rastar mjeshi
Senior Member
- Aug 15, 2023
- 193
- 253
Pale kijijini hawa uzi unga pale ni bange gongo na mambo mengine machafu au ya kienyejiMbezi Beach kijijini kuna mateja km Magomeni Mapipa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale kijijini hawa uzi unga pale ni bange gongo na mambo mengine machafu au ya kienyejiMbezi Beach kijijini kuna mateja km Magomeni Mapipa.
Yale mabanda pale Juliana bar yashapigwa nyundo [emoji56]Sehemu gani hiyo
Ndo wameng'ang'ana kubomoa na kujenga mwendokasi....Dar kunatakiwa kuwe na ring road kuanzia Tegeta, Madale, Kimara, Kinyerezi, ipite mpaka Gezaulole huko.
Yani unatoka Tegeta mpaka airport au Gezaulole kwa hii barabara huhitaji Bagamoyo Road, huhitaji Kawawa Road, huhitaji Mandela Road wala Nyerere Road.
Ingeupanua mji vizuri sana na kupunguza traffic hapa kati.
Japo siijui sn hiyo njia 🤣Yale mabanda pale Juliana bar yashapigwa nyundo [emoji56]
Miradi yote hiyo ilikuwa inflated kwanza kipindi ambacho Avic inajengwa, siamini Kigamboni ilikuwa occupied kiasi cha kwenda kujenga mbali hivyo na hata ule mradi mwingine wa degeNimeshindwa kuelewa kwanini Avic Town kumetelekezwa...
Nilipita kushangaa sio mchezo...
Sijui wabongo hawapendi vitu vikipangiliwa?
Lyumba alikuwa anaishi mikocheni avacadowaliokuwa wanaifanya mbezi beach iwe moto... wengi wamesha zikwa[emoji24][emoji24][emoji24] mfano pedeshee AMATUS LIUMBA {R.I.P}
Wavuvi wanaishi KigamboniMtu unaanzaje kuishi Mbezi Beach? Umekuwa mvuvi?
Majengo yamepelekwa mbali na mji kuna muda nafikiri kwann hata wasinge nunua baadhi ya mitaa magomeni mwanzoni huku wakaweka mradi wao mbona ingekuwa poa tuMiradi yote hiyo ilikuwa inflated kwanza kipindi ambacho Avic inajengwa, siamini Kigamboni ilikuwa occupied kiasi cha kwenda kujenga mbali hivyo na hata ule mradi mwingine wa dege
Asante,watoto wadogo hawawezi kuelewa maana unaweza kuelezea kitu humu watu wakafikiri unapiga fixLandlover zilikuwa mbili Moja inapaki bwawani pale mwembe madole nyingine inabaki mbez beach huku ....hiz gari Moja ilikuwa rangi ya blue nyingine silver gar ya tesha na bongo man
Miaka hiyo huko mashuwa wengi walikuwa na mashambaLandlover zilikuwa mbili Moja inapaki bwawani pale mwembe madole nyingine inabaki mbez beach huku ....hiz gari Moja ilikuwa rangi ya blue nyingine silver gar ya tesha na bongo man
Nadhani hizo zilikuwa ni plan za ule mji mkubwa wa kigamboni ndio maana apartments nyingi ziliibuka kigamboni.Majengo yamepelekwa mbali na mji kuna muda nafikiri kwann hata wasinge nunua baadhi ya mitaa magomeni mwanzoni huku wakaweka mradi wao mbona ingekuwa poa tu
We jamaa ningekuwa na pesa, ningenunua story yako kwa ajili ya production ya kitabu na movie series maana lazma itauza tu 😁👏🏾👏🏾Miaka hiyo huko mashuwa wengi walikuwa na mashamba
Miaka hiyo bado madogo nakumbuka
Tulipakiwaga na yule p.bomani kwenye ule mrange wake akatupeleka
Shambani kwake lilikuwa bonge la eneo mifugo,mabwawa ya samaki nk
Ova
Hata hivyo hizi nyumba kwa kiasi kikubwa ukiangalia muundo zilivyo jengwa kama hosteli za wanafunzi 😄 inahitaji moyo sana aiseeNadhani hizo zilikuwa ni plan za ule mji mkubwa wa kigamboni ndio maana apartments nyingi ziliibuka kigamboni.
Lakini hata hivyo, bado apartments nyingi kama Avic, watumishi na Dege zilijengewa mbali na ferry. Hiyo nadhani ndio sababu watu hawaai huko
Yes, ila wengine waliamua kuhamia Mbezi beach...huko wakachanganyikana na bodaboda na vimada wa watu.Wavuvi wanaishi Kigamboni
Yale ya watumishi 😁😁😁 , anko magu alivyoingia aliyapiga stop kuendelea.Hata hivyo hizi nyumba kwa kiasi kikubwa ukiangalia muundo zilivyo jengwa kama hosteli za wanafunzi 😄 inahitaji moyo sana aisee
Kuna yale magofu kama unaenda kigamboni kutokea kijichi aisee
Si unajuwa mabaharia kwa mastori haziishagi [emoji1]We jamaa ningekuwa na pesa, ningenunua story yako kwa ajili ya production ya kitabu na movie series maana lazma itauza tu [emoji16][emoji1490][emoji1490]