Kwa komba??? Wale mateja pale nyuma hiv serikali huwa haiwaoni au ni vipi etiiiiTangi Bovu tumelikuta bovu hivyo hivyo lina kutu.
Pale kulikuwa na mashamba, shamba la bibi yangu lilikuwa upande wa pili hapo palipokuwa na Tangi Bovu.
Hivyo inaonekana lilitumika katika kuhudumia nyumba ya shambani.
Njia ya moga kule? Kule pangeitwa mbweni tu, bunju kuna gorofa kali ila kunajaa maji mvua ikinyeshaa....tusubiri kwanzaa labdaaKuna wale wakazi wa bunju upande wa kuelekea mbweni wameamua kujitenga na bunju nyingine kwa kuiita bunju beach, kweli kubaguana hakutaisha duniani
Ndiyo mitaa hiyo, hao mateja sijawaona niliondoka bado pana heshima, ila kwa Mbezi Beach ya sasa siwezi kushangaa stories za mateja.Kwa komba??? Wale mateja pale nyuma hiv serikali huwa haiwaoni au ni vipi etiiii
Acha uongoBeach
Kuna yale mabanda pale karibia na efm kwa majizzo, hivi ni mradi wa mtu ule ama nini??? Mana pembeni ni mijengo ya maana ila yale mabanda duuuh, tena yamejengwa kwa mabati kabisaaa full kuanzia ukuta mbka paa...mbezi beach kuna sehemu znachekesha sanaNdiyo mitaa hiyo, hao mateja sijawaona niliondoka bado pana heshima, ila kwa Mbezi Beach ya sasa siwezi kushangaa stories za mateja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maskin wengi wanaishi mbezi beach saivi
Wakati enzi hizo ilikuwa Sehemu ya madon
Ila mbweni kuna mijengo, jaman watu wana helaa.Sio kweli,katika sehemu ambazo zimepoteza ushawishi ni masaki.masaki kuna jina kubwa lakini uhalisia ni tofauti.majengo ya kizamanu na hayashtui.
Lakini mbezi bado ni ya moto,ina jina linaendana na uhalisia,kumetulia na kumekaa kishua.
Japo kwa sasa,sehemu ambayo inakoroma ni mbweni,huku kama una ugonjwa wa moyo sikushauri ufike.
Mbweni kuna balaa aisee unaweza omba unywe sumu ufe maana unaweza jiona wewe si binadamu😀 ,kuna watu wana hela nyieee🙌Sio kweli,katika sehemu ambazo zimepoteza ushawishi ni masaki.masaki kuna jina kubwa lakini uhalisia ni tofauti.majengo ya kizamanu na hayashtui.
Lakini mbezi bado ni ya moto,ina jina linaendana na uhalisia,kumetulia na kumekaa kishua.
Japo kwa sasa,sehemu ambayo inakoroma ni mbweni,huku kama una ugonjwa wa moyo sikushauri ufike.
Wale public servants ni halali ile mijengo? Daaaah kweli kamba zetu fupi fupi mnoooMbweni kuna balaa aisee unaweza omba unywe sumu ufe maana unaweza jiona wewe si binadamu😀 ,kuna watu wana hela nyieee🙌
Sio halali aisee zile hela lazima zitakuwa za upigaji hakuna public servant mwenye mshahara wa kujenga mijengo kama ile Hakuna!Wale public servants ni halali ile mijengo? Daaaah kweli kamba zetu fupi fupi mnooo
Kuna yule alimtaja ndugu yake mwenye gorofa moja alafu kaweka lifti....hata yy anashangaa kwa mshahara upiii, sema tuache utani wapigaji wenye miradi yao wameula aseee....nilikua pori huko mji unaposogea ni balaaa.....unaambiwa huuu ukuta wote kuanzia hapa mbka mwisho ntakuonesha wa mama flani kitengoni....ukuta wenyew nusu saa au zaidi hauiishii tuu....huko mbeleni tutakosa hata pa kuweka mbavu zetu muwahi jamnii ni hatariiiii....mamia kwa maelfu ya ekari ana miliki mtu mmojaSio halali aisee zile hela lazima zitakuwa za upigaji hakuna public servant mwenye mshahara wa kujenga mijengo kama ile Hakuna!
Nilisoma sehemu yule mzee warren buffet anaishi nyumba ambayo alinunua zamani mnooo....lakini ni usphuani sahv wamemkuta msee katuliaa tu anawazoom.....mndengereko mimi sasa weeeWazazi waliojenga hiyo mijengo kwenye miji mipya wakianza kustaafu miji inaanza kuoza sababu pesa zinakata. Kama ni eneo zuri kama Masaki na Mikocheni watu wananunua na kujenga majengo ya maofisi. Miaka kadhaa huko Mbweni baada ya wapiga dili kustaafu nako kutaanza kuchakaa na kuoza. Nchi za wenzetu unakuta eneo ni la kishua miaka nenda miaka rudi.
Mbezi ya kimara nayo kubwa mkuu.. Luis, makabe, msakuzi, hadi tegeta A. Mchawi ni barabara tu,ila zikijengwa utashangaa siku ukipita watu wameshusha madude sio poaMbezi beach to africana boko mpaka Mbweni, hii zone ni tofauti kabisa, hailinganishwi na mbezi ya kimara hata siku moja!
Una mpango wa kurudi moja kwa moja siku za baadae sana? Binafsi japo nafsi inasitasita ila nina mpango wa kuhamia Ujerumani mazima mwakani mwezi wa 6.Kweli.
Nimefika Oysterbay pale Karume na Haike Selassie nikakuta barabara zina mashimo kichizi. Mara Bakhressa kachukua sehemu ya Shule kwa Mchambawima kajenga nyumba pale.
OYsterbay vurugu tupu.
Mimi tangu mshua aanze kuwa anakuja US yearly nimekosa appetite kabisa ya kurudi hata likizo.
Nikisema miaka niliyopotea ni aibu.
Mimi niliondoka Bongo kimoja. Hata likizo tabu siku hizi.Una mpango wa kurudi moja kwa moja siku za baadae sana? Binafsi japo nafsi inasitasita ila nina mpango wa kuhamia Ujerumani mazima mwakani mwezi wa 6.
Hahahaaaa..... Stendi ya Magufuli!Nyinyi si mtacomment kwenye upande wa Mbezi Louis maana ndio mnayoifahamu toka mikoani kwenu.
Dar kunatakiwa kuwe na ring road kuanzia Tegeta, Madale, Kimara, Kinyerezi, ipite mpaka Gezaulole huko.Mbezi ya kimara nayo kubwa mkuu.. Luis, makabe, msakuzi, hadi tegeta A. Mchawi ni barabara tu,ila zikijengwa utashangaa siku ukipita watu wameshusha madude sio poa
Masaki sasa hivi ni sehemu ya maofisi zaidi na kula bata kwa sasa pia ni kama Posta ya miaka ile.
Wanaoishi Masaki sasa hivi ni wale wanaulipizia kisasi umasikini waliouishi enzi za makuzi yao, wengine ni Makuwadi wa wanawake wa kibongo kwa watu matajiri na watu mashuhuri wa nje ya nchi.
Pia, ndiyo wanapokaa Madon wa wale jamaa walio left magroup yao, wanaopatikana kwa wingi Mwananyamala, Kinondoni na Sinza.
Sasa hivi Mbweni, Goba na Madale ndiyo the talk