzima) na ni member wa WHO kwenye same field, pia anakuwa hadi Chairman vikao vingi vya WHO
View attachment 3195336
-Ingia website yoyote inayolist research papers na wanasayansi eka ukoo wowote wa watu weusi Wa Saudia kama huo wa Hawsawi angalia Contribution zao
Hakuna popote Pale Duniani utapata Viongozi wazuri weusi tofauti na Nchi za kiarabu, hakuna popote Duniani utapata watu weusi wasomi tofauti na Nchi za kiarabu hakuna popote pale Duniani utapata watu weusi Wenye Hela tofauti NA nchi za kiarabu huo ni ukweli mchungu ambao wengi hawataki kukubali.
Mnafiki anakupa ARVs bure??..
[/QUOTE wanaoleta izo ARVs ndio hao waliokutengenezea HIV sas wanaepuka vipi kuitwa wanafki?
Vipi ukoo wa Hawsawi Saudia? Naona umeuruka hapo kwenye Exaplanation yako, asili yake Sio Nigeria? Je kuna Ukoo wowote wa Mtu Mweusi dunia ya leo unaweza kujivunia MA Engineer, Madaktari, MA CEO. SCIEntist na wengineo kushinda huo? Kama upo utaje.Al Amoud baba yake alikuwa bilionea wa kiarabu, mama yake ndie alikuwa African kutokea Ethiopia, Ni rahisi muarabu kuoa mwanamke mweusi kuliko vice versa
baba wa Sultan Qaboos bin Said, Said bin Taimur, alikuwa wa asili ya Kiarabu na alitoka kwenye ukoo wa Al Said, ambao umekuwa ukitawala Oman tangu katikati ya karne ya 18. Ukoo wa Al Said unahusiana na asili ya Rasi ya Uarabuni, hasa Yemen, na ni sehemu ya jamii kubwa ya Kiarabu.
Waafrika wengi uarabuni wanafanya kazi za ndani, kubeba box, drivers, usafi, n.k. kazi premium kuna waarabu wengi, mifano halisi ni dada zetu wanaopelekwa huko uarabuni kufanya kazi za ndani na malalamiko kibao ya kunyanyaswa, Nenda ulaya au Marekani kuna kitu kinaitwa DEI, yani watu weusi wanapewa kazi hata kama wana sifa ndogo ilimradi kazini kuwe na matabaka mengi kuanzia rangi ya ngozi, jinsia, ulemavu, n.k.
Uarabuni kuna neno limezoeleka kutuita watu weusi "Abeed" yaani "mtumwa", hii ipo mpaka Sudan, Ukienda ulaya au Marekani wazungu walikatazwa kutumia hayo majina, wanaodiriki wanashushiwa kipigo kikali
Ndio maana nimekwambia wanapokezana, inategemea na mwaka na mwaka, na Dangote Yupo ndani ya Africa, hakuna mweusi Ulaya, Marekani ama popote pale nje ya Africa tajiri kumshinda Al Amoud.Huyo al amoud kaachwa na dangote kwa zaidi ya 1b usd ambaye ni pure black tofauti na yeye (al amoud) ambaye ni multi racial sababu hata kwenye list ya black billionares hayupo na hata huko saudia ni ameamia tu. So usimpe credit sana kumfananisha na sisi blacks ni sio mwenzetu
BALOTELI KABADILISHWA JINSIA ?
Si ndiyo marafiki zenu pete na chanda!.Hiyo ni kweli Chinese ni wabaguzi sana
Pumbavu baba yako. Kum@ wewe. Tena kum@ la mama yako.Why matajiri wa kiafrika hawaasili anyone who is not black?
Pumbavu
Wahindi ni bara??..Wahindi
Waarabu ni watu wapuuzi sana mkuu..Al Amoud baba yake alikuwa bilionea wa kiarabu, mama yake ndie alikuwa African kutokea Ethiopia, Ni rahisi muarabu kuoa mwanamke mweusi kuliko vice versa
baba wa Sultan Qaboos bin Said, Said bin Taimur, alikuwa wa asili ya Kiarabu na alitoka kwenye ukoo wa Al Said, ambao umekuwa ukitawala Oman tangu katikati ya karne ya 18. Ukoo wa Al Said unahusiana na asili ya Rasi ya Uarabuni, hasa Yemen, na ni sehemu ya jamii kubwa ya Kiarabu.
Waafrika wengi uarabuni wanafanya kazi za ndani, kubeba box, drivers, usafi, n.k. kazi premium kuna waarabu wengi, mifano halisi ni dada zetu wanaopelekwa huko uarabuni kufanya kazi za ndani na malalamiko kibao ya kunyanyaswa, Nenda ulaya au Marekani kuna kitu kinaitwa DEI, yani watu weusi wanapewa kazi hata kama wana sifa ndogo ilimradi kazini kuwe na matabaka mengi kuanzia rangi ya ngozi, jinsia, ulemavu, n.k.
Uarabuni kuna neno limezoeleka kutuita watu weusi "Abeed" yaani "mtumwa", hii ipo mpaka Sudan, Ukienda ulaya au Marekani wazungu walikatazwa kutumia hayo majina, wanaodiriki wanashushiwa kipigo kikali
Wamarekani weusi huitwa kisheria Africa Americans na sio Nigger tena kama zamani..Ndio maana nimekwambia wanapokezana, inategemea na mwaka na mwaka, na Dangote Yupo ndani ya Africa, hakuna mweusi Ulaya, Marekani ama popote pale nje ya Africa tajiri kumshinda Al Amoud.
Na mulivyo wabaguzi mbona wamarekani ambao wame mix Weusi na uzungu bado muna wa adress kama weusi ila walioachanganya uarabu na weusi sio weusi?
Such an assPumbavu baba yako. Kum@ wewe. Tena kum@ la mama yako.
Welcome to my ignore list..
Kuna wale wanaosema waarabu ni ndugu zao😀😀😀Hiyo ni kweli Chinese ni wabaguzi sana
Mamia ya waarabu kutoka Syria wanakufa majini wakienda ulaya kutafuta maisha mazuriHalafu wa kisha wa Asili wanawabdilisha na jinsia kabisa wanaume wanakuwa wanawake.
Hakuna Taifa Duniani ambalo limechukua watu weusi, likawafanyia asimmiliation na kutengeneza jamii ya watu weusi Wenye hela zaidi kuliko Waarabu.
Oman na Saudia kuna Watu weusi ambao hawana njaa wala hawahitaji kuwa adopted ili wawe relevant.
Ni Arabuni pekee utakuta viongozi weusi Wanaongoza bila kuwa mafisadi na kuongeza nchi zenye matrilioni ya utajiri.
Hatustahili haya tunayopitia kama taifa, ni upumbavu tulionao umetufikisha hapa.Ulitaka tufikie wapi mkuu??..